Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,482
- 9,242
Huku İran ikitishia kuifuta Tel Aviv na Haifa katika ramani, Netanyahu awaonya wasijaribu kufanya makosa hayo
Vita kali ya Maneno baina ya İran na İzrael
Waziri mkuu wa İzrael Benjamin Netanyahu ameijibu kauli ya İran isemayo kama Marekani ikiishambulia İran basi İran watalipiza kisasi kwa Kuifuta Tel Aviv na Haifa katika uso wa dunia.
Netanyahu amesema kama İran itajaribu kufanya makosa ya kuifuta Tel Aviv na Haifa katika uso wa dunia huo ndio utakuwa mwaka mpya wao wa mwisho kuusherekea.
Netanyahu alisema hawajavipuuzia vitisho vinavyotolewa na İran lakini pia hawajatishika kwa vitisho hivyo.
Netanyahu alisema kama uongozi wa sasa wa İran ulıopo madarakanı utajarıbu kufanya makosa ya kuifuta Tel Aviv na Haifa, kıtu ambacho hawatafanikiwa lakini huo ndio unaweza kuwa mwaka mpya wao wa mwisho kuusherekea.
Mmoja wa makamanda wa jeshi la İran Yadullah Javani aliliambia shirika la habari la İran İRNA hapo jana kwamba kama Marekani itaishambulia İran basi na wao (Iran) wataifuta Tel Aviv na Haifa katika ramani.
Trt
Vita kali ya Maneno baina ya İran na İzrael
Waziri mkuu wa İzrael Benjamin Netanyahu ameijibu kauli ya İran isemayo kama Marekani ikiishambulia İran basi İran watalipiza kisasi kwa Kuifuta Tel Aviv na Haifa katika uso wa dunia.
Netanyahu amesema kama İran itajaribu kufanya makosa ya kuifuta Tel Aviv na Haifa katika uso wa dunia huo ndio utakuwa mwaka mpya wao wa mwisho kuusherekea.
Netanyahu alisema hawajavipuuzia vitisho vinavyotolewa na İran lakini pia hawajatishika kwa vitisho hivyo.
Netanyahu alisema kama uongozi wa sasa wa İran ulıopo madarakanı utajarıbu kufanya makosa ya kuifuta Tel Aviv na Haifa, kıtu ambacho hawatafanikiwa lakini huo ndio unaweza kuwa mwaka mpya wao wa mwisho kuusherekea.
Mmoja wa makamanda wa jeshi la İran Yadullah Javani aliliambia shirika la habari la İran İRNA hapo jana kwamba kama Marekani itaishambulia İran basi na wao (Iran) wataifuta Tel Aviv na Haifa katika ramani.
Trt