The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,843
- 3,259
Ngoja aje kamanda wao aseme unataka kuiba mvua.
Watakwambia kwenye milima wameficha vifaru vinavyoweza paa angani
Watakwambia kwenye milima wameficha vifaru vinavyoweza paa angani
Kama niliivyoelewa mimi uzito wa bomu ni kilo 9,800 wastani wa tani 10 pia inawezekana kurushwa toka ardhini ni kiasi cha kuyapa uwezo wa kufanya hivyo kutoka na shabaha iliyokusudiwa.
Hiv North korea anamtengenezea nan Nuclear.wewe ndo uache kubwabwaja...kama unaijua historia ya nuclear iweje uje kutudanganya hapa eti iran ana teknolojia ya nyuklia??? hao wazee wa mkekani wataanzia wapi kuwaza mambo kama hayo???
Duh we jamaa hzo udaku wazitolea wapiIsrael kila siku anapiga mahandaki ya silaha ya Iran yaliyopo syria na kuua wanajeshi wa iran lakini iran wao wanalipiza kisasi kwenye Tv tu. hao ndo watu wanaojiweza???
Muulize USA iran anajiwezaje baada ya zile vita za miaka nane.Pia muulize America iran inajiwezaje huko syria mpk America anamshurutisha atoe wanamgambo wakeIsrael kila siku anapiga mahandaki ya silaha ya Iran yaliyopo syria na kuua wanajeshi wa iran lakini iran wao wanalipiza kisasi kwenye Tv tu. hao ndo watu wanaojiweza???
Hatta hujui chanzo cha hzo vita duh aseee we jamaa unakaa tu unabwabwaja.Iran wanajiweza kwa lipi? mbona kule syria wamechakazwa kama kuku pamoja na hezbolah wao? isingekua urusi kuingilia kati unafikiri syria ingekua wapi leo? kwa nini iran alishindwa kumkingia kifua assad kama anajiweza? na iran haijaangushwa kwa sababu urusi anamkingia kifua...hata gadafi angekingiwa kifua na urusi wala asingeanguka yeye ndie alizubaa kusoma gap... utawala wowote ambao urusi uko nyuma yake hauwezi kuangushwa kirahisi na muamerika...mfano ni cuba...venezuela...syria...na iran mwenyewe... sio kwamba hao wanajiweza wengine hali ni tete ni mkono wa urusi ndo unafanya kazi
ha ha ha...mkuu.mbona hata sisi tulipeleka madaktari kenya? tunapeleka mahindi zimbwabwe sijui na namibia huko?? teh tehHiv ww unajua kusoma kaka mkubwa.
Na unawa underestimate kivp iran.Hv haujui km hawa jamaa wanaletwaga hp tz na Islamic foundation kukusaidia katika cardiac surgeries muhimbili kwako pale.
Then unabwabwaja hapa.
Kwanza ht nilichokiongea hukuweza kukielewa rudi shule ukasome topic moja ya kisawahili inaitwa UFAHAM
embu tueleze wewe chanzo cha vita tujueHatta hujui chanzo cha hzo vita duh aseee we jamaa unakaa tu unabwabwaja.
We unajua makinzano yapo wapi na wapi ulichokiongea sidhan km kina exist particularly
Nishakuambia kwamba iran syria hana lolote na nimekuambia israel kila siku analipua maghala yake na silaha na hamfanyi israel kitu chochote...na hao makomando wake wanachinjwa kama kuku na waasi...isingekua urusi kuingia hapo sasa hivi tungekua tunaongelea mengineMuulize USA iran anajiwezaje baada ya zile vita za miaka nane.Pia muulize America iran inajiwezaje huko syria mpk America anamshurutisha atoe wanamgambo wake
kama aljazera wanatoa udaku basi sawaDuh we jamaa hzo udaku wazitolea wapi
silaha zote za iran zinatoka urusiUnatakiwe ukajifunze historia vizuri ndo uje ucomment, iran kaja kuwa na russia kuanzia miaka ya 90 tu hapo
Halafu kwa mtazamo wako unasema iran wanalindwa na Russia nikikwambia ufanunue utaweza? Na huo mkono wa urusi ufananue unafanyaje kazi kabla sijakujibu kwa hoja eleza ulichokiandika kwa hoja
Iran kutoka nyuma alikua na kipawa gani? acha kuongea zilipendwa...Hiv North korea anamtengenezea nan Nuclear.
