ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 3,975
- 9,027
Pali alitakiwa awepo duly sykes alisikika mzee mmoja wa makamo akilalamika
Pali alitakiwa awepo duly sykes alisikika mzee mmoja wa makamo akilalamika
Pali alitakiwa awepo duly sykes alisikika mzee mmoja wa makamo akilalamika
Nae alikuwa Tanganyika akidai Uhuru?
Kwani kuna mkamilifu hapa duniani?Mzee nyerere licha ya kusoma kwake. Hakumfanyi awe mkamilifu.
Kwani kuna mkamilifu hapa duniani?
Rubbish!
mbona una hasira!!?..huwezi fikiri ukiwa katika hali hiyo,nchi changa haiwezi kuwa na war fronts nyingi,unatangaza vita na ujinga,maradhi na umasikini...halafu hujengi sekondari kwa miaka 44,kisha unadai kupambana na ujinga,mashamba na viwanda vinakufa,miundombinu duni(barabara) vyama vya ushirika vinakufia ilhali una nguvu kubwa kimamlaka,lakini wakati huohuo uko frontline kukomboa nchi za kiafrika..hakuna utacho achieve hapo na sio smart moveKwa hiyo katika nchi hii tangu tupate uhuru hakuna cha maana chochote kilichotekelezwa na Rais (mwalimu) J.K Nyerere? Hata kutekeleza harakati za kupata uhuru ambao ndiyo msingi wa sisi kujitegemea kama nchi pia huoni kwamba ni jambo kubwa la kumpongeza Mwalimu Nyerere pamoja na wenzake? Be a critical thinker siyo unaleta chuki binafsi kuhusu Nyerere. Sasa ni Rais yupi ambaye ametekeleza hayo unayoyataka kuliko Nyerere? Mbona mpaka leo mnalalamika tu. Haya unayoyaona leo ni Muunganiko wa utekelezaji wa toka awamu ya Kwanza hadi sasa. Infact hakuna awamu ambayo imeshawahi kutekeleza mambo mengi katika kila sector kama ilivyokuwa awamu ya kwanza ya uongozi wa nchi yetu.
GO BACK TO HISTORY MY BROTHER/SISTER
Hili ni tatizo la watu wenye akili nyingi, wao hufikiri wengine pia wanaweza kufikiri angalau nusu ya uwezo wao, kiuhalisia watu wengi hawatawaliwi na fikra bali mihemeko.Nimesoma capitalism ya kizungu nimeiva, ujamaa ni mzuri mno ila unapingana na human nature of individualism , egoism and selfishness! Kiasili kila mtu ni mlafi na lazima ashibe yeye kwanza na wanawe halafu ndo ataangalia jirani na nchi ! ni kinyume na asili ya binadamu kukabidhi kwa hiari kodi au mali ya umma bila shuruti, kunyongwa,kupigwa virungu, mabuti , kulala jela na sheria kali isiyochagua jina wala cheo cha mtu! Hivi ndivyo wazungu wanafundisha capitalism! Nyerere ni kiongozi mzuri mno hakuna muafrika anaemfikia kwa akili ila kitu kimoja tu hakujua Ujamaa ni ideology isiyofanya kazi kama hutawafunga kuwapiga na kuwanyonga wazembe wavivu wezi na mafisadi wa mali ya umma!! Maneno yangu haya yatasimama daima!
Hata mimi niliwaza hivyo hivyo nilipoiona hii video siku za nyuma.Kinachonisikitisha ni kuwa thats is only 50 years ago, na hao wote hapo wameshalala mavumbini, yaani miili yao imegeuka mavumbi, ni mafuvu tu.
Kweli ni ubatili na kujilisha upepo
Mmh...hii account imehakiwa au?Mrangi,
Nadhani umekusudia nichangie katika uwezo wa Mwalimu Nyerere.
Viongozi wa TAA katika miaka ile mwishoni 1940 kuelekea 1950
hakuna aliyekuwa anamjua Nyerere kwa undani kupita Hamza
Mwapachu.
Kati ya Hamza Mwapachu na Julius Nyerere mimi binafsi siwezi
kusema nani alimzidi mwenzake kwa akili.
Mwapachu ndiye alikuwa ''mentor,'' wao na ndiye aliyewakutanisha
Abdul na Nyerere.
Hamza ndiye aliyefanya juhudi Nyerere aingizwe kwenye uongozi
wa TAA 1953 na 1954 waunde TANU wadai uhuru wa Tanganyika.
Lakini hili lisingeliwezekana bila ya msaada wa Abdul Sykes aliyekuwa
Acting President na Secretary.
Hamza alikuwa anaamini kuwa mtu aliyefaa kuongoza kudai uhuru wa
Tanganyika ni Julius Nyerere ingawa kwanza Abdul yeye alimtaka Chief
Kidaha Makwaia lakini wakati ule alikuwa bado hajafahamiana na Nyerere.
View attachment 1128440
Chief David Kidaha Makwaia wa Siha
Historia hii nimeileza mara nyingi inafahamika.
Mimi nimefaidi sana kusoma barua za Nyerere katika Nyaraka za
Sykes.
Kwanza lugha ya Kiingereza Mwalimu akiijua vizuri sana.
Nasikitika kuwa wenye nyaraka zao hawajataka kuzifungua kwa umma.
Nyerere alipopanda kwenye jukwaa Mnazi Mmoja na kusema kuwa sasa
Watanganyika wanadai uhuru wao mambo yalikwenda kwa haraka mno.
Ujumbe wa Mwalimu kwa Watanganyika ulikuwa, ''Kutawaliwa ni fedheha.''
