IQ test: Ukipata ujue una akili nyingi na uwezo wa kupambanua mambo kwa utulivu na usahihi

Upo Sahihi Kwa 100%

2x + 2x + 2x = 30
6x = 30
x = 30÷6
x = 5

2x + (y + z) + (y + z) = 20
2 × 5 + (y + z) + (y + z) = 20
10 + (y + z) + (y + z) = 20
2(y + z) = 20 - 10
y + z = 10÷2
y + z = 5 .......................... eq (i)

(y + z) + 2z + 2z = 13
5 + 4z = 13
4z = 13 - 5
4z = 8
z = 8÷4
z = 2

From eq(i)
y + z = 5 where z = 2
y + 2 = 5
y = 5 - 2
y = 3

2x + y × z = A
(2 × 5) + 3 × 2 = A
10 + 6 = A
A = 16

Therefore, The answer is 16
Mbwembwe kibao af unakosa. Jibu langu 30.
10+10+10=30
10+5+5=20
5+4+4=13
10+5×4=30
 
ecfac7969f8b83a70a79dc81813c82e6.jpg
Wote mnakaribishwa.
Mkuu mbona hizi ni smaulteous equation tu za kawaida mkuu ambayo kupata sio mpaka uwe kipanga
 
Mbwembwe kibao af unakosa. Jibu langu 30.
10+10+10=30
10+5+5=20
5+4+4=13
10+5×4=30

Baada ya kukurupuka kaa chini utafakari mambo haya Matatu uliyoshindwa kuyaona:-

1) Katika Row iliyomaliza= 20
• Hao Watu Wawili watazame Shingoni mwao Kila mmoja kavaa Kipenga Kimoja! Jumla thamani ya hicho kipenga urudie calculate.

2) Katika Row iliyomaliza = 13
• Huyo Mtu wa kwanza pia amevaa kipenga kimoja shingoni kwake! Rudia Calculation.

3) Katika Row iliyomaliza = ?
• Huyo Mtu hajavaa kipyenga Shingoni mwak, Na Hicho kipenga ni Kimoja tu sio Viwili (Kama row ya = 13). Rudia calculation.

Ulichofanya wewe ni sababu moja kubwa inayowapelekea Wadogo zetu kama sio wana wetu kufeli Mitihani yao.
 
AAA kudadekk me najua kuesabu pesa tuu nkiona VP natumia calculate yaan majibu yote hayo bado mnajiita mnajua mahesabu ? Hahahah bola muwe kama mim bashite hahaAHH . tupeni jibu bnaa
. MR Low IQ
 
Baada ya kukurupuka kaa chini utafakari mambo haya Matatu uliyoshindwa kuyaona:-

1) Katika Row iliyomaliza= 20
• Hao Watu Wawili watazame Shingoni mwao Kila mmoja kavaa Kipenga Kimoja! Jumla thamani ya hicho kipenga urudie calculate.

2) Katika Row iliyomaliza = 13
• Huyo Mtu wa kwanza pia amevaa kipenga kimoja shingoni kwake! Rudia Calculation.

3) Katika Row iliyomaliza = ?
• Huyo Mtu hajavaa kipyenga Shingoni mwak, Na Hicho kipenga ni Kimoja tu sio Viwili (Kama row ya = 13). Rudia calculation.

Ulichofanya wewe ni sababu moja kubwa inayowapelekea Wadogo zetu kama sio wana wetu kufeli Mitihani yao.
Kwa iyo ndo unasemaje
 
32 Reactions
Reply
Back
Top Bottom