Au unawachukulia wale watu wa kubweteka.embu fuatilia historia ya hawa wahajemi hadi ktk hisabati wametoa mchango shabbash ww akiwemo mtaalam aljabbir alofanya x kuwa namba.
Hujui ww ndio maana unabwabwaja.Iran hawa watu toka nyuma walikua na. Watu wenye vipawa sawa mkaka fuatilia historia ya hawa. Wahajemi then ndio uje na fact kunipinga sio maneno tupu
Hiyo mkifuata upepodogo mbona unajitia aibu hivi unadhani Iran hana Ilyushin aircraft? Hivi wewe umetokea kijiji kipi mbona upo nyuma sana kimawazo. Afu usifananishe Iran na nchi yoyote ya Africa wale wako mbali saba hata Israel na USA wanajua hayo ndo sababu wanabaki kumtisha Iran kwa mdomo bila action
Puuuz hiloMkuu huyo jamaa kichwani ni 0, hazidi ispokua chuki, hata apo Kenya hajawahi kwenda kuona maendeleo ya watu alaf utamuona anakazana mifupa inamtoka anapinga maendeleo ya nchi za watu, Hao US wanafanya juhudi 24 hours vikwazo kwa miaka yote coz wanawajua vizuri, eti yy humu linatoa chogo kubwa nae anapinga kila kitu kuhusu Iran
Sijawahi kuwasifu uongo,leo ww si ndo unawatetea wanalo...tuletee tumalize ubishi
Mabomu makubwa ya Marekani (ambayo si ya nuclear) ni MOAB na MOP na yote delivery platform zake ni Ndege (bomber)
Hivi we una akili we hujui Syria nchi ngapi zimepiga na Yeye na Iran na Hazbullah tu waliwashinda. Urusi amekuja ingilia baada ya kuona Iran na Hazbullah wamekomboa Al Qusari hapo ndio akajiletaIran wanajiweza kwa lipi? mbona kule syria wamechakazwa kama kuku pamoja na hezbolah wao? isingekua urusi kuingilia kati unafikiri syria ingekua wapi leo? kwa nini iran alishindwa kumkingia kifua assad kama anajiweza? na iran haijaangushwa kwa sababu urusi anamkingia kifua...hata gadafi angekingiwa kifua na urusi wala asingeanguka yeye ndie alizubaa kusoma gap... utawala wowote ambao urusi uko nyuma yake hauwezi kuangushwa kirahisi na muamerika...mfano ni cuba...venezuela...syria...na iran mwenyewe... sio kwamba hao wanajiweza wengine hali ni tete ni mkono wa urusi ndo unafanya kazi
Yani dogo unachekesha sana, Israel kila siku anachapwa na Hamas, Jihad Al Islam na Hazbullah na anajua wazi wanapewa msaada na Iran mbona haendi Iran. Unakumbuka Sudan aliwapiga kwa kusema silaha zinapitia kwao mbona haendi zinapotokea Hivi huoni Israel ndio anafyata mkia. Sa mie nakupa siri we kama hujui Mlango wa Gollan umeisha funguliwa yani Israel hana pakukimbilia zaidi ya baharini. Tuliza ball Iran huwa wanasema USA anaweza anzisha vita lakini wao ndio watakao imaliza vita sio USA. Chambo alicho tupiwa Israel ilikuwa ni maksudi tu ili UN wajue kubaki gollan hakuna usalama tena. Mchezo wa gollan ndio kwanza umeanza.kama aljazera wanatoa udaku basi sawa
Iran base zake kila siku zinapigwa syria na hafanyi chochote. kama kweli ana mother of all bombs si alirushe tu?
