Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,486
- 51,063
Naam, siyo wengine bali ni walewale watoto wa Ayatollah ndiyo wanaoongoza kutupiga tafu kwenye mikopo Siyo China, wala Marekani wanaoongoza kutukopesha ili tufanye mambo ya maendeleo, bali ni Wairani.
Wairan ni watu walionyooka sana, hawapendi kuburuzwa, ni watu wanaojiamini. Pamoja na wao kuwekewa vikwazo viiiingi vya kiuchumi lakini bado wana hela za kutukopesha.
Hebu cheki takwimu hizi.
Wairan ni watu walionyooka sana, hawapendi kuburuzwa, ni watu wanaojiamini. Pamoja na wao kuwekewa vikwazo viiiingi vya kiuchumi lakini bado wana hela za kutukopesha.
Hebu cheki takwimu hizi.