Iran invites US firms to build N. power plants

Mr.Toyo

JF-Expert Member
Feb 9, 2007
433
117
Iran Invites US Firms to Build N. Power Plants
TEHRAN (FNA)- Iranian President Mahmoud Ahmadinejad laid emphasis on nuclear cooperation among the world countries and once again invited US companies to build nuclear power plants in Iran.
A0920750.jpg
"Cooperation instead of confrontation in nuclear fields is in the interest of all sides," President Ahmadinejad said, addressing a group of US elites in New York on the sidelines of the UN General Assembly meeting.

He pointed to his address at the UN six year ago in which he asked for the formation of an international consortium for nuclear enrichment in Iran, and added, "Today, Iran needs at least 4 nuclear reactors for power generation and the US companies can participate in the construction of these power plants."

Iran has already built its first nuclear power plant in Southern port city of Bushehr with Russia's help.

Earlier, Ahmadinejad told a news conference in New York that his government is in discussion with Russia about constructing another nuclear power plant in Iran.

Ahmadinejad said Iran needs an additional 19,000 megawatts, or twenty times the power that the Bushehr nuclear plant (also built by Russia) currently provides.​
 
Si mara ya kwanza hii, kama wewe umeona leo. Iran imekwenda mbali zaidi ya hapo na kukubali kubadili tani 1200 za uraniemu iliyorutubishwa kidogo kwa tani 120 tu za Uranieme iliyorutubishwa kwa kiwango cha kati. Hii yote ili 'to build confidence' kuwa Iran hainuii kutengeneza silaha za nuklia (zinazohitajia ureniemu iliyrutubishwa kwa kiwango cha zaidi ya 90%). Matokeo yake, siku ya pili Marekani ikashawishi vikwazo zaidi vikawekwa dhidi ya Iran.
Marekani (inayotawaliwa na Israel) na West, wacheza mchezo kuonesha Iran ni wakaidi mpaka hapo watakapoishambulia. Lakini kwa Iran wamefika mwisho, Mmarekani na Waisraeli wake wakithubutu tu utaona vita ya dunia ya tatu .....na mwisho wa Marekani kama dola kuu!
 
Si mara ya kwanza hii, kama wewe umeona leo. Iran imekwenda mbali zaidi ya hapo na kukubali kubadili tani 1200 za uraniemu iliyorutubishwa kidogo kwa tani 120 tu za Uranieme iliyorutubishwa kwa kiwango cha kati. Hii yote ili 'to build confidence' kuwa Iran hainuii kutengeneza silaha za nuklia (zinazohitajia ureniemu iliyrutubishwa kwa kiwango cha zaidi ya 90%). Matokeo yake, siku ya pili Marekani ikashawishi vikwazo zaidi vikawekwa dhidi ya Iran.
Marekani (inayotawaliwa na Israel) na West, wacheza mchezo kuonesha Iran ni wakaidi mpaka hapo watakapoishambulia. Lakini kwa Iran wamefika mwisho, Mmarekani na Waisraeli wake wakithubutu tu utaona vita ya dunia ya tatu .....na mwisho wa Marekani kama dola kuu!

wamaanisha marekan na israel hawana power kupgana na kuishnda tehran?hapo umechemka mkuu maana hata tel aviv(israel) pekee yaweza kumshnda muiran kvita.ni mtzamo wa ki-ethnocentrism
 
Si mara ya kwanza hii, kama wewe umeona leo. Iran imekwenda mbali zaidi ya hapo na kukubali kubadili tani 1200 za uraniemu iliyorutubishwa kidogo kwa tani 120 tu za Uranieme iliyorutubishwa kwa kiwango cha kati. Hii yote ili 'to build confidence' kuwa Iran hainuii kutengeneza silaha za nuklia (zinazohitajia ureniemu iliyrutubishwa kwa kiwango cha zaidi ya 90%). Matokeo yake, siku ya pili Marekani ikashawishi vikwazo zaidi vikawekwa dhidi ya Iran.
Marekani (inayotawaliwa na Israel) na West, wacheza mchezo kuonesha Iran ni wakaidi mpaka hapo watakapoishambulia. Lakini kwa Iran wamefika mwisho, Mmarekani na Waisraeli wake wakithubutu tu utaona vita ya dunia ya tatu .....na mwisho wa Marekani kama dola kuu!

tel aviv unaifananisha na washington na waisrael? Akili ya kuazima nini hii
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom