Iran: Using Tanzania To Evade International Sanctions [ Nchi Yetu Imeuzwa] Kikwete Jiuzulu

Kwahiyo unafurahia IRAN kupewa kuwekewa vikwazo na US/UK/UE? Na je kuja makamu wa Rais wa IRAN ulichukia sana? Mbona walivyokuja wakina BUSH,CLINTON na miradi yao inayoinyonya Tanzania na umama wako wa ccm mbona hujapiga kelele au kwa vile wana idea za kishoga na unafurahi hiyo ndo democracy wanayokuachia uku wakiendelea kukuibia rasilimali za Tanzania...Pia ukumbuke TZ ni non-aligned movement hivyo haindeshwi kutoka US/UK wala UE japo kua viongozi wako wa ccm ndo wametufikisha apa tulipo mpaka kuona kushirikiana na IRAN ni dhambi na uenda tukakosa misaada ya hawa ma imperilists...Ni miaka mingapi unapata misaada na bado upo palepale je umeendelea km unavyohisi ? Kwa taarifa yako IRAN imewekewa vikwazo tokea 1979 na imeweza kuovercome those difficult na wakawekeza kwenye elimu bila ya misaada ya hao mashoga wako na leo hii ni Taifa kubwa na lenye kila aina ya technology mpaka hii chuki yote hii wala sio nuclear bali na technological advancement ndo inayowapa pressure kwani ana export almost all things you know....Tanzania tunahitaji kua na viongozi wenye maono na kuwekeza kwenye elimu ya kweli then utaona kuliko kua na idle mind km ya huyu ccm mama anaetegemea kupewa misaada uku umaskini ikiwa ndo kwanza unazidi

Ama kweli nchi hii ni ya wagagigikoko, wengine wanashabikia kuwa raia wa marekani wengine wa Iran. Watanzania hata ukiamua kujichubua kumbuka sisi katika bendera yetu tunawakilishwa na rangi nyeusi. Jipeni uraia wa nchi yeyote lakini mtabaki ni watanzania. Kwa hiyo acheni kulumbana juu ya nani amepata uraia wa wapi, pawe ni Iran au Marekani kote ni ukimbizini. Namkumbuka sana Shaaban Robert: 'kwetu ni kwao kwa nini na kwao ni kwao kwa nini?' Kwetu ni Tanzania tusipende kupafanya kwao hata mara moja...
 
hamna mnachojua kwn marekani waume zenu wakisema wao na nyie mufuate acheni chuki za kanisa kwa kikwete mbona nchi nyingi zinaekewa vikwazo na cc 2nazitambua km cuba pales tine

Hatari ya kufikiri duniani wote tukiwa waislamu basi ndo kutageuka paradiso ni upofu mkubwa unaowafanya kushabikia hata vitu vya hatari kama hivi. Hebu vua ushabiki wa kuona lawama dhidi yA iRAN NI VITA DHIDI YA UISLAM. Hivi ugomvi wa Marekani na Cuba na Venezuela nao ni kutokana na uislam? Ukijibu hilo swali ndo utagundua Iran haionewi na wala shinikizo la kimataifa si kuvuruga Uislamu la sivyo Saudi arabia na Bahrain wasingekuwa marafiki wa Marekani kama issue ni vita dhidi ya Uislamu.
 
Kwahiyo unafurahia IRAN kupewa kuwekewa vikwazo na US/UK/UE? Na je kuja makamu wa Rais wa IRAN ulichukia sana? Mbona walivyokuja wakina BUSH,CLINTON na miradi yao inayoinyonya Tanzania na umama wako wa ccm mbona hujapiga kelele au kwa vile wana idea za kishoga na unafurahi hiyo ndo democracy wanayokuachia uku wakiendelea kukuibia rasilimali za Tanzania...Pia ukumbuke TZ ni non-aligned movement hivyo haindeshwi kutoka US/UK wala UE japo kua viongozi wako wa ccm ndo wametufikisha apa tulipo mpaka kuona kushirikiana na IRAN ni dhambi na uenda tukakosa misaada ya hawa ma imperilists...Ni miaka mingapi unapata misaada na bado upo palepale je umeendelea km unavyohisi ? Kwa taarifa yako IRAN imewekewa vikwazo tokea 1979 na imeweza kuovercome those difficult na wakawekeza kwenye elimu bila ya misaada ya hao mashoga wako na leo hii ni Taifa kubwa na lenye kila aina ya technology mpaka hii chuki yote hii wala sio nuclear bali na technological advancement ndo inayowapa pressure kwani ana export almost all things you know....Tanzania tunahitaji kua na viongozi wenye maono na kuwekeza kwenye elimu ya kweli then utaona kuliko kua na idle mind km ya huyu ccm mama anaetegemea kupewa misaada uku umaskini ikiwa ndo kwanza unazidi

asee KULA TANO umenena mule mule
 
unaweza kuandika utakavyo , dunia hii .

Unajua hata wakati wa vita ya Iraq na Iran , Amerika alikuwa ikimuuzia silaha muirani kupitia Israel na huku ameweka vikwazo


Hapo usifikiri mlaji ni Mtanzania hata hao unaowaona wewe wanaweza kuleta matatizo ya kidiplomasia inawezekana ndio waliosuka huo mpango

Asante sana kwa mchango wako. Tatizo sisi hapa jamiiforum kila kitu kinachohusu serikali wanakipinga sijui wakoje. Tatizo sisi watz ni wavivu wa kufuatilia yanayojiri dunia. Jamani nchi ikiwekewa kikwazo ndio diri hilo la kupigia biashara. mnunuzi mkubwa wa malori ya Volvo ni Iran na wanaendelea kufanya nae biashara kama kawaida
 
Kila idara ya serikali tumejaza Mamruki wageni tunawapa kazi muhimu mpaka nafasi sensitive za kisiasa, wazalendo walioko ni wala rushwa chapa mamba unategemea nini hapo?
 
