Hivi kwa ufahamu wako unadhani Iran tukiikabidhi kwa North Korea chini ya Kiduku ipambane kivita itaweza kuisambaratisha?
USA ni muda tu ndiyo unaosubiriwa lakini kuifananisha USA na Iran kivita ni sawa na kulinganisha uwezo wa ubongo wa Binadamu kwa akili na ikifanyacho Roboti.
Google matokeo ya Vita ya Vietnma na US
Matokeo ya vita hayapatikani kwa ku bet ndugu
Nikumbushe Vita ambayo America ilipigana ikashinda bila ya kusaidiana na Rafiki zake labda Mie nmesahau?