You refer nipe nikupe siyo na kwa dunia ya sasa hakuna wakukusaidia bila kutaka malipo
kuna watu wajinga jinga wajinga tu hata ukimwambia wewe mjinga basi anacheka tu...sasa iran na waraab wapi na wapi
ujinga tu
inajulikana wazi chadema sasa ni chama cha wachaga na wakristo kutoka na post za humu ndani na zina voshabikiwa
sasa azma yenu ya kuingia ikulu sujui itafikiwa vipi kama mna chuki na kila chenye chembe ya uislam ?
naona hio itakua ndoto issiyo wezekana hata kwa miaka mia moja.
basi tuwaombe vatican waje na madaktari wao waje kusaidia kuokoa maisha ya watanzania..hofu yangu hao kutoka vatican kwa kulawiti ndio wameshika nafasi ya mwanzo na kwa utamu wengine wamehalalisha ushoga....utamu wa kuharibu na kuwalawiti vijana wa kiume..haya
wacheni chuki za dini na kejeli mna kazi kubwa ya kufikia lengo lenu
mbona unatukana watu ???? Haya tuletee wewe mapadri madaktari wasiolawiti watu
Mkuu mbona mkali hivo. Kuwa makini mkuu kwa sababu unachokipinga ni hicho hicho unakionyesha (Udini). Jua tu kwamba unapojibu hoja yoyote kwa hasira mara nyingi utatumia hisia bila akili. Ukitumia tu hisia unakuwa tu sawa na nguruwe kwa sababu Allah amewaumba na hisia tu bila akili. Jibu hoja bila kuonyesha mihasira. Afterall haisaidii
Some times hukaa nikaangalia maoni humu na kuangalia mawazo na akili za watu humu lakini nnachokiona ni ujinga mwingi na watu kujifanya kujua sana au kujiona kuwa na uchungu zaidi.Wengine wanaongea kiubaguzi zaidi na kudharau wengine.Ulalahoi wetu unatufanya kuropoka maneno mengine hayako katika ustaarabu.Nauhakika mtu mwenye elimu nzuri huwezi kuona anakoment maneno ya ajabu.Na ukitaka kujua mtu asie na elimu ni rahisi sana kwasababu hata historia au geographia haijui ila kwa kuja na confidence zaidi za mitaani.
By the way Iran au wairan sio waarabu na lugha yao tofauti na wala haifanani na kiarabu.Na kama ni kweli kwa sababu sisi walala hoi tunapenda kuzusha maneno,basi waje na vifaa ili wasaidie kuboresha hospitali zetu zilivo overcrowded na vingine vingi labda inaweza ikawa ni moja ya utatuzi wamambo ya afya.Lakini serikali tunaiomba tena tafadhali wamalize masuala haya na madocta wetu kwa haraka na wawarudishe kazini waje wasaidiane na hao wageni kuja kuboresha zaidi ili wananchi wafaidike.Kwani madocta wa Iran ni mahodari sana hata USA wapo wengi wanawatumia.Ni kutokujua tu au ushabiki zaidi kwasababu tumezoea kuona wazungu tu ndio wanasaidia Africa, maisha yanabadilika ndugu zangu kwani hata huko ulaya mbona wanao foreigners wengi wanaofanya kazi mahospitalini kwani mnadhani hawana akili?Wairan ni watu waliosoma sana na isitoshe wanafanya resarch za madawa hasa za Cancer ili ije isaidie dunia na kutokomeza magonjwa haya.Na kama kweli wanaharibu wanaume mbona makanisa ndio yanajulikana ulimwenguni kwa uchafu huu?Acheni mazungumzo baada ya habari.
Kama ni kweli basi viongozi wa nchi hii watakuwa wanamatope kichwani mwaoKuna tetesi kuwa nchi ya Iran imejitolea kuleta madaktari 1000 kukabiliana na mgomo wa daktari nchini. Madaktari hao hawatalipwa posho wala mishahara mpaka madaktari wa tz watakapositisha mgomo. Kama kuna mtu ana habari zaidi atujuze
Tunakoelekea wanataka kuindesha hii nchi kiislam, hii ndio mbinu ya jk.
Mapadri wanaingiaje hapa. Au kinyume cha ufirauni ni upadri. Kweli Jf kuna mgomo wa kufikiri.
Ni wanafunzi wa udaktari na majasusi..wanakuja for 'excursion and espionage'. Hamna kitu hapo, ule wenu mkubali wawatibu. Mmekwisha.Kuna tetesi kuwa nchi ya Iran imejitolea kuleta madaktari 1000 kukabiliana na mgomo wa daktari nchini. Madaktari hao hawatalipwa posho wala mishahara mpaka madaktari wa tz watakapositisha mgomo. Kama kuna mtu ana habari zaidi atujuze
Bora waje kwa mudahawa wetu wa kiTZ hawana wito wala moral obligations tena. Ni bora hospitali 'zisafishwe' tuanze afresh. Wayahudi, Wacuba, waSA, & wachina nao wataletwe kwa muda. Wasaidizi wanaweza kuwa 'crash-trained' kwa wiki moja tu (.. imewezekana kwa wasaidizi wa sensa).
:rant:
mbona na wewe umeandika yale yae hujamjibu jamaa kiustaarabu ????
tuleteeni hao madaktari kutoka vatican kama mnaona hawa wairani hawafai
Ni wanafunzi wa udaktari na majasusi..wanakuja for 'excursion and espionage'. Hamna kitu hapo, ule wenu mkubali wawatibu. Mmekwisha.
ni kweli kabisa JF kuna mgomo wa kufikiri labda tupate msaada wa wairani humu au sio mkuu ???? Hivi hukuisoma ile post ya jamaa alivyoandika ??? dakatari na ulawiti wapi na wapi???
mafirauni hao hawachelewi kuwwalawiti wagonjwa.. Siwaamini kabisa waarabu sio watu wazuri hata kidogo..
the iran government will want something in return,believe me..!
Ni wanafunzi wa udaktari na majasusi..wanakuja for 'excursion and espionage'. Hamna kitu hapo, ule wenu mkubali wawatibu. Mmekwisha.