Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,499
- 9,279
Watu 81 wamekufa kwa sababu ya janga la homa ya mafua
Watu 81 wamekufa kwa sababu ya janga la homa ya mafua nchini Iran.
Naibu Waziri wa Afya wa Iran Ali Riza Reisi, ameliambia shirika rasmi la habari la Iran wiki iliyopita, kuwa watu elfu 8 333 wamefika mahospitalini wakilalamika kandamwa na mafua makali.
Karibu nusu ya watu hawa walilazwa hospitalini kwa zaidi ya siku 2 kwa sababu ya shida ya kupumua.
Hali hiyo ilipelekea wagonjwa wengine watibiwa wakiwa wamesimama.
Idadi ya waliopoteza maisha wiki iliyopita ni 25,jumla ni watu 81 wamepoteza maisha kutokana na homa ya mafua nchini humo.
Waziri amewataka wananchi kuzingatia maazimio ya Wizara ya Afya ili kudhibiti kuendelea kwa homa hiyo.
Watu 81 wamekufa kwa sababu ya janga la homa ya mafua nchini Iran.
Naibu Waziri wa Afya wa Iran Ali Riza Reisi, ameliambia shirika rasmi la habari la Iran wiki iliyopita, kuwa watu elfu 8 333 wamefika mahospitalini wakilalamika kandamwa na mafua makali.
Karibu nusu ya watu hawa walilazwa hospitalini kwa zaidi ya siku 2 kwa sababu ya shida ya kupumua.
Hali hiyo ilipelekea wagonjwa wengine watibiwa wakiwa wamesimama.
Idadi ya waliopoteza maisha wiki iliyopita ni 25,jumla ni watu 81 wamepoteza maisha kutokana na homa ya mafua nchini humo.
Waziri amewataka wananchi kuzingatia maazimio ya Wizara ya Afya ili kudhibiti kuendelea kwa homa hiyo.