Iran na Israel: Suala la Nyuklia what is behind the scene?

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,990
17,879
Wakuu,

Kumekua na tetesi na hali ya tahadhari kati ya Israel na Iran na kutishia kushambuliana je, kuna ukweli kuwa huenda wakashambuliana?

Iran mpaka sasa ni adui mkubwa wa Israel kwa kuwahami Wapalestina na Hezbollah ambao ni tishio kwa nchi ya Israel lakini bado Mossad na Israel wapo kimya? Kwanini?

Je, Mossad wameshindwa kabisa kuvishambulia vinu vya kinyuklia vya Iran?

Na Iran nayo adui ni Israel inakuaje hawatumii sera ya pre-attack kumuwahi adui
Jamii Intelligence shusheni vitu
 
Inasemekana Iran hajaanza uzalishaji wa uranium bado yuko kwenye process za kumiliki vinu vya nyuklia kitu ambacho Israel na washirika wenzake hawapendi kukiona ili hali wenyewe wanavyo mpaka na makombora wanayo
 
Inasemekana Iran hajaanza uzalishaji wa uranium bado yuko kwenye process za kumiliki vinu vya nyuklia kitu ambacho Israel na washirika wenzake hawapendi kukiona ili hali wenyewe wanavyo mpaka na makombora wanayo
 
...
Na iran nayo adui ni israel inakuaje hawatumii sera ya pre-attack kumuwahi adui
jf intelgence shusheni vitu
Sijakupata vizuri. Kwamba Iran atumie pre-attack kumuwahi Israel? Dada (your avatar) unachekesha kweli! Israel is always at highest alert all the time utamuwahi vipi zaidi ya kujipeleka "mdomoni mwa mamba" mwenyewe? Yaani unataka Iran waipe Israel sababu ya bure kitu ambacho Israel inakitafuta mchana na usiku?
 
Siku iran akirogwa ajidai hata kurusha jiwe ndani ya ardhi ya israel,basi israel nayo itakua imepata sababu muhimu na iliyokua ikiitafuta siku nyingi kuitwanga iran.
 
Siku iran akirogwa ajidai hata kurusha jiwe ndani ya ardhi ya israel,basi israel nayo itakua imepata sababu muhimu na iliyokua ikiitafuta siku nyingi kuitwanga iran.
Siku iran akirogwa ajidai hata kurusha jiwe ndani ya ardhi ya israel,basi israel nayo itakua imepata sababu muhimu na iliyokua ikiitafuta siku nyingi kuitwanga iran.
hahaha
 
Siku iran akirogwa ajidai hata kurusha jiwe ndani ya ardhi ya israel,basi israel nayo itakua imepata sababu muhimu na iliyokua ikiitafuta siku nyingi kuitwanga iran.
Siku iran akirogwa ajidai hata kurusha jiwe ndani ya ardhi ya israel,basi israel nayo itakua imepata sababu muhimu na iliyokua ikiitafuta siku nyingi kuitwanga iran.
hahaha iran naye alsema anatafuta tiket
 
Wakuu,

Kumekua na tetesi na hali ya tahadhari kati ya Israel na Iran na kutishia kushambuliana je, kuna ukweli kuwa huenda wakashambuliana?

Iran mpaka sasa ni adui mkubwa wa Israel kwa kuwahami Wapalestina na Hezbollah ambao ni tishio kwa nchi ya Israel lakini bado Mossad na Israel wapo kimya? Kwanini?

Je, Mossad wameshindwa kabisa kuvishambulia vinu vya kinyuklia vya Iran?

Na Iran nayo adui ni Israel inakuaje hawatumii sera ya pre-attack kumuwahi adui
Jamii Intelligence shusheni vitu

Mosi,tafuta ripoti ya MOSSAD ambayo Haaretz waliitoa kuhusu Iran.
Pili,Israel na Iran wanapigana mpaka leo chini kwa chini kwa kutumia Proxies:
Iran anatumia Hezbollah, P.L.O na Jeshi la Syria. (Chini ya Mwamvuli wa Urusi)
Israel anatumia Saudi Arabia, Wakurdi wa Syria, I.S.I.S/ISIL. (Chini ya Mwamvuli wa Marekani)

Iran wala Israeli hawawezi kuanzisha vita bila ruhusa ya Urusi na Marekani.
Siasa za hawa wakubwa ndiyo zitaamua kuwepo au kutokuwepo kwa hiyo vita.
Israeli hawezi pigana vita bila Marekani na Iran hawezi kupigana vita bila msaada wa Urusi.
Haya mataifa yana maslahi makubwa hapo Mashariki ya kati na hayawezi kuruhusu vita isiyo na umuhimu kuyaharibu.
 
