Iran claims to have Father of all bombs greater than US MOAB

Weka mfano wa hilo bomu la zaidi ya tani kumi linalo lushwa kutoka ardhini mkuu.
Kama niliivyoelewa mimi uzito wa bomu ni kilo 9,800 wastani wa tani 10 pia inawezekana kurushwa toka ardhini ni kiasi cha kuyapa uwezo wa kufanya hivyo kutoka na shabaha iliyokusudiwa.
 
wewe ndo uache kubwabwaja...kama unaijua historia ya nuclear iweje uje kutudanganya hapa eti iran ana teknolojia ya nyuklia??? hao wazee wa mkekani wataanzia wapi kuwaza mambo kama hayo???
Hiv North korea anamtengenezea nan Nuclear.
Au unawachukulia wale watu wa kubweteka.embu fuatilia historia ya hawa wahajemi hadi ktk hisabati wametoa mchango shabbash ww akiwemo mtaalam aljabbir alofanya x kuwa namba.
Hujui ww ndio maana unabwabwaja.Iran hawa watu toka nyuma walikua na. Watu wenye vipawa sawa mkaka fuatilia historia ya hawa. Wahajemi then ndio uje na fact kunipinga sio maneno tupu
 
Israel kila siku anapiga mahandaki ya silaha ya Iran yaliyopo syria na kuua wanajeshi wa iran lakini iran wao wanalipiza kisasi kwenye Tv tu. hao ndo watu wanaojiweza???
Duh we jamaa hzo udaku wazitolea wapi
 
Israel kila siku anapiga mahandaki ya silaha ya Iran yaliyopo syria na kuua wanajeshi wa iran lakini iran wao wanalipiza kisasi kwenye Tv tu. hao ndo watu wanaojiweza???
Muulize USA iran anajiwezaje baada ya zile vita za miaka nane.Pia muulize America iran inajiwezaje huko syria mpk America anamshurutisha atoe wanamgambo wake
 
Iran wanajiweza kwa lipi? mbona kule syria wamechakazwa kama kuku pamoja na hezbolah wao? isingekua urusi kuingilia kati unafikiri syria ingekua wapi leo? kwa nini iran alishindwa kumkingia kifua assad kama anajiweza? na iran haijaangushwa kwa sababu urusi anamkingia kifua...hata gadafi angekingiwa kifua na urusi wala asingeanguka yeye ndie alizubaa kusoma gap... utawala wowote ambao urusi uko nyuma yake hauwezi kuangushwa kirahisi na muamerika...mfano ni cuba...venezuela...syria...na iran mwenyewe... sio kwamba hao wanajiweza wengine hali ni tete ni mkono wa urusi ndo unafanya kazi
Hatta hujui chanzo cha hzo vita duh aseee we jamaa unakaa tu unabwabwaja.
We unajua makinzano yapo wapi na wapi ulichokiongea sidhan km kina exist particularly
 
Hiv ww unajua kusoma kaka mkubwa.
Na unawa underestimate kivp iran.Hv haujui km hawa jamaa wanaletwaga hp tz na Islamic foundation kukusaidia katika cardiac surgeries muhimbili kwako pale.
Then unabwabwaja hapa.
Kwanza ht nilichokiongea hukuweza kukielewa rudi shule ukasome topic moja ya kisawahili inaitwa UFAHAM
ha ha ha...mkuu.mbona hata sisi tulipeleka madaktari kenya? tunapeleka mahindi zimbwabwe sijui na namibia huko?? teh teh
 
Muulize USA iran anajiwezaje baada ya zile vita za miaka nane.Pia muulize America iran inajiwezaje huko syria mpk America anamshurutisha atoe wanamgambo wake
Nishakuambia kwamba iran syria hana lolote na nimekuambia israel kila siku analipua maghala yake na silaha na hamfanyi israel kitu chochote...na hao makomando wake wanachinjwa kama kuku na waasi...isingekua urusi kuingia hapo sasa hivi tungekua tunaongelea mengine
 
Duh we jamaa hzo udaku wazitolea wapi
kama aljazera wanatoa udaku basi sawa

Iran base zake kila siku zinapigwa syria na hafanyi chochote. kama kweli ana mother of all bombs si alirushe tu?




