Iran power Generation tops 80,053 MW... Tanzania power Generation below 2000MW

BINARY NO

JF-Expert Member
Dec 29, 2011
2,148
2,160
Duh ktk pitapita zangu nimeshtuka kuona hii Nchi yenye ma sanctions kila kukicha eti wanazalisha umeme zaidi ya Megawatts 80,000 na kuuza ktk nchi zote wanazopakana nazo km Turkey,Irak,Pakistan nk nk Uku Tanzania tokea Uhuru hadi Leo hii hatujawahi fikisha ata Megawatts 2000 na bado tunahubiri viwanda kweli? Nimekuja gundua Hawa waajemi sio watu wa kawaida asiee kwani licha ya vikwazo chungu mzima lakini ndo Top kwa kuzarisha umeme uko masharaki ya kati na wameweza kumasta technology za umeme na vifaa vyake kwa zaidi ya 90%
Iran’s Power Generation Capacity Tops 80,000 MW - Economy news - Tasnim News Agency
 
Mk
Duh ktk pitapita zangu nimeshtuka kuona hii Nchi yenye ma sanctions kila kukicha eti wanazalisha umeme zaidi ya Megawatts 80,000 na kuuza ktk nchi zote wanazopakana nazo km Turkey,Irak,Pakistan nk nk Uku Tanzania tokea Uhuru hadi Leo hii hatujawahi fikisha ata Megawatts 2000 na bado tunahubiri viwanda kweli? Nimekuja gundua Hawa waajemi sio watu wa kawaida asiee kwani licha ya vikwazo chungu mzima lakini ndo Top kwa kuzarisha umeme uko masharaki ya kati na wameweza kumasta technology za umeme na vifaa vyake kwa zaidi ya 90%
Iran’s Power Generation Capacity Tops 80,000 MW - Economy news - Tasnim News Agency
Mkuu hata rais wetu ameliona hilo ndio maana anajenga stiegrers gorge ijapo anatukanwa sana
 
Wakitaka kujenga Stiegler's dam mna lalamika kuwa haina faida kwa mwananchi, lakini mkiona wenzenu wamewekeza huko mnaanza kuilaumu serikali yenu kuwa imechelewa kufanya hayo, hapo ndipo huwa tunapishana sasa.

Rwanda walipo nunua ndege kubwa aina ya Boeing, Kikwete alioshwa matusi ya nguoni na kuitwa fisadi na dhaifu, Magufuli kanunua Midege hiyo anatukanwa tena kuwa ni mshamba hajui vipaumbele,

Saivi mnadai demokrasia na hamtaji cha SGR, Stiegler's gorge, ndege n.k

Kupata maendeleo sio lelemama, ni kujitoa haswa. Hawa wenzetu wameendelea kwa kafara za juhudi na uzalendo.
 
nasi tutafika huko,tutakuwa na umeme wa gase,maji wa kutosha tu,iran ni ya miaka mingi
 
Wakitaka kujenga Stiegler's dam mna lalamika kuwa haina faida kwa mwananchi, lakini mkiona wenzenu wamewekeza huko mnaanza kuilaumu serikali yenu kuwa imechelewa kufanya hayo, hapo ndipo huwa tunapishana sasa.

Rwanda walipo nunua ndege kubwa aina ya Boeing, Kikwete alioshwa matusi ya nguoni na kuitwa fisadi na dhaifu, Magufuli kanunua Midege hiyo anatukanwa tena kuwa ni mshamba hajui vipaumbele,

Saivi mnadai demokrasia na hamtaji cha SGR, Stiegler's gorge, ndege n.k

Kupata maendeleo sio lelemama, ni kujitoa haswa. Hawa wenzetu wameendelea kwa kafara za juhudi na uzalendo.
Watu kama hawa ni wa kuchoma moto hawana faida
 
Wakitaka kujenga Stiegler's dam mna lalamika kuwa haina faida kwa mwananchi, lakini mkiona wenzenu wamewekeza huko mnaanza kuilaumu serikali yenu kuwa imechelewa kufanya hayo, hapo ndipo huwa tunapishana sasa.

Rwanda walipo nunua ndege kubwa aina ya Boeing, Kikwete alioshwa matusi ya nguoni na kuitwa fisadi na dhaifu, Magufuli kanunua Midege hiyo anatukanwa tena kuwa ni mshamba hajui vipaumbele,

Saivi mnadai demokrasia na hamtaji cha SGR, Stiegler's gorge, ndege n.k

Kupata maendeleo sio lelemama, ni kujitoa haswa. Hawa wenzetu wameendelea kwa kafara za juhudi na uzalendo.
Ni mawazo ya kijima kuamini kuwa maendeleo hayawezi kwenda sambamba na demokrasia, kazi ya upinzani au wananchi kwa ujumla ni kudai vile vitu ambavyo serikali haijavifanya vizuri. Kuna wakati hata Kawawa aliwahi kukutaa kuingizwa kwa haki za binadamu katika Katiba akidai haki hizo ni starehe zinazoleta ghasia katika nchi.
 
Iran watakua wanazalisha umeme wa Nuclear na gesi huo unaweza ukapata hizo megawatts nyingi sio umeme wa maji una megawatts chache ila gharama yake ni nafuu pia...hapa kuna gesi,makaa ya mawe na maji lakini umeme bado tatizo miaka nenda miaka rudi...
 
Mleta mada umesahau kufananisha megawatts za Irani dhidi za Israel na Marekani nani mwenye nyingi.

Israel to build 500-megawatt solar power facility

hahaha 500 Israel megawat vs iran 80000+ megawatt haya umefurahi sasa?

mashoga wa israel na hivyo vimegawat vyao 500 vs marijali wa iran megawat 80000+

sasa hapo uchague usupport marijali au hao mashoga


msiiifananishe iran na hao machoko wa telaviv
hawana hadhi hiyo
 
Ndiyo maana hata Rais wetu mpendwa JPJM ameliona hilo na kuanzisha mradi wa umeme wa Stieglers Gorge.
 
Back
Top Bottom