IRAN sasa yakiri UKIMWI ni janga la kitaifa................

Status
Not open for further replies.

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,172
Serikali ya Kiislamu ya IRA kwa muda mrefu imekuwa ikijipigia debe kuwa imeshinda matatizo makubwa ya kidunia kama ukimwi na kuwa watu wake ni waadilifu kutokana na kufuata misingi ya Uislamu lakini UKIMWI unawauumbua na wameona wakiri kuwa kama zilivyo nchi nyinginezo duniani UISLAMU siyo tiba ya kupambana na ngono hatarishi.............

1) Viwango vya maambukizi vinashinda ongezeko la mfumuko wa bei............

2) Mila, desturi zimechangia watu kuwa wanafiki na kutokubaliana na kukiri janga hili

3) Wenye ukimwi zaidi ya 70% hawajui kama wanao maana hawapimi........................

4) Vita dhidi yas ukimwi imekwama kwa sababu taifa zima haliko tayari kukiri kuwa wanalo hilo tatizo.

5) Utawala mpya wa Raisi Hassan Rouhan umeona ni vyema wakiri ili kujijengea mazingira mazuri ya kupambana na hili janga maana kuukataa ukweli siyo ufumbuzi wa tatizo bali kulivalia njuga..........

6) Wakati wa utawala wa Mahmoud Ahmadinejad madaktari wawili walifungwa mika miwili kwa kushiriki kwenye makongomano ya vita dhidi ya UKIMWI. Madaktari hao ni Arash and Kamiar Alae
ambao ni mtu na kaka yake!

7) Msimamo wa zamani wa serikali ulikuwa ni kuipotosha jamii yao kuwa UKIMWI unaambukizwa na mateja wa madawa ya kulevya kupitia sindano wanazozitumia kwa kupokezana lakini sasa utawala mpya umekiri kuwa mateja tajwa wanaambukizana kwa kasi ya 50% na waliobaki ni ngono hatarishi............


hebu jisomee


Iran sees dramatic rise in HIV infections

Health minister says taboo surrounding disease is preventing effective treatment, and 70% do not know they are infected





TO-GO-WITH-AFP-STORY-by-K-008.jpg
Dr Kamiar Alaei was arrested for his work on HIV treatment under Mahmoud Ahmedinejad. Photograph: Jim Watson/AFP/Getty Images

Iran's health minister, Hassan Hashemi, has expressed serious concerns over a dramatic rise in the number of people with HIV in the country, complaining that the current taboo prevents patients from receiving treatment.
"Today people in Iran are frightened of Aids because of misinformation and unscientific claims. This is why it remains a taboo," he said at an event in Tehran marking World Aids Day on Sunday, according to local media. "There has been a ninefold growth in the number of people with Aids in the past 11 years and an 80% increase each year."
He warned that the majority were unaware of their infections and that the trend was shifting from drug use to sexual transmission.
"This is more than the rate of our inflation or the rise in house prices," he said. According to Hashemi, social stigma means that HIV patients and their relatives keep the disease secret and ordinary people have little contact with those infected.
"Unfortunately, in our country, the status of awarness among patients, social support and education and prevention is poor," he said. "In Iran, the trend is shifting from transmission through drug addicts sharing syringes to transmission through high-risk sexual activities." About 5% of HIV patients in the country are child workers, the minister said.
 
Hassan Rouhan ataibadili Iran wakat mwingine dini si kila kitu katika Uongozi.. Unakubali ukweli, Unaacha hekima ifanye kaz yke Ahmednejad was so arrogant short of Wisdom and too extrimist kwa dunia ya sasa hakuna taifa linaloweza kujiletea maendeleo bila ya kuwa na international cooperation.
 
Hivi nyie wakristo hamna kitu cha kuongea zaidi ya kutafuta wapi nchi za ki islam zina makosa, kwa kukufahamisha zaidi wakati wa Prophet Muhammad, uncle yake Abu Lahab alikuwa hafati dini na alikuwa adui ya uislam, ndio pale mwenyezi Mungu aliposema kwenye Sura Al Masad; 1. Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia 2. Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma3. Atauingia Moto wenye mwako 4. Na mkewe, mchukuzi wa kuni 5. Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.


Mtume Muhammad pia alisema kwenye hadith zake; Al nari limani asaani hata laula sayd Al Quresh. Tafsiri yake kila mtu atakaye mkataa kama yeye ni mtume wa Mungu, na hafati dini ya kislam, atachomwa na moto hata kama yuko katika family yangu.

Sa usidhani wote walio katika nchi za kislam watakuwa waislam, ikiwa katika family ya mtume Muhammad uncle yake alikuwa kama mtume wenu Paulo.

