kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,839
- 17,437
Vikiibuka Vita kati ya Iran dhidi mwingereza pamoja na mfarasa wakiungana bado Iran atawatwanga mchana kweupe
Chukua Ufaransa na mwingereza dhidi ya Iran. Hao mabeberu watachapwa mpaka washangae na roho zao
Hapo hakuna kutumia nyuklia wala silaha za Sumu uone mziki utakavyokua
Na niwaambie tu hata Marekani peke yake hawezi kuichapa Iran. Yaani US aende mwenyewe azichape na Iran we subutu litakua battle la muda mrefu ila wamarekani watachapwa mpaka wachanganyikiwe
Acheni na hilo taifa linaloitwa Iran kabisa wale wameshindikana duniani....Mziki wake waulizeni wazayuni huu ni mwaka wa 40 wanatishia nyau tu hawajawahi kutia mguu ndani ya Iran
Siku Israel ataishambulia Iran rensponse ya Iran italeta tetemeko duniani maana sijui atawafanya nini wazayuni hiyo nchi ingegeuka majivu meupe kama unga wa dona ndani ya dk 30 tu
Aisee Iran ioneni tu hivi lakini sio ya kuchezewa kabisa
Chukua Ufaransa na mwingereza dhidi ya Iran. Hao mabeberu watachapwa mpaka washangae na roho zao
Hapo hakuna kutumia nyuklia wala silaha za Sumu uone mziki utakavyokua
Na niwaambie tu hata Marekani peke yake hawezi kuichapa Iran. Yaani US aende mwenyewe azichape na Iran we subutu litakua battle la muda mrefu ila wamarekani watachapwa mpaka wachanganyikiwe
Acheni na hilo taifa linaloitwa Iran kabisa wale wameshindikana duniani....Mziki wake waulizeni wazayuni huu ni mwaka wa 40 wanatishia nyau tu hawajawahi kutia mguu ndani ya Iran
Siku Israel ataishambulia Iran rensponse ya Iran italeta tetemeko duniani maana sijui atawafanya nini wazayuni hiyo nchi ingegeuka majivu meupe kama unga wa dona ndani ya dk 30 tu
Aisee Iran ioneni tu hivi lakini sio ya kuchezewa kabisa