Israel attacks Syrian targets near occupied Golan Heights
Syrian media says three soldiers were killed and seven injured in attacks Israel says were a response to rocket fire.www.aljazeera.com
Second round of deadly Israeli strikes hit Syria
Israel launched a second round of strikes against Syria in 24 hours on Sunday, state media reported, as US President Donald Trump called on Russia and Iran to “stop bombing the hell” out of the war-torn…www.france24.com
Video from Damascus shows aftermath of Israeli attack on air defense post near Kiswah
Footage filmed early on Sunday morning shows burning debris and smoke near a Syrian aerial defense post close to Kiswah, south to Damascus.mobile.almasdarnews.com
Ten killed in Israeli airstrikes in Syria in reply to rocket attack
Israel launches airstrikes in response to rocket fire targeting Golan Heightswww.theguardian.com
kama iran na hezbolah aliwashinda waasi sasa mbona walimwita urusi...ha ha ha...utakua umelewa mchana huu wewe au jana umefuturu gongo na kitimoto??Hivi we una akili we hujui Syria nchi ngapi zimepiga na Yeye na Iran na Hazbullah tu waliwashinda. Urusi amekuja ingilia baada ya kuona Iran na Hazbullah wamekomboa Al Qusari hapo ndio akajileta
Yani dogo unachekesha sana, Israel kila siku anachapwa na Hamas, Jihad Al Islam na Hazbullah na anajua wazi wanapewa msaada na Iran mbona haendi Iran. Unakumbuka Sudan aliwapiga kwa kusema silaha zinapitia kwao mbona haendi zinapotokea Hivi huoni Israel ndio anafyata mkia. Sa mie nakupa siri we kama hujui Mlango wa Gollan umeisha funguliwa yani Israel hana pakukimbilia zaidi ya baharini. Tuliza ball Iran huwa wanasema USA anaweza anzisha vita lakini wao ndio watakao imaliza vita sio USA. Chambo alicho tupiwa Israel ilikuwa ni maksudi tu ili UN wajue kubaki gollan hakuna usalama tena. Mchezo wa gollan ndio kwanza umeanza.
acha uongo na umefunga...baada ya kichapo cha makomando wa iran kua kikali ...quasim soleiman huyo mwenyewe akajipeleka moscow kuomba poo kwamba jamani kule maji yako shingoni tunawaomba wanaume muingie uwanjani... hezbolah wenzetu jamani wamechinjwa wote nimebaki mimi tuHivi we una akili we hujui Syria nchi ngapi zimepiga na Yeye na Iran na Hazbullah tu waliwashinda. Urusi amekuja ingilia baada ya kuona Iran na Hazbullah wamekomboa Al Qusari hapo ndio akajileta
Yani dogo unachekesha sana, Israel kila siku anachapwa na Hamas, Jihad Al Islam na Hazbullah na anajua wazi wanapewa msaada na Iran mbona haendi Iran. Unakumbuka Sudan aliwapiga kwa kusema silaha zinapitia kwao mbona haendi zinapotokea Hivi huoni Israel ndio anafyata mkia. Sa mie nakupa siri we kama hujui Mlango wa Gollan umeisha funguliwa yani Israel hana pakukimbilia zaidi ya baharini. Tuliza ball Iran huwa wanasema USA anaweza anzisha vita lakini wao ndio watakao imaliza vita sio USA. Chambo alicho tupiwa Israel ilikuwa ni maksudi tu ili UN wajue kubaki gollan hakuna usalama tena. Mchezo wa gollan ndio kwanza umeanza.
Nani alie muita mrusi? Mrusi ndio alijisogeza baada kuona USA na Israel wanaaibishwa na Hazbullah. Russia kusogea pale nikutafuta jina tu baada ya kuona kila rafiki wakirusi anawadharau. Jina la urusi lilipanda juu baada ya kusogea Syria. Ukweli Hazbullah na Iran hawana shida na mrusi kabisa sababu wanamjua mrusi ni rafiki adui sometimes. Tazama S-300 zipo Syria lakini ndege za Israel zinapita why? Kwanini asiwakabizi wa Syria wenyewe wazicontrol hizo missile.kama iran na hezbolah aliwashinda waasi sasa mbona walimwita urusi...ha ha ha...utakua umelewa mchana huu wewe au jana umefuturu gongo na kitimoto??
Wacha uwongo na dalili hii hapa Russian kaenda Syria kuwalinda wa Israel https://www.google.com/url?sa=t&sou...BxAB&usg=AOvVaw12MWRX4nOhgOZk3wim95qw&cf=1acha uongo na umefunga...baada ya kichapo cha makomando wa iran kua kikali ...quasim soleiman huyo mwenyewe akajipeleka moscow kuomba poo kwamba jamani kule maji yako shingoni tunawaomba wanaume muingie uwanjani... hezbolah wenzetu jamani wamechinjwa wote nimebaki mimi tu
How Iranian general plotted out Syrian assault in Moscow
At a meeting in Moscow in July, a top Iranian general unfurled a map of Syria to explain to his Russian hosts how a series of defeats for President Bashar al-Assad could be turned into victory - with Russia's help.www.reuters.com