Iran na nchi zenye nguvu duniani zimetia saini makubaliano ya kuunda taasisi ya fedha ndani ya Umoja wa Ulaya kuwezesha malipo ya biashara kati yao .

Hii ni mipango tu ya kibinadamu lakini sidhan kama kutakua na mafanikio kwenye hili
Ina maana waliokutana waka jadili na kukubaliana kwa sauti moja kisha waka Saini.

Kwa hiyo wewe una waona hawana akili kwa wanachokifanya sio...?

Wenzetu wanatafuta mbinu na kubuni njia kila siku kwa ajili ya maslahi ya Taifa lao na watu watu wao,
wewe uliopo Temeke kwa mchambia chupa na kishwahili chako chepesi kwenye keyboard " sidhani kama kutakuwa na mafanikio"

Onyesha njia basi uliyoibuni wewe kuonyesha kuwa wakiifanya lazima wafanikiwe...
 
Baada ya Trump kuingia madarakani ndio nimegundua nguvu ya Marekani duniani.Hizo nchi zote zinapambana na nchi moja tu na huenda wakafeli!
Nguvu ya Marekani imetokana na support kubwa kutoka EU kawatumia Sana kwa maslahi yake ujio wa Trump umewaamsha kutoka ktk usingizi mzito Sana waliokuwa wamelala....Marekani bila Umoja wa ulaya Hana Cha kujivunia,marekani anajaribu kutengeneza dunia yake yeye Kama yeye vzr maana atawapa Nafasi wengine watawale dunia, vizazi vijavyo vitashuhudia anguko kubwa na Us, tatizo muda tu....
 
Wapo wanaosema kuikabili Marekani ni sawa sawa na kuandika herufi kwenye maji tena yanayotirirka. Dalili ya mvua ni mawingu lakini ngoja nisitosheke nayo, uzuri historia huwa inajitanabaisha yenyewe. "History" ni suala la muda tu.
 
Marekani mda siyo mrefu atawavurunga
Waziri wa Kaskazini, haya mambo si mepesi tuwe na maneno ya akiba. EU ni mshirika muhimu sana wa America huwa wanasaidiana kwenye " economic opportunity, Diplomatic support na international problems". Baadhi ya washirika wa EU mpaka kufikia hatua ya hayo makubaliani waliyoyatia saini ni kitu ambacho chenye mkito na hayo yote ni kwa sababu ya maslahi ya Mataifa yao.

Ijapokuwa Trump na kauli mbiu yake "America first" but kuhusu EU ni mshirika wenye historia nayo ndefu, something Washington would be wise to remember.
 
Waziri wa Kaskazini, haya mambo si mepesi tuwe na maneno ya akiba. EU ni mshirika muhimu sana wa America huwa wanasaidiana kwenye " economic opportunity, Diplomatic support na international problems". Baadhi ya washirika wa EU mpaka kufikia hatua ya hayo makubaliani waliyoyatia saini ni kitu ambacho chenye mkito na hayo yote ni kwa sababu ya maslahi ya Mataifa yao.

Ijapokuwa Trump na kauli mbiu yake "America first" but kuhusu EU ni mshirika wenye historia nayo ndefu, something Washington would be wise to remember.
No bias Safi sana , bro mkuu
 
Waziri wa Kaskazini, haya mambo si mepesi tuwe na maneno ya akiba. EU ni mshirika muhimu sana wa America huwa wanasaidiana kwenye " economic opportunity, Diplomatic support na international problems". Baadhi ya washirika wa EU mpaka kufikia hatua ya hayo makubaliani waliyoyatia saini ni kitu ambacho chenye mkito na hayo yote ni kwa sababu ya maslahi ya Mataifa yao.

Ijapokuwa Trump na kauli mbiu yake "America first" but kuhusu EU ni mshirika wenye historia nayo ndefu, something Washington would be wise to remember.
Hata mission za kivita alizofanya kwa support ya NATO alifanikiwa kwa kiasi kikubwa.
EU na Marekani ni ndugu sema Trump kichwa kibovu.
 
Kuna kitu kiko nyuma ya uhusiano wa Iran na EU. Na muda pekee ndio utadhihirisha kilichopo
 
Nguvu ya Marekani imetokana na support kubwa kutoka EU kawatumia Sana kwa maslahi yake ujio wa Trump umewaamsha kutoka ktk usingizi mzito Sana waliokuwa wamelala....Marekani bila Umoja wa ulaya Hana Cha kujivunia,marekani anajaribu kutengeneza dunia yake yeye Kama yeye vzr maana atawapa Nafasi wengine watawale dunia, vizazi vijavyo vitashuhudia anguko kubwa na Us, tatizo muda tu....
Vice versa is true. EU walikuwa wanaishi kwa kutumia mgongo wa Marekani Kiuchumi,Kisiasa na Kiusalama.
 
Back
Top Bottom