Iran atapigwa tu kipigo cha mbwa mwizi - Anatafutiwa sababu na Kumbe kweli kwa makosa Aliitungua Ndege ya abiria ya Ukrain!U

malisoka

JF-Expert Member
Jul 8, 2012
1,860
2,637



Sasa imefahamika kwa picha za satelite kwamba Iran iliitungua ndege ya abiria ya Ukrain na kuuwa zaidi ya abiria 170. Canada wamekuja juu, German wamekuja juu na uingereza wamekuja juu.

Kinachofuata ni kama kile kilichotokea Libya, Jeshi la Nato litaipiga Iran Muda wowote.

Na inasemekana si Wamarekani tu waliokufa kwenye mashambulizi ya Irani ata baadhi ya wanajeshi wa mataifa ya Ulaya waliokuwa wakiwasaka magaidi wa ISIS.

Technolojia haidanganyanyi siku hizi.
 



Sasa imefahamika kwa picha za satelite kwamba Iran iliitungua ndege ya abiria ya Ukrain na kuuwa zaidi ya abiria 170. Canada wamekuja juu, German wamekuja juu na uingereza wamekuja juu.

Kinachofuata ni kama kile kilichotokea Libya, Jeshi la Nato litaipiga Iran Muda wowote.

Na inasemekana si Wamarekani tu waliokufa kwenye mashambulizi ya Irani ata baadhi ya wanajeshi wa mataifa ya Ulaya waliokuwa wakiwasaka magaidi wa ISIS.

Technolojia haidanganyanyi siku hizi.
Aise hapa iran kajambia mkeka ngoja tusubr second season duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'Na inasemekana si Wamarekani tu waliokufa kwenye mashambulizi ya Irani ata baadhi ya wanajeshi wa mataifa ya Ulaya waliokuwa wakiwasaka magaidi wa ISIS.'

Nyie si mnasema makombora ya Iran hayajaua mwanajeshi yoyote yule wa US na Washirika wake?

Sasa hao wanajeshi unaowasema wewe umewatoa wapi?

dodge
 
Prime Minister Boris Johnson’s office says “the reports we have seen are very concerning and we are urgently looking into them.”

Johnson spoke to Ukrainian President Volodymyr Zelenskiy on Thursday and called for “a full, credible and transparent investigation into what happened,” Downing Street said.
 
'Na inasemekana si Wamarekani tu waliokufa kwenye mashambulizi ya Irani ata baadhi ya wanajeshi wa mataifa ya Ulaya waliokuwa wakiwasaka magaidi wa ISIS.'

Nyie si mnasema makombora ya Iran hayajaua mwanajeshi yoyote yule wa US na Washirika wake?

Sasa hao wanajeshi unaowasema wewe umewatoa wapi?

dodge
Mleta uzi kajichanganya Iraq government yenyewe imekataa hakuna mwanajeshi aliyeuawa
 
Haaaa ukitaka kujua wamarekani weusi wamechanganyikiwa na makombora ya jana hebu angalia upuuzi alio uandika huyu.
Yaani washindwe kumvamia baada ya kuishambulia na kuiharibu kambi ya gharama ya wanaojiita wababe wa dunia.
Waje kuivamia kwa sababu ya ndege tena iliyokuwa ndani ya anga yake.
Kama waliitungua ni bahati mbaya hata marekani alisha idungua ndege ya abilia kimakosa kwa hiyo ni kawaida.
Lamsingi kama ni kweli aliidungua kwa bahati mbaya aombe radhi azilipe família za wahanga basi
Lakini hayo mengine unayo yawaza nadhani ni ndoto za alinacha.
 
Sasa hivi tunajadili Pambano la NATO vs Iran sio US vs Iran

America amegwaya kuingia Vitan peke yake kaenda kutengeneza hoja ya kuvuta Mashoga zake waje wamsaidie
 
Labda walikuwa ndani ya ndege iliyolipuliwa
'Na inasemekana si Wamarekani tu waliokufa kwenye mashambulizi ya Irani ata baadhi ya wanajeshi wa mataifa ya Ulaya waliokuwa wakiwasaka magaidi wa ISIS.'

Nyie si mnasema makombora ya Iran hayajaua mwanajeshi yoyote yule wa US na Washirika wake?

Sasa hao wanajeshi unaowasema wewe umewatoa wapi?

dodge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
U are too smart
Haaaa ukitaka kujua wamarekani weusi wamechanganyikiwa na makombora ya jana hebu angalia upuuzi alio uandika huyu.
Yaani washindwe kumvamia baada ya kuishambulia na kuiharibu kambi ya gharama ya wanaojiita wababe wa dunia.
Waje kuivamia kwa sababu ya ndege tena iliyokuwa ndani ya anga yake.
Kama waliitungua ni bahati mbaya hata marekani alisha idungua ndege ya abilia kimakosa kwa hiyo ni kawaida.
Lamsingi kama ni kweli aliidungua kwa bahati mbaya aombe radhi azilipe família za wahanga basi
Lakini hayo mengine unayo yawaza nadhani ni ndoto za alinacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'Na inasemekana si Wamarekani tu waliokufa kwenye mashambulizi ya Irani ata baadhi ya wanajeshi wa mataifa ya Ulaya waliokuwa wakiwasaka magaidi wa ISIS.'

Nyie si mnasema makombora ya Iran hayajaua mwanajeshi yoyote yule wa US na Washirika wake?

Sasa hao wanajeshi unaowasema wewe umewatoa wapi?

dodge
Soma tena hata Kichwa cha habari huenda ukaelewa.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom