STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,566
huu uzi utakuja kuaribiwa na walewa mazezeta wafia dini wale wazee wa aibarikie atabarikiwa, na ailaaniye atalaaniwa, majinga yale alie yaloga keshajifia zake....
huu uzi utakuja kuaribiwa na walewa mazezeta wafia dini wale wazee wa aibarikie atabarikiwa, na ailaaniye atalaaniwa, majinga yale alie yaloga keshajifia zake....
Sasa anamtaftia kona ya nn wakat anasilaha zauongo akampige sasa, hawa ni ndugu zake All Saaf, aliyekuwa msemaji wa serikali ya Saddam Hussein. Kuna siku Iran alizindua drone ya uongo mpaka aibu. Huyo kashajua Israeli anamtafutia kona nzuri ya kumbandua, sasa anaanza kujihami na silaha za uongo.
Sasa kama IRAN waongo ndio wakat mzuri hui wa Gaysrahel kwenda kuwapiga IRAN koz wanadanganya hawana hata bomu la kiazi yaanHii Drone hairuki. Imeandaliwa kwaajili ya show off. Kama unabisha tunaomba Picha yake ikiwa angani. Iran sometimes anajitutumua vya uongo na ukweli.
Hypersonic Missile haipo Iran,hapo umeamua tu kukubaliana na uongo wa Iran ili Roho yako isuzike.
Kuukata ukweli hata Kama unatoka kwa adui yako hakuufanyi ukweli huo kuwa uongo,na kuukubali uongo hata Kama unatoka kwa rafiki yako wa karibu hakuufanyi uungo huo kuwa ukweli (By Sir. Jackson the PhD)
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kelele mingi wakat kaishapiga kambi zinazokaliwa na jeshi la US kawahi wazuilia majeshi ya navy ya US kwamasaa cjui siku kadhaa kashawahi kukamata meli ya UKHawa wa Iran kelele nyingi ila hawanaga maajabu mtu pekee asiye na utani ni mapanki tu akisema kitu anaongea huku teyari mzigo unapita juu ya anga la japani mwelekeo marekani lazima mavi yagonge kiupi...
Ni shogaWe Mpuuzi sana washatangaza watakutwa hapo hapo kabla hata ya kufanya majaribio ndio mtajua Muisrael ni nani
Wale wanajeshi 80 wa marekani walofyekwa na makombora ya Iran walikua babu zako auHawa wa Iran kelele nyingi ila hawanaga maajabu mtu pekee asiye na utani ni mapanki tu akisema kitu anaongea huku teyari mzigo unapita juu ya anga la japani mwelekeo marekani lazima mavi yagonge kiupi...
Habari za vijiwe vya kahawa na halua usiwe unatuletea hukuWale wanajeshi 80 wa marekani walofyekwa na makombora ya Iran walikua babu zako au
Dunia nzima ilijua ww ulijua nikahawa na kashata!Habari za vijiwe vya kahawa na halua usiwe unatuletea huku
Iran ni taifa dogo sana kiteknolojia. Alaf msidhan marekan kutokuonesha silaha zake inamaanisha hana au hana teknolojia ya kutengeneza. We hujifkirii kwanin kila nchi ina inawek bifu na USA. Kwann hao Iran wasiwe na bifu na Korea china au Japan. USA ni dunia na izo zote ni harakat za Kumshusha ila itabak kuwa Juu kwa mambo yote.Wale wanajeshi 80 wa marekani walofyekwa na makombora ya Iran walikua babu zako au