Tafuteni mengine sio kila kitu uislam, nchi za kislam zikifanya makosa kidogo mnakuja shambulia uisilam, mna waonea wivu sana waislam, Sijawahi kuona muislam anakuja shambulia nchi za kikristo kwa ajili kuna Aids kwenye nchi zao. Wivu wenu tokea wakati wa mama wa wayahudii Sara alivyo anzisha wivu kwa mama wa warabu Hajar, na huo ugonjwa hamtauondoa sababu ni maradhi makubwa mnajiambukiza kila kukicha.

Kwa Mungu mtu anaye muonea wivu mwenzake sababu kapewa na Mungu hapendwi kamwe, nasidhani kama pepo iko kwa wale wenye wivu wakuonae wivu wenzao, ndio sababu Mwenyezi Mungu akasema ukiona mwenzako kapata wacha wivu omba apewe zaidi ili na wewe upewe.
 
Du kazi ipo. ..jamani ukimwi ni janga. Mkileta ujuaji mtakwisha wote.. udini hautaondoa tatizo
 
Hivi nyie wakristo hamna kitu cha kuongea zaidi ya kutafuta wapi nchi za ki islam zina makosa, kwa kukufahamisha zaidi wakati wa Prophet Muhammad, uncle yake Abu Lahab alikuwa hafati dini na alikuwa adui ya uislam, ndio pale mwenyezi Mungu aliposema kwenye Sura Al Masad; 1. Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia 2. Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma3. Atauingia Moto wenye mwako 4. Na mkewe, mchukuzi wa kuni 5. Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.


Mtume Muhammad pia alisema kwenye hadith zake; Al nari limani asaani hata laula sayd Al Quresh. Tafsiri yake kila mtu atakaye mkataa kama yeye ni mtume wa Mungu, na hafati dini ya kislam, atachomwa na moto hata kama yuko katika family yangu.

Sa usidhani wote walio katika nchi za kislam watakuwa waislam, ikiwa katika family ya mtume Muhammad uncle yake alikuwa kama mtume wenu Paulo.

Tafuteni mengine sio kila kitu uislam, nchi za kislam zikifanya makosa kidogo mnakuja shambulia uisilam, mna waonea wivu sana waislam, Sijawahi kuona muislam anakuja shambulia nchi za kikristo kwa ajili kuna Aids kwenye nchi zao. Wivu wenu tokea wakati wa mama wa wayahudii Sara alivyo anzisha wivu kwa mama wa warabu Hajar, na huo ugonjwa hamtauondoa sababu ni maradhi makubwa mnajiambukiza kila kukicha.

Kwa Mungu mtu anaye muonea wivu mwenzake sababu kapewa na Mungu hapendwi kamwe, nasidhani kama pepo iko kwa wale wenye wivu wakuonae wivu wenzao, ndio sababu Mwenyezi Mungu akasema ukiona mwenzako kapata wacha wivu omba apewe zaidi ili na wewe upewe.
Sifa ya Muislam ni Kulalamika na kulalamika huko ni sababu ya Ujinga zaidi... Waislam werevu hutulia tu..


Sasa wewe watu wameleta Mada wewe unaona ni wivu? kha na umechombeza maneno yako ili uchefue watu na Thread ifutwe ndio usikie raha....
 
Sifa ya Muislam ni Kulalamika na kulalamika huko ni sababu ya Ujinga zaidi... Waislam werevu hutulia tu..


Sasa wewe watu wameleta Mada wewe unaona ni wivu? kha na umechombeza maneno yako ili uchefue watu na Thread ifutwe ndio usikie raha....
dogo tulizana wacha fujo, nauliza faida ya hii thread ni ipi? Ingekuwa Iran si nchi ya kislam mgeleta topic hii. Sasa wewe unataka sisi waislam tunyamaze tu, hata kama nchi za kislam zikipigwa vijembe hapa na wakristo. Hapo sahau kabisa kama tawanyamazieni, mkileta ukondoo wenu hapa, lazima tuwachinje tu ndio sunna.
 
dogo tulizana wacha fujo, nauliza faida ya hii thread ni ipi? Ingekuwa Iran si nchi ya kislam mgeleta topic hii. Sasa wewe unataka sisi waislam tunyamaze tu, hata kama nchi za kislam zikipigwa vijembe hapa na wakristo. Hapo sahau kabisa kama tawanyamazieni, mkileta ukondoo wenu hapa, lazima tuwachinje tu ndio sunna.