Mwalimu alikuwa na uwezo mkubwa sana na kipaji cha kuzungumza na
kujenga hoja kila mtu akaielewa.
Yako mengi sana ninayoyafamu kuhusu Mwalimu Nyerere katika harakati
za kudai uhuru wa Tanganyika.
View attachment 1128420
Mwalimu Nyerere akihutubia mkutano wa TANU Mnazi Mmoja na huo mnazi mmoja wenyewe unaonekana.
Hiyo barabara ambako hizo nyumba zipo ni New Street ambayo ilikuwa inaanza Arab Street hadi Morogoro
Road. Kushoto kwa hizo nyumba ni Kidongo Chekundu. Hiyo ndiyo Gerezani ilivyokuwa katika miaka ya 1950.
Mkuu Missile,Wakati huo Nyerere alikuwa Yanki tu wa miaka 37 au 38 lakini alikuwa akitema madini ya hatari.
Huyu mzee alikuwa kichwa siyo mchezo!
OMG!! Halima? U can't be serious aisee!!!Kizazi cha Nyerere kilikuwa komesha sana,
Watu walikuwa weredi sana kwa kila walichokuwa wakifanya.
Kuna wapuuzi wanawalinganisha baadhi ya viongozi na Baba WA Taifa.
Nyerere kwa elimu yake alikuwa anauwezo mkubwa wa kuchambua mambo na siasa za ulimwengu kuliko wenye PhD zao wa sasa hv.
Nyerere, Salim Ahmed Salim, Hashim Mbita, Hassan Ngwilizi,
Kwa sasa hivi, Ambapo tunavilaza walioenda shule kama Kabudi, Mpango, watu pekee ambao naona wana ka unyerere ndani yao ni, January Makamba, Suleiman Jafo, na Halima Mdee
Ifike Mahali ofisi za first Ladies wetu ziandae vipindi redioni na kwenye TV kwa ajili ya mijadala madhubuti ya kuhimiza maendeleo ya wananchi. Ma'first ladies' wetu wahusike moja kwa moja kuendesha vipindi.
===
Mwalimu was a best listener and a best discussant.
pumbaf ulitaka akulinde wewe na mbugaruu, wako wa kishamba huo, kwanza kwa nini uvae mbuga wewe si jinga?
uliwakoga wanakijiji wakakupiga unamlaumu Nyerere ndo maana hamkusoma kwenu. hela yenu ya pamba mkakimbilia mabuga ili ujionyeshe kwenye mastore ya kijijini kwenu, na kushindania wanawake.
wakati elimu ilikuwa ya bure. na alisema kabisa jifunze kusoma wakati ni huu.View attachment 1128423
Aaaahhh baba mtoro wewe noma! nimezaliwa ocean road mie wewe, yaani mimi na baba nyerere letu moja. ILAWewe na huyu Mzee ndio mliotoka vijijini tukawapokea Dar. Enzi hizo bilashaka ulikuwa bado hujazaliwa ndio maana unayadharau mabuga, wajanja ndo yalikuwa mapigo yao, Raisi unaacha kuweka sheria za maana unatunga sheria ya kupiga marufuku mabuga! Kataifisha mali za wengi na kuuwa wengi, hizi nyimbo mnazofundishwa shule kuhusu huyu mzee ndizo zinazowatia ujinga, huyu mzee na jiwe lao moja.
Wakati huo Nyerere alikuwa Yanki tu wa miaka 37 au 38 lakini alikuwa akitema madini ya hatari.
Wanasiasa vijana wa leo mna la kujifunza namna ya kufanya midahalo, solution ni kujisomea sana, kuwa na maarifa mengi.
Ukimsikiliza Mwalimu hapa yaani anatambaa smoothly kabisa na panel ya kwenye huo mjadala bila wasiwasi wowote
Kwanza ana command nzuri ya English, lakini pia ana substance, yaani kichwani yuko vizuri.
No wonder profesa Mazrui wa Kenya aliwahi kusema kuwa kwa Marais wote wa Afrika wa kizazi cha Uhuru, hakuna aliyekuwa Intellectual wa kumfikia Nyerere.
Huyu mzee alikuwa kichwa siyo mchezo!
Kwa maana hiyo, Maalim Said, Mama Givens, Msaidizi wa Mwalimu akiwa Rais alikuwa ni matunda ya connections za Mzee Hamza na 'the Fabian Society!!?'Zakaria...
Ikiwa unanijua utakuwa unasoma mara nyingi nikimwambia mtu kuwa sina tatizo na ufikiriavyo.
Ikiwa wewe unaona hivyo hakuna neno.
Mimi nimemsoma Hamza Mwapachu zaidi yako toka yuko Uingereza na "connections," zake na Fabians sasa hii huenda imeniweka katika fikra tofauti na wengine.
Zaidi nimemsoma Hamza katika TAA Political Subcommittee na mchango wake katika Constitutional Development Committee.
Katika hali kama hii lazima tutatofautiana katika kuyajua mambo.
Zakaria,Kwa maana hiyo, Maalim Said, Mama Givens, Msaidizi wa Mwalimu akiwa Rais alikuwa ni matunda ya connections za Mzee Hamza na 'the Fabian Society!!?'
Nilikuwa naisoma tena Leo hii vision nikaishia kusema wacha nijifanyie tathmini binafsi kabla sijakosoa sana hii ya taifa....kiufupi iko vizuri sana ila utekelazaji ndio jangaKweli kabisa mkuu!
Wewe isome tuu Tanzania vision 2025....maneno mazuuuri...Utekelezaji sasa....bhabhabhaaaaaa
Eti every 5 years iwe reviewed...tagets na milestones ziwe set....halafu tunajiuliza sijui tunakwama wapi.