 
Unatakiwe ukajifunze historia vizuri ndo uje ucomment, iran kaja kuwa na russia kuanzia miaka ya 90 tu hapo

Halafu kwa mtazamo wako unasema iran wanalindwa na Russia nikikwambia ufanunue utaweza? Na huo mkono wa urusi ufananue unafanyaje kazi kabla sijakujibu kwa hoja eleza ulichokiandika kwa hoja
silaha zote za iran zinatoka urusi
kama ukiona wanajitapa wametengeneza wao basi hyo ni modified version ya silaha kutoka urusi..ila wao kama wao hawana kitu

 
Hiv North korea anamtengenezea nan Nuclear.
Au unawachukulia wale watu wa kubweteka.embu fuatilia historia ya hawa wahajemi hadi ktk hisabati wametoa mchango shabbash ww akiwemo mtaalam aljabbir alofanya x kuwa namba.
Hujui ww ndio maana unabwabwaja.Iran hawa watu toka nyuma walikua na. Watu wenye vipawa sawa mkaka fuatilia historia ya hawa. Wahajemi then ndio uje na fact kunipinga sio maneno tupu
Iran kutoka nyuma alikua na kipawa gani? acha kuongea zilipendwa...
 
dogo mbona unajitia aibu hivi unadhani Iran hana Ilyushin aircraft? Hivi wewe umetokea kijiji kipi mbona upo nyuma sana kimawazo. Afu usifananishe Iran na nchi yoyote ya Africa wale wako mbali saba hata Israel na USA wanajua hayo ndo sababu wanabaki kumtisha Iran kwa mdomo bila action
Hiyo mkifuata upepo
 
Mkuu huyo jamaa kichwani ni 0, hazidi ispokua chuki, hata apo Kenya hajawahi kwenda kuona maendeleo ya watu alaf utamuona anakazana mifupa inamtoka anapinga maendeleo ya nchi za watu, Hao US wanafanya juhudi 24 hours vikwazo kwa miaka yote coz wanawajua vizuri, eti yy humu linatoa chogo kubwa nae anapinga kila kitu kuhusu Iran
Puuuz hilo
 
Iran wanajiweza kwa lipi? mbona kule syria wamechakazwa kama kuku pamoja na hezbolah wao? isingekua urusi kuingilia kati unafikiri syria ingekua wapi leo? kwa nini iran alishindwa kumkingia kifua assad kama anajiweza? na iran haijaangushwa kwa sababu urusi anamkingia kifua...hata gadafi angekingiwa kifua na urusi wala asingeanguka yeye ndie alizubaa kusoma gap... utawala wowote ambao urusi uko nyuma yake hauwezi kuangushwa kirahisi na muamerika...mfano ni cuba...venezuela...syria...na iran mwenyewe... sio kwamba hao wanajiweza wengine hali ni tete ni mkono wa urusi ndo unafanya kazi
Hivi we una akili we hujui Syria nchi ngapi zimepiga na Yeye na Iran na Hazbullah tu waliwashinda. Urusi amekuja ingilia baada ya kuona Iran na Hazbullah wamekomboa Al Qusari hapo ndio akajileta
kama aljazera wanatoa udaku basi sawa

Iran base zake kila siku zinapigwa syria na hafanyi chochote. kama kweli ana mother of all bombs si alirushe tu?




Yani dogo unachekesha sana, Israel kila siku anachapwa na Hamas, Jihad Al Islam na Hazbullah na anajua wazi wanapewa msaada na Iran mbona haendi Iran. Unakumbuka Sudan aliwapiga kwa kusema silaha zinapitia kwao mbona haendi zinapotokea Hivi huoni Israel ndio anafyata mkia. Sa mie nakupa siri we kama hujui Mlango wa Gollan umeisha funguliwa yani Israel hana pakukimbilia zaidi ya baharini. Tuliza ball Iran huwa wanasema USA anaweza anzisha vita lakini wao ndio watakao imaliza vita sio USA. Chambo alicho tupiwa Israel ilikuwa ni maksudi tu ili UN wajue kubaki gollan hakuna usalama tena. Mchezo wa gollan ndio kwanza umeanza.
 