Mkuu nimekusoma na umeeleweka kwa ufasaha mno!!!

- heshima mbele mkuu. nashangaa wengine wanaleta udini na ushabiki kwenye swala kama hili. mimi ni mwislamu, tena kiongozi ndani ya chama chetu. Hili siyo swala la kidini ni swala la ki-upumbafu. Si hafikiani na huu uamuzi wa kutubebesha mzigo usio wetu. huu ni ujinga ambao tunajitwika. Ukifuatilia kwa undani utakuta kuna mikono ya watu ndani ya serikali walipewa vijihela kufanikisha hii process. Hacheni kuleta mambo ya ushaki na udini kwenye maswala muhimu ya Kitaifa. Mimi mwislamu tena swala 5 ila sikubaliana na wapuuzi wanaoingizi udini kwenye maswala kama haya

-Waandishi wa habari msilale. Jaribuni kuhoji chanzo cha haya mambo, na yamefanyika kwa manufaa ya nani. Nashangaa vyombo vyetu na hata waandishi wetu wa habari hawakuweza kuligundua hili hadi tuna habarishwa na vyombo vya habari vya kigeni. Wekeni uzalendo mbele watanzania. Ushabiki wa kijinga utatumaliza. Ninacheo kikubwa ndani ya CCM na hata serikalini lakini kamwe sitakubali huu ujinga kuendelea. Lazima tupigane hadi kieleweke

-Mheshimwa Mwakyembe, tunaomba ujibu hili swala. Kwa maana punde tu tutajiingiza katika matatizo ya kidiplomasia. Nchi yetu haiwezi kutumika kama launching pad. Zama hizo zimepita ndugu zangu
 
Tatizo lenu UAMSHO hata kama watu wote wakiona giza ninyi mnaona mwanga na matokeo yake mnajikuta mnatumbukia kwenye dimbwi la migogoro ambayo hata watoto wadogo hujiuliza kuhusu uwezo wenu wa kufikiri na kufanya maamuzi. Comment uliyotoa ina misingi ya kidini zaidi kuliko kutumia akili ya kichambuzi. Ninyi kwa nini hamwezi kuwa neutral hata sikumoja ni ushabiki tu?i

Unanichekesha kijana tatizo lako sio siri ni shule ndogo inayokufanya utamani maisha ya kina 50 cent,nelly...UAMSHO umetoka wapi ktk hii mada? Kwa akili yako ivi unafikiria kuendelea kupewa misaada ndo tataendelea? Dini yangu kwa kuandika hivyo ndo umeshaijua km sio narrow minded lk.....ebu jaribu kuangaria pande zote za dunia ndo utajua ukweli leo IRAN inavikwazo je CUBA na wenyewe wanaprogram za nuclear au ni chuki za US na uku wanaoteseka ni wananchi? Zimbabwe wana economic embargo na wenyewe wana mradi wa nuclear au kisa ni kuwafukuza hao mashoga wenzenu kwenye ardhi yenye rutuba ndo iwe nongwa...Sasa baba zenu wameshawaambia kama mnataka misaada mgeuzie mwanaume mwezako nadhani apo ndo mtaelewa somo
 
subirini condoms kutoka marekani na misaada mingine kwani ndo inayowafaa wa TZ
Kwani Iran anatupa nini mpaka tusubirie condom toka kwa mmarekani? Hakuna faida yoyote tuipatayo kwa Iran wala Marekani zaidi ya kuzidi kujiingiza katika matatizo. Kama hili lina ukweli
 
Hili sioni kama ni issue kwani wamarekani wanajiona ni miungu na watu msisahau MMarekani hana rafiki chini ya jua ni interest zake tu. wakati wamekataza nyukiria sie wabongo tunapanga mipango ya kuchimba tuipeleke wapi. tuache kuwa na macho ya kipumbavu kuwa eti kikwete kafanya hivi kwasababu ya udini. NO mnyonge tumnyonge lakini haki yake tumpe. hapa kikwete kaonesha jeuri kwani anajua wamarekani watajua
 
Hili sioni kama ni issue kwani wamarekani wanajiona ni miungu na watu msisahau MMarekani hana rafiki chini ya jua ni interest zake tu. wakati wamekataza nyukiria sie wabongo tunapanga mipango ya kuchimba tuipeleke wapi. tuache kuwa na macho ya kipumbavu kuwa eti kikwete kafanya hivi kwasababu ya udini. NO mnyonge tumnyonge lakini haki yake tumpe. hapa kikwete kaonesha jeuri kwani anajua wamarekani watajua

kikwete jiuzulu. umeshindwa kuliendesha nchi
 
Biashara Binafsi kati ya Tehran na Magogoni kupitia dalali Rostam Aziz kamwe si zoezi salama wala iletayo tija yoyote kwa Tanzania yetu kama taifa.

IT is more than amazing the way our current breed of leadership in Tanzanian is making such HUGE AND RISKIER SACRIFICES FOR Iran's illegal nuclear programme in the name of a SHARED CONVICTION IN ISLAM.

The ultimate question is, we are doing all these at what costs in the face of the badly endangered International Community on the rise of a proliferation of cladestine trades geared toward supporting Iranian nuclear project all the way from Katanga in DRC to Selous Game Reserve in our own backyards for uranium supplies.

Wananchi, let's talk it alound now before the international community shows a RED LIGHT on our faces any sooner. Tanzania is greater than any one of us, not even the president is any greater.
 
Back
Top Bottom