Safari bado ni ndefu kwa hali hii

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
 
Hivi nyie wakristo hamna kitu cha kuongea zaidi ya kutafuta wapi nchi za ki islam zina makosa, kwa kukufahamisha zaidi wakati wa Prophet Muhammad, uncle yake Abu Lahab alikuwa hafati dini na alikuwa adui ya uislam, ndio pale mwenyezi Mungu aliposema kwenye Sura Al Masad; 1. Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia 2. Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma3. Atauingia Moto wenye mwako 4. Na mkewe, mchukuzi wa kuni 5. Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.


Mtume Muhammad pia alisema kwenye hadith zake; Al nari limani asaani hata laula sayd Al Quresh. Tafsiri yake kila mtu atakaye mkataa kama yeye ni mtume wa Mungu, na hafati dini ya kislam, atachomwa na moto hata kama yuko katika family yangu.

Sa usidhani wote walio katika nchi za kislam watakuwa waislam, ikiwa katika family ya mtume Muhammad uncle yake alikuwa kama mtume wenu Paulo.

Tafuteni mengine sio kila kitu uislam, nchi za kislam zikifanya makosa kidogo mnakuja shambulia uisilam, mna waonea wivu sana waislam, Sijawahi kuona muislam anakuja shambulia nchi za kikristo kwa ajili kuna Aids kwenye nchi zao. Wivu wenu tokea wakati wa mama wa wayahudii Sara alivyo anzisha wivu kwa mama wa warabu Hajar, na huo ugonjwa hamtauondoa sababu ni maradhi makubwa mnajiambukiza kila kukicha.

Kwa Mungu mtu anaye muonea wivu mwenzake sababu kapewa na Mungu hapendwi kamwe, nasidhani kama pepo iko kwa wale wenye wivu wakuonae wivu wenzao, ndio sababu Mwenyezi Mungu akasema ukiona mwenzako kapata wacha wivu omba apewe zaidi ili na wewe upewe.

We bwana mkubwa una yako tu. ukimwi hauna dini wala kabila mpaka hyo bwana minister amekir ni tatzo ila ww hayo yote huyaoni. Yani unasoma thread nzima unatafuta wapi "uislamu". Nahisi huwa una search kabisa hyo keyword kwenye kila thread unayofungua. Unadhalilisha wenzio kwa upeo wako mfupi....
 
Sifa ya Muislam ni Kulalamika na kulalamika huko ni sababu ya Ujinga zaidi... Waislam werevu hutulia tu..


Sasa wewe watu wameleta Mada wewe unaona ni wivu? kha na umechombeza maneno yako ili uchefue watu na Thread ifutwe ndio usikie raha....

We mlajana!
Unajua binaadamu akiwa na tabia ya kumchukia mtu the way unawachukia waislamu, basi lazima kuna kitu kibaya wamekufanya!
Sasa ngoja nikwambie kitu!
Kama kuna mtu alikuchania majora yako! Na alikuwa amevaa kibalagashia au kanzu basi nakuhakikishia huyo sio mwislamu!

Unajua waislamu wameruhusiwa.kuoa mpaka wake wanne! Sasa sidhani kama mnuka kikwapa kama wewe unaweza .kumvutia mtu mwenye wake.wanne.!!

Hatari iko wa wale WALIOKATAZWA.KUOA NA PAROKIA!

Wale hawajali kisu chao kinaenda wapi!

Iwe ni dume au mbuzi au kuku! we twende kazini!

Sasa we mi nakushauri tabia za kelewa pombe ya moshi halafu kukatiza maeneo ya kigogo usiku haifai!
Na hata pale manzese pia hapafai. Hasa pale kwenye makanisa! Ni hatari sana! Wachungaji wana uraru!

Shauri yako.

Cc faby wabara
 
Last edited by a moderator:
We bwana mkubwa una yako tu. ukimwi hauna dini wala kabila mpaka hyo bwana minister amekir ni tatzo ila ww hayo yote huyaoni. Yani unasoma thread nzima unatafuta wapi "uislamu". Nahisi huwa una search kabisa hyo keyword kwenye kila thread unayofungua. Unadhalilisha wenzio kwa upeo wako mfupi....

Upeo mfupi sawa na yule mama mjakazi aliyezaa na bwana wake akiamini mke halal atafukuzwa arithi nchi yeye. Matokeo yake Mungu alimfukuza na kitoto chake haramu vikakae jangwani
 
Umalaya ni tabia siyo dini.

Malaya wote ni watu waendao kinyume na tamaduni za jamii na dini zao.

Hakuna dini inayoruhusu watu wake kuwa malaya, hakuna jamii inayohiiza watu wake kuwa malaya.

Ukengeufu ndiyo asili ya umalaya wote duniani.