Hivi we una akili we hujui Syria nchi ngapi zimepiga na Yeye na Iran na Hazbullah tu waliwashinda. Urusi amekuja ingilia baada ya kuona Iran na Hazbullah wamekomboa Al Qusari hapo ndio akajileta
Yani dogo unachekesha sana, Israel kila siku anachapwa na Hamas, Jihad Al Islam na Hazbullah na anajua wazi wanapewa msaada na Iran mbona haendi Iran. Unakumbuka Sudan aliwapiga kwa kusema silaha zinapitia kwao mbona haendi zinapotokea Hivi huoni Israel ndio anafyata mkia. Sa mie nakupa siri we kama hujui Mlango wa Gollan umeisha funguliwa yani Israel hana pakukimbilia zaidi ya baharini. Tuliza ball Iran huwa wanasema USA anaweza anzisha vita lakini wao ndio watakao imaliza vita sio USA. Chambo alicho tupiwa Israel ilikuwa ni maksudi tu ili UN wajue kubaki gollan hakuna usalama tena. Mchezo wa gollan ndio kwanza umeanza.
kama iran na hezbolah aliwashinda waasi sasa mbona walimwita urusi...ha ha ha...utakua umelewa mchana huu wewe au jana umefuturu gongo na kitimoto??
 
Hivi we una akili we hujui Syria nchi ngapi zimepiga na Yeye na Iran na Hazbullah tu waliwashinda. Urusi amekuja ingilia baada ya kuona Iran na Hazbullah wamekomboa Al Qusari hapo ndio akajileta
Yani dogo unachekesha sana, Israel kila siku anachapwa na Hamas, Jihad Al Islam na Hazbullah na anajua wazi wanapewa msaada na Iran mbona haendi Iran. Unakumbuka Sudan aliwapiga kwa kusema silaha zinapitia kwao mbona haendi zinapotokea Hivi huoni Israel ndio anafyata mkia. Sa mie nakupa siri we kama hujui Mlango wa Gollan umeisha funguliwa yani Israel hana pakukimbilia zaidi ya baharini. Tuliza ball Iran huwa wanasema USA anaweza anzisha vita lakini wao ndio watakao imaliza vita sio USA. Chambo alicho tupiwa Israel ilikuwa ni maksudi tu ili UN wajue kubaki gollan hakuna usalama tena. Mchezo wa gollan ndio kwanza umeanza.
acha uongo na umefunga...baada ya kichapo cha makomando wa iran kua kikali ...quasim soleiman huyo mwenyewe akajipeleka moscow kuomba poo kwamba jamani kule maji yako shingoni tunawaomba wanaume muingie uwanjani... hezbolah wenzetu jamani wamechinjwa wote nimebaki mimi tu

 
kama iran na hezbolah aliwashinda waasi sasa mbona walimwita urusi...ha ha ha...utakua umelewa mchana huu wewe au jana umefuturu gongo na kitimoto??
Nani alie muita mrusi? Mrusi ndio alijisogeza baada kuona USA na Israel wanaaibishwa na Hazbullah. Russia kusogea pale nikutafuta jina tu baada ya kuona kila rafiki wakirusi anawadharau. Jina la urusi lilipanda juu baada ya kusogea Syria. Ukweli Hazbullah na Iran hawana shida na mrusi kabisa sababu wanamjua mrusi ni rafiki adui sometimes. Tazama S-300 zipo Syria lakini ndege za Israel zinapita why? Kwanini asiwakabizi wa Syria wenyewe wazicontrol hizo missile.
 
acha uongo na umefunga...baada ya kichapo cha makomando wa iran kua kikali ...quasim soleiman huyo mwenyewe akajipeleka moscow kuomba poo kwamba jamani kule maji yako shingoni tunawaomba wanaume muingie uwanjani... hezbolah wenzetu jamani wamechinjwa wote nimebaki mimi tu

Wacha uwongo na dalili hii hapa Russian kaenda Syria kuwalinda wa Israel https://www.google.com/url?sa=t&sou...BxAB&usg=AOvVaw12MWRX4nOhgOZk3wim95qw&ampcf=1
 
Back
Top Bottom