Mosi,tafuta ripoti ya MOSSAD ambayo Haaretz waliitoa kuhusu Iran.
Pili,Israel na Iran wanapigana mpaka leo chini kwa chini kwa kutumia Proxies:
Iran anatumia Hezbollah, P.L.O na Jeshi la Syria. (Chini ya Mwamvuli wa Urusi)
Israel anatumia Saudi Arabia, Wakurdi wa Syria, I.S.I.S/ISIL. (Chini ya Mwamvuli wa Marekani)

Iran wala Israeli hawawezi kuanzisha vita bila ruhusa ya Urusi na Marekani.
Siasa za hawa wakubwa ndiyo zitaamua kuwepo au kutokuwepo kwa hiyo vita.
Israeli hawezi pigana vita bila Marekani na Iran hawezi kupigana vita bila msaada wa Urusi.
Haya mataifa yana maslahi makubwa hapo Mashariki ya kati na hayawezi kuruhusu vita isiyo na umuhimu kuyaharibu.
asante
 
Iran asije kujaribu hata siku moja..... Israel siyo wa sport sport....Kama vipi aulizie yule Rais wa Misri..NASSOR na washirika wake walifanywaje...sasa yeye mmoja tu apigane na taifa linaloongoza technology ya dunia....kumbuka Waisrael ndo taifa pekee linaloweza kudukua taarifa za siri kutoka kwenye Iphones...

ONYO:-NI MIMI PEKEE NDO NAWEZA KU-DEAL NAO..
 
Mosi,tafuta ripoti ya MOSSAD ambayo Haaretz waliitoa kuhusu Iran.
Pili,Israel na Iran wanapigana mpaka leo chini kwa chini kwa kutumia Proxies:
Iran anatumia Hezbollah, P.L.O na Jeshi la Syria. (Chini ya Mwamvuli wa Urusi)
Israel anatumia Saudi Arabia, Wakurdi wa Syria, I.S.I.S/ISIL. (Chini ya Mwamvuli wa Marekani)

Iran wala Israeli hawawezi kuanzisha vita bila ruhusa ya Urusi na Marekani.
Siasa za hawa wakubwa ndiyo zitaamua kuwepo au kutokuwepo kwa hiyo vita.
Israeli hawezi pigana vita bila Marekani na Iran hawezi kupigana vita bila msaada wa Urusi.
Haya mataifa yana maslahi makubwa hapo Mashariki ya kati na hayawezi kuruhusu vita isiyo na umuhimu kuyaharibu.
Umeeleweka mkuu
 
Iran asije kujaribu hata siku moja..... Israel siyo wa sport sport....Kama vipi aulizie yule Raid wa Misri..NASSOR na washirika wake walifanywaje...sasa yeye mmoja tu apigane na taifa linaloongoza technology ya dunia....kumbuka Waisrael ndo taifa pekee linaloweza kudukua taarifa za siri kutoka kwenye Iphones...
Kaulizie nini kilitokea 1973 na vita vya Egypt, Marekani asingeingiliia duniani tungekua na jiografia tofauti.
1967 anavyojitapa Muisrael havikua vita, walishambulia viwanja vya ndege vya nchi za kiarabu na kutupa mabomu kwenye makambi za kijeshi bila wenzao kujua kinachoendelea. Lakini 1973 Egypt walipojiandaa kwa vita Israel walishindwa na njama mpaka wakazamisha meli ya kijeshi ya marekani kumprovoke ili ajue kapigwa na Egypt akawapige nuklia.
ONYO:-NI MIMI PEKEE NDO NAWEZA KU-DEAL NAO..
 
Mosi,tafuta ripoti ya MOSSAD ambayo Haaretz waliitoa kuhusu Iran.
Pili,Israel na Iran wanapigana mpaka leo chini kwa chini kwa kutumia Proxies:
Iran anatumia Hezbollah, P.L.O na Jeshi la Syria. (Chini ya Mwamvuli wa Urusi)
Israel anatumia Saudi Arabia, Wakurdi wa Syria, I.S.I.S/ISIL. (Chini ya Mwamvuli wa Marekani)

Iran wala Israeli hawawezi kuanzisha vita bila ruhusa ya Urusi na Marekani.
Siasa za hawa wakubwa ndiyo zitaamua kuwepo au kutokuwepo kwa hiyo vita.
Israeli hawezi pigana vita bila Marekani na Iran hawezi kupigana vita bila msaada wa Urusi.
Haya mataifa yana maslahi makubwa hapo Mashariki ya kati na hayawezi kuruhusu vita isiyo na umuhimu kuyaharibu.
Kuchukua tano mkuu
 
Back
Top Bottom