Imani au Dini haimkingi mtu na vurumai za dunia kinacho mkinga ni tabia njema itokanayo na mafundisho mema ya dini yake.

We mlajana!
Unajua binaadamu akiwa na tabia ya kumchukia mtu the way unawachukia waislamu, basi lazima kuna kitu kibaya wamekufanya!
Sasa ngoja nikwambie kitu!
Kama kuna mtu alikuchania majora yako! Na alikuwa amevaa kibalagashia au kanzu basi nakuhakikishia huyo sio mwislamu!

Unajua waislamu wameruhusiwa.kuoa mpaka wake wanne! Sasa sidhani kama mnuka kikwapa kama wewe unaweza .kumvutia mtu mwenye wake.wanne.!!

Hatari iko wa wale WALIOKATAZWA.KUOA NA PAROKIA!

Wale hawajali kisu chao kinaenda wapi!

Iwe ni dume au mbuzi au kuku! we twende kazini!

Sasa we mi nakushauri tabia za kelewa pombe ya moshi halafu kukatiza maeneo ya kigogo usiku haifai!
Na hata pale manzese pia hapafai. Hasa pale kwenye makanisa! Ni hatari sana! Wachungaji wana uraru!

Shauri yako.

Cc faby wabara
 
We mlajana!
Unajua binaadamu akiwa na tabia ya kumchukia mtu the way unawachukia waislamu, basi lazima kuna kitu kibaya wamekufanya!
Sasa ngoja nikwambie kitu!
Kama kuna mtu alikuchania majora yako! Na alikuwa amevaa kibalagashia au kanzu basi nakuhakikishia huyo sio mwislamu!

Unajua waislamu wameruhusiwa.kuoa mpaka wake wanne! Sasa sidhani kama mnuka kikwapa kama wewe unaweza .kumvutia mtu mwenye wake.wanne.!!

Hatari iko wa wale WALIOKATAZWA.KUOA NA PAROKIA!

Wale hawajali kisu chao kinaenda wapi!

Iwe ni dume au mbuzi au kuku! we twende kazini!

Sasa we mi nakushauri tabia za kelewa pombe ya moshi halafu kukatiza maeneo ya kigogo usiku haifai!
Na hata pale manzese pia hapafai. Hasa pale kwenye makanisa! Ni hatari sana! Wachungaji wana uraru!

Shauri yako.

Cc faby wabara

Wenye wake wanne hawazini? Vipi hao wanawake ni nani anayewatosheleza? Tamaa mbaya sana.
 
Last edited by a moderator:
Wenye wake wanne hawazini? Vipi hao wanawake ni nani anayewatosheleza? Tamaa mbaya sana.

Wanaweza kuzini lkn kumbaka mtu kama wewe au Mlaleo ni kitu kisichowezekana kabisa!
Ili.mtu mwenye wake wanne atokee mpaka atamani kukubaka basi lazima uwe na mvuto sana!
Na hilo kwako wewe na huyo msukule mwingine hata kipofu hawezi tamani!

Labda uongeze mkorogo kwa fujo!

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Umalaya ni tabia siyo dini.

Malaya wote ni watu waendao kinyume na tamaduni za jamii na dini zao.

Hakuna dini inayoruhusu watu wake kuwa malaya, hakuna jamii inayohiiza watu wake kuwa malaya.

Ukengeufu ndiyo asili ya umalaya wote duniani.

Imani au Dini haimkingi mtu na vurumai za dunia kinacho mkinga ni tabia njema itokanayo na mafundisho mema ya dini yake.

Unajua ukiwa umesoma kidogo basi ungefahamu kanuni moja ktk physics inayosema "to every effect there must be a CAUSE"!!
Yaani kwa kila tukio au tendo lazima kuwe na sababu au kitukishaji!!
Sasa kama sisi binaadamu maumbile yetu yanahitaji kuwa na mwenzako ili mkidhi haja zenu! Halafu inakuja imani au dini ikakwambia "wewe umeberikiwa na Yesu huna haja ya kuoa au kuolewa" kwa sababu wewe ni mtakatifu sana na unalitumikia kanisa" je! Yakija yale matamanio kupita kiasi ukabaka! Hapo DINI AU HIO IMANI HAITOKUWA NDIO SABABU??

We umeumbwa na Mungu uyatumie maumbile yako inavyotakiwa! Halafu unajifanya una akili kuliko aliyekuumba!
Si ndio maana tunaona watu wanageuka waliberali sababu ya hizi imani za ajabu!!
 
Me nilidhani kwa sababu ya kujifunika muda wote hata sehemu flani flani kuziona ni issue kumbe yale ni mavazi tu kiasi kwamba tabia inabaki kua kama ngozi tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom