IRAN soon wanajaribu makombora ya hypersonic pia tayari wana ICBM

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,991
17,890
Kumbe IRAN walivyosema wapo kwenye mchakato wa kutengeneza hypersonic missile hawatanii ni muda si mrefu wanaenda kutest

Pia tayari kitambo tu RamJet Engine tena ni vijana wadogo tu huko Iran wameziunda hizi Engine za kisasa

Halafu wahuni tayari wameiacha dunia wazi baada ya kuunda MGT-75 turbo Engine mass

Tunajua Iran alivyokua anateseka na suala la Engine na vikwazo akawekewa sahivi anaunda zake mwenyewe hawa jamaa wananifurahisha sana huwa hawalazi damu au kukata tamaa

Sote tunajua kuwa Iran ana makombora ya Sejil 2 yanayopiga karibia kilometer 3000 hivi naskia washaunda Sejil 3

Sejili 3 itakua inapiga kilometres hadi 5500 ambapo hapo ni tayari ni kombora la mabara la kupiga kutoka bara moja kwenda jengine yaani Inter-continental ballistic missile

Haya makombora ya mabara ni balaa jengine sasa haya ya hypersonic ndo yataifanya Iran kuwa miongoni mwa nchi chache duniani zenye haya makombora ambazo ni nchi nne tu hadi sasa ambazo ni URUSI, UCHINA, KOREA YA KASKAZINI NA MAREKANI ambayo hata kumiliki makombora hayo bado ni utata kama wanayo japo wapo mbali kiteknolojia lakini wachambuzi wengi wa masuala ya kijeshi wanaamini kwamba Washington katika suala la hypersonic missile wanadanganya au kufake mambo.....

Kwa uwezo huu Israel anatoa wapi uwezo wa kuligusa dola kubwa na la kibabe kama Iran?



View attachment 1988378
images%20-%202021-10-27T144633.870.jpg
 
Kumbe IRAN walivyosema wapo kwenye mchakato wa kutengeneza hypersonic missile hawatanii ni muda si mrefu wanaenda kutest

Pia tayari kitambo tu RamJet Engine tena ni vijana wadogo tu huko Iran wameziunda hizi Engine za kisasa

Halafu wahuni tayari wameiacha dunia wazi baada ya kuunda MGT-75 turbo Engine mass

Tunajua Iran alivyokua anateseka na suala la Engine na vikwazo akawekewa sahivi anaunda zake mwenyewe hawa jamaa wananifurahisha sana huwa hawalazi damu au kukata tamaa

Sote tunajua kuwa Iran ana makombora ya Sejil 2 yanayopiga karibia kilometer 3000 hivi naskia washaunda Sejil 3

Sejili 3 itakua inapiga kilometres hadi 5500 ambapo hapo ni tayari ni kombora la mabara la kupiga kutoka bara moja kwenda jengine yaani Inter-continental ballistic missile

Haya makombora ya mabara ni balaa jengine sasa haya ya hypersonic ndo yataifanya Iran kuwa miongoni mwa nchi chache duniani zenye haya makombora ambazo ni nchi nne tu hadi sasa ambazo ni URUSI, UCHINA, KOREA YA KASKAZINI NA MAREKANI ambayo hata kumiliki makombora hayo bado ni utata kama wanayo japo wapo mbali kiteknolojia lakini wachambuzi wengi wa masuala ya kijeshi wanaamini kwamba Washington katika suala la hypersonic missile wanadanganya au kufake mambo.....

Kwa uwezo huu Israel anatoa wapi uwezo wa kuligusa dola kubwa na la kibabe kama Iran?



View attachment 1988378View attachment 1988379
, hawa ni ndugu zake All Saaf, aliyekuwa msemaji wa serikali ya Saddam Hussein. Kuna siku Iran alizindua drone ya uongo mpaka aibu. Huyo kashajua Israeli anamtafutia kona nzuri ya kumbandua, sasa anaanza kujihami na silaha za uongo.
 
, hawa ni ndugu zake All Saaf, aliyekuwa msemaji wa serikali ya Saddam Hussein. Kuna siku Iran alizindua drone ya uongo mpaka aibu. Huyo kashajua Israeli anamtafutia kona nzuri ya kumbandua, sasa anaanza kujihami na silaha za uongo.
Wewe ni mgonjwa kweliDrone ipi ya uongo unadhan iran ni telaviv gay city?







