CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,770
- 15,679
Mkuu jbu ni 15 Over...Jibu ni 16, (mtu amevaa Filimbi ya point 2, hapo mwisho kaivua, kapunguza point 2, kabaki na point 3, (10+(3*2))=16
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu jbu ni 15 Over...Jibu ni 16, (mtu amevaa Filimbi ya point 2, hapo mwisho kaivua, kapunguza point 2, kabaki na point 3, (10+(3*2))=16
Mbwembwe kibao af unakosa. Jibu langu 30.Upo Sahihi Kwa 100%
2x + 2x + 2x = 30
6x = 30
x = 30÷6
x = 5
2x + (y + z) + (y + z) = 20
2 × 5 + (y + z) + (y + z) = 20
10 + (y + z) + (y + z) = 20
2(y + z) = 20 - 10
y + z = 10÷2
y + z = 5 .......................... eq (i)
(y + z) + 2z + 2z = 13
5 + 4z = 13
4z = 13 - 5
4z = 8
z = 8÷4
z = 2
From eq(i)
y + z = 5 where z = 2
y + 2 = 5
y = 5 - 2
y = 3
2x + y × z = A
(2 × 5) + 3 × 2 = A
10 + 6 = A
A = 16
Therefore, The answer is 16
Mkuu mbona hizi ni smaulteous equation tu za kawaida mkuu ambayo kupata sio mpaka uwe kipangaWote mnakaribishwa.
Mbwembwe kibao af unakosa. Jibu langu 30.
10+10+10=30
10+5+5=20
5+4+4=13
10+5×4=30
Dah .... Kwanini hizo IQ test zenu zinakuwa kwenye hisabati tu?Wote mnakaribishwa.
Dah...Kuna filimbi iko moja mkuuNimefanya calculation kwa macho tu
Jibu ni 16
Jibu ni 19
Kwa iyo ndo unasemajeBaada ya kukurupuka kaa chini utafakari mambo haya Matatu uliyoshindwa kuyaona:-
1) Katika Row iliyomaliza= 20
• Hao Watu Wawili watazame Shingoni mwao Kila mmoja kavaa Kipenga Kimoja! Jumla thamani ya hicho kipenga urudie calculate.
2) Katika Row iliyomaliza = 13
• Huyo Mtu wa kwanza pia amevaa kipenga kimoja shingoni kwake! Rudia Calculation.
3) Katika Row iliyomaliza = ?
• Huyo Mtu hajavaa kipyenga Shingoni mwak, Na Hicho kipenga ni Kimoja tu sio Viwili (Kama row ya = 13). Rudia calculation.
Ulichofanya wewe ni sababu moja kubwa inayowapelekea Wadogo zetu kama sio wana wetu kufeli Mitihani yao.
Kwa iyo ndo unasemaje
Nataka nikupakate upo tayari?