IQ ya Nyerere ilikuwa kubwa sana: Debate kati ya Nyerere na mke wa Rais Roosevelt

Jan. huyu huyu aliyeiba mitihani Galanosi,hahah.
Kizazi cha Nyerere kilikuwa komesha sana,
Watu walikuwa weredi sana kwa kila walichokuwa wakifanya.
Kuna wapuuzi wanawalinganisha baadhi ya viongozi na Baba WA Taifa.
Nyerere kwa elimu yake alikuwa anauwezo mkubwa wa kuchambua mambo na siasa za ulimwengu kuliko wenye PhD zao wa sasa hv.
Nyerere, Salim Ahmed Salim, Hashim Mbita, Hassan Ngwilizi,
Kwa sasa hivi, Ambapo tunavilaza walioenda shule kama Kabudi, Mpango, watu pekee ambao naona wana ka unyerere ndani yao ni, January Makamba, Suleiman Jafo, na Halima Mdee
 
Ukimuangalia Nyerere anavyosikiliza majadiliano, utaona ni mtu aliyependa kujifunza. Hakutaka kurupuka na majibu ya arrogance kama hawa tulionao leo. Wanaopigiwa makofi hata kwa kutaja jina lake.
 
Ukimuangalia Nyerere anavyosikiliza majadiliano, utaona ni mtu aliyependa kujifunza. Hakutaka kurupuka na majibu ya arrogance kama hawa tulionao leo. Wanaopigiwa makofi hata kwa kutaja jina lake.
Mtu hata akikohoa tu wanapiga makofi
 
Nadhani wanaopigapiga kelele na kusema mtu fulani kaifanyia mengi Tz ni wale waliozaliwa early 2000's,na vitoto vya saizi havitaki kujisomea vinashinda na series tu.....Nyerere hawezi kufananishwa na mtu yeyote nchi hii
 
Elanor Roosevelt alisema ukweli, nchi nyingi za Afrika pamoja na Tanganyika hazikuwa tayari kujitawala. Viongozi waliopigania uhuru Afrika walilazimisha mambo na matokeo yake nchi zilipata matatizo wazungu walivyowaachia utawala. Nchi nyingi pamoja na Tanzania ziliporomoka kiuchumi, nyingine zilipigana vita baada ya kupata uhuru.
 
Wakati huo Nyerere alikuwa Yanki tu wa miaka 37 au 38 lakini alikuwa akitema madini ya hatari.

Wanasiasa vijana wa leo mna la kujifunza namna ya kufanya midahalo, solution ni kujisomea sana, kuwa na maarifa mengi.

Ukimsikiliza Mwalimu hapa yaani anatambaa smoothly kabisa na panel ya kwenye huo mjadala bila wasiwasi wowote

Kwanza ana command nzuri ya English, lakini pia ana substance, yaani kichwani yuko vizuri.

No wonder profesa Mazrui wa Kenya aliwahi kusema kuwa kwa Marais wote wa Afrika wa kizazi cha Uhuru, hakuna aliyekuwa Intellectual wa kumfikia Nyerere.

Huyu mzee alikuwa kichwa siyo mchezo!


Mtu yeyote ambaye anatumia akili nyingi kutafuta suluhisho la jambo na kutumia masaa mengi akifanya kazi inayotumia ubongo 'life span' yake hupungua.................the scientists have the vivid answer on this phenomenon
 
Wakati huo Nyerere alikuwa Yanki tu wa miaka 37 au 38 lakini alikuwa akitema madini ya hatari.

Wanasiasa vijana wa leo mna la kujifunza namna ya kufanya midahalo, solution ni kujisomea sana, kuwa na maarifa mengi.

Ukimsikiliza Mwalimu hapa yaani anatambaa smoothly kabisa na panel ya kwenye huo mjadala bila wasiwasi wowote

Kwanza ana command nzuri ya English, lakini pia ana substance, yaani kichwani yuko vizuri.

No wonder profesa Mazrui wa Kenya aliwahi kusema kuwa kwa Marais wote wa Afrika wa kizazi cha Uhuru, hakuna aliyekuwa Intellectual wa kumfikia Nyerere.

Huyu mzee alikuwa kichwa siyo mchezo!


Mkuu sijuwi umeitoa wapi?! An absolutely GOLDMINE ndugu, I hope wengine watapata muda na bundle ya kuangalia hii clip, ASANTE SANA...
 
Kwa jinsi jamaa alivyojieleza hapo bila shaka mabeberu wakaona hakuna sababu ya kumkataza huyu mtu anachokitaka....Uhuru wa Taifa lake.
 
34 Reactions
Reply
Back
Top Bottom