Kihoro kinakutesa kunywa maji mzee
images%20-%202021-10-27T150808.585.jpg
 
Kumbe IRAN walivyosema wapo kwenye mchakato wa kutengeneza hypersonic missile hawatanii ni muda si mrefu wanaenda kutest

Pia tayari kitambo tu RamJet Engine tena ni vijana wadogo tu huko Iran wameziunda hizi Engine za kisasa

Halafu wahuni tayari wameiacha dunia wazi baada ya kuunda MGT-75 turbo Engine mass

Tunajua Iran alivyokua anateseka na suala la Engine na vikwazo akawekewa sahivi anaunda zake mwenyewe hawa jamaa wananifurahisha sana huwa hawalazi damu au kukata tamaa

Sote tunajua kuwa Iran ana makombora ya Sejil 2 yanayopiga karibia kilometer 3000 hivi naskia washaunda Sejil 3

Sejili 3 itakua inapiga kilometres hadi 5500 ambapo hapo ni tayari ni kombora la mabara la kupiga kutoka bara moja kwenda jengine yaani Inter-continental ballistic missile

Haya makombora ya mabara ni balaa jengine sasa haya ya hypersonic ndo yataifanya Iran kuwa miongoni mwa nchi chache duniani zenye haya makombora ambazo ni nchi nne tu hadi sasa ambazo ni URUSI, UCHINA, KOREA YA KASKAZINI NA MAREKANI ambayo hata kumiliki makombora hayo bado ni utata kama wanayo japo wapo mbali kiteknolojia lakini wachambuzi wengi wa masuala ya kijeshi wanaamini kwamba Washington katika suala la hypersonic missile wanadanganya au kufake mambo.....

Kwa uwezo huu Israel anatoa wapi uwezo wa kuligusa dola kubwa na la kibabe kama Iran?



View attachment 1988378View attachment 1988379

Israel hawana show off
 
Wewe ni mgonjwa kweliDrone ipi ya uongo unadhan iran ni telaviv gay city?







Kihoro kinakutesa kunywa maji mzee
View attachment 1988397
Hii Drone hairuki. Imeandaliwa kwaajili ya show off. Kama unabisha tunaomba Picha yake ikiwa angani. Iran sometimes anajitutumua vya uongo na ukweli.

Hypersonic Missile haipo Iran,hapo umeamua tu kukubaliana na uongo wa Iran ili Roho yako isuzike.

Kuukata ukweli hata Kama unatoka kwa adui yako hakuufanyi ukweli huo kuwa uongo,na kuukubali uongo hata Kama unatoka kwa rafiki yako wa karibu hakuufanyi uungo huo kuwa ukweli (By Sir. Jackson the PhD)

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hii Drone hairuki. Imeandaliwa kwaajili ya show off. Kama unabisha tunaomba Picha yake ikiwa angani. Iran sometimes anajitutumua vya uongo na ukweli.

Hypersonic Missile haipo Iran,hapo umeamua tu kukubaliana na uongo wa Iran ili Roho yako isuzike.

Kuukata ukweli hata Kama unatoka kwa adui yako hakuufanyi ukweli huo kuwa uongo,na kuukubali uongo hata Kama unatoka kwa rafiki yako wa karibu hakuufanyi uungo huo kuwa ukweli (By Sir. Jackson the PhD)

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Njia ya muongo ni fupi sana daah

Kitu kilishaanza kushiriki kwenye operations za kuwafyeka ISIS wewe unaleta blah blah hapa

 
Kumbe IRAN walivyosema wapo kwenye mchakato wa kutengeneza hypersonic missile hawatanii ni muda si mrefu wanaenda kutest

Pia tayari kitambo tu RamJet Engine tena ni vijana wadogo tu huko Iran wameziunda hizi Engine za kisasa

Halafu wahuni tayari wameiacha dunia wazi baada ya kuunda MGT-75 turbo Engine mass

Tunajua Iran alivyokua anateseka na suala la Engine na vikwazo akawekewa sahivi anaunda zake mwenyewe hawa jamaa wananifurahisha sana huwa hawalazi damu au kukata tamaa

Sote tunajua kuwa Iran ana makombora ya Sejil 2 yanayopiga karibia kilometer 3000 hivi naskia washaunda Sejil 3

Sejili 3 itakua inapiga kilometres hadi 5500 ambapo hapo ni tayari ni kombora la mabara la kupiga kutoka bara moja kwenda jengine yaani Inter-continental ballistic missile

Haya makombora ya mabara ni balaa jengine sasa haya ya hypersonic ndo yataifanya Iran kuwa miongoni mwa nchi chache duniani zenye haya makombora ambazo ni nchi nne tu hadi sasa ambazo ni URUSI, UCHINA, KOREA YA KASKAZINI NA MAREKANI ambayo hata kumiliki makombora hayo bado ni utata kama wanayo japo wapo mbali kiteknolojia lakini wachambuzi wengi wa masuala ya kijeshi wanaamini kwamba Washington katika suala la hypersonic missile wanadanganya au kufake mambo.....

Kwa uwezo huu Israel anatoa wapi uwezo wa kuligusa dola kubwa na la kibabe kama Iran?



View attachment 1988378View attachment 1988379
Hawa wa Iran kelele nyingi ila hawanaga maajabu mtu pekee asiye na utani ni mapanki tu akisema kitu anaongea huku teyari mzigo unapita juu ya anga la japani mwelekeo marekani lazima mavi yagonge kiupi...
 
Hii Drone hairuki. Imeandaliwa kwaajili ya show off. Kama unabisha tunaomba Picha yake ikiwa angani. Iran sometimes anajitutumua vya uongo na ukweli.

Hypersonic Missile haipo Iran,hapo umeamua tu kukubaliana na uongo wa Iran ili Roho yako isuzike.

Kuukata ukweli hata Kama unatoka kwa adui yako hakuufanyi ukweli huo kuwa uongo,na kuukubali uongo hata Kama unatoka kwa rafiki yako wa karibu hakuufanyi uungo huo kuwa ukweli (By Sir. Jackson the PhD)

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Ww sent by tecno unafkiri ztapata wapi habari za Iran
 
Muulize Marekani kule Iraki kilichomkuta hatosahau milele
Hahahaha Marekan dunia wew uwez kufananisha USA na huo upuuzi wako. Unaongelea Iraq nchi ambazo zimekosa muelekeo. Kiufupi ni nchi chache sana za Kiarabu zilizo stable. Nying ni unstable kwasbb ya Mkono wa USA, unathubut vp kusema maneno kam hayo
 
Kumbe IRAN walivyosema wapo kwenye mchakato wa kutengeneza hypersonic missile hawatanii ni muda si mrefu wanaenda kutest

Pia tayari kitambo tu RamJet Engine tena ni vijana wadogo tu huko Iran wameziunda hizi Engine za kisasa

Halafu wahuni tayari wameiacha dunia wazi baada ya kuunda MGT-75 turbo Engine mass

Tunajua Iran alivyokua anateseka na suala la Engine na vikwazo akawekewa sahivi anaunda zake mwenyewe hawa jamaa wananifurahisha sana huwa hawalazi damu au kukata tamaa

Sote tunajua kuwa Iran ana makombora ya Sejil 2 yanayopiga karibia kilometer 3000 hivi naskia washaunda Sejil 3

Sejili 3 itakua inapiga kilometres hadi 5500 ambapo hapo ni tayari ni kombora la mabara la kupiga kutoka bara moja kwenda jengine yaani Inter-continental ballistic missile

Haya makombora ya mabara ni balaa jengine sasa haya ya hypersonic ndo yataifanya Iran kuwa miongoni mwa nchi chache duniani zenye haya makombora ambazo ni nchi nne tu hadi sasa ambazo ni URUSI, UCHINA, KOREA YA KASKAZINI NA MAREKANI ambayo hata kumiliki makombora hayo bado ni utata kama wanayo japo wapo mbali kiteknolojia lakini wachambuzi wengi wa masuala ya kijeshi wanaamini kwamba Washington katika suala la hypersonic missile wanadanganya au kufake mambo.....

Kwa uwezo huu Israel anatoa wapi uwezo wa kuligusa dola kubwa na la kibabe kama Iran?



View attachment 1988378View attachment 1988379
Hawa ndio watu pekee wa Mashariki ya Kati wenye akili ya ku develop zana zao za kivita
 
Kumbe IRAN walivyosema wapo kwenye mchakato wa kutengeneza hypersonic missile hawatanii ni muda si mrefu wanaenda kutest

Pia tayari kitambo tu RamJet Engine tena ni vijana wadogo tu huko Iran wameziunda hizi Engine za kisasa

Halafu wahuni tayari wameiacha dunia wazi baada ya kuunda MGT-75 turbo Engine mass

Tunajua Iran alivyokua anateseka na suala la Engine na vikwazo akawekewa sahivi anaunda zake mwenyewe hawa jamaa wananifurahisha sana huwa hawalazi damu au kukata tamaa

Sote tunajua kuwa Iran ana makombora ya Sejil 2 yanayopiga karibia kilometer 3000 hivi naskia washaunda Sejil 3

Sejili 3 itakua inapiga kilometres hadi 5500 ambapo hapo ni tayari ni kombora la mabara la kupiga kutoka bara moja kwenda jengine yaani Inter-continental ballistic missile

Haya makombora ya mabara ni balaa jengine sasa haya ya hypersonic ndo yataifanya Iran kuwa miongoni mwa nchi chache duniani zenye haya makombora ambazo ni nchi nne tu hadi sasa ambazo ni URUSI, UCHINA, KOREA YA KASKAZINI NA MAREKANI ambayo hata kumiliki makombora hayo bado ni utata kama wanayo japo wapo mbali kiteknolojia lakini wachambuzi wengi wa masuala ya kijeshi wanaamini kwamba Washington katika suala la hypersonic missile wanadanganya au kufake mambo.....

Kwa uwezo huu Israel anatoa wapi uwezo wa kuligusa dola kubwa na la kibabe kama Iran?



View attachment 1988378View attachment 1988379
China ndo kawachanganya kabisa marekan, week hii karusha chombo angani halafu kikarudi na kutua kama ndege, sasa China inadai ni majaribio ya chombo cha usafiri wa anga wamarekani wanadai inaweza kuwa ni silaha na kinachowachanganya zaidi ni kwamba kilikuwa kinakimbia sanaaa wakati kikirudi duniani halafu kikawa kinaweza kuongozwa kama ndege jambo ambalo wanasema.kiteknolojia halijawahi kutokea kwakuwa hata space shuttle kwenye reentry ikiwa kwenye speed kali ilikuwa huwezi kuimaneuver.
Basi wamarekani wako wanahaha hawana hakika kama ni chombo cha usafiri au silaha na bado wanashangaa amewezaje kukimaneuver kikiwa kasi ile wakati wa kurudi.
 
Na Kama ni silaha hawana kabisa mitambo/teknolojia inayoweza kuizuia ....hapo ndo wamepagawa kabisa
China ndo kawachanganya kabisa marekan, week hii karusha chombo angani halafu kikarudi na kutua kama ndege, sasa China inadai ni majaribio ya chombo cha usafiri wa anga wamarekani wanadai inaweza kuwa ni silaha na kinachowachanganya zaidi ni kwamba kilikuwa kinakimbia sanaaa wakati kikirudi duniani halafu kikawa kinaweza kuongozwa kama ndege jambo ambalo wanasema.kiteknolojia halijawahi kutokea kwakuwa hata space shuttle kwenye reentry ikiwa kwenye speed kali ilikuwa huwezi kuimaneuver.
Basi wamarekani wako wanahaha hawana hakika kama ni chombo cha usafiri au silaha na bado wanashangaa amewezaje kukimaneuver kikiwa kasi ile wakati wa kurudi.
 
Test yao ikiwa successful watatisha sana.

Kumbe IRAN walivyosema wapo kwenye mchakato wa kutengeneza hypersonic missile hawatanii ni muda si mrefu wanaenda kutest

Pia tayari kitambo tu RamJet Engine tena ni vijana wadogo tu huko Iran wameziunda hizi Engine za kisasa

Halafu wahuni tayari wameiacha dunia wazi baada ya kuunda MGT-75 turbo Engine mass

Tunajua Iran alivyokua anateseka na suala la Engine na vikwazo akawekewa sahivi anaunda zake mwenyewe hawa jamaa wananifurahisha sana huwa hawalazi damu au kukata tamaa

Sote tunajua kuwa Iran ana makombora ya Sejil 2 yanayopiga karibia kilometer 3000 hivi naskia washaunda Sejil 3

Sejili 3 itakua inapiga kilometres hadi 5500 ambapo hapo ni tayari ni kombora la mabara la kupiga kutoka bara moja kwenda jengine yaani Inter-continental ballistic missile

Haya makombora ya mabara ni balaa jengine sasa haya ya hypersonic ndo yataifanya Iran kuwa miongoni mwa nchi chache duniani zenye haya makombora ambazo ni nchi nne tu hadi sasa ambazo ni URUSI, UCHINA, KOREA YA KASKAZINI NA MAREKANI ambayo hata kumiliki makombora hayo bado ni utata kama wanayo japo wapo mbali kiteknolojia lakini wachambuzi wengi wa masuala ya kijeshi wanaamini kwamba Washington katika suala la hypersonic missile wanadanganya au kufake mambo.....

Kwa uwezo huu Israel anatoa wapi uwezo wa kuligusa dola kubwa na la kibabe kama Iran?



View attachment 1988378View attachment 1988379
 
Kama kweli hivyo vitu basi Iran ni ya tofauti sana mashariki ya Kati, Kama itaondolewa vikwazo itafanya makubwa Sana katika nyanja za kiteknolojia
 
Back
Top Bottom