Sawa boss.Sio kilaza Mimi wewe sikuona hicho kifiripi Cha mwisho kua kipo kimoja napo nimelisovu kwa kuliangalia tu
Sawa boss.Sio kilaza Mimi wewe sikuona hicho kifiripi Cha mwisho kua kipo kimoja napo nimelisovu kwa kuliangalia tu
Na vipi mtu aliyevaa viatu? Au uliambiwa huyo refa yuko peku?Jibu ni 16
10+(3*2)
Nb mtu ni 5 km akivaa filimbi na filimbi ni 2'km ikiwa moja
Na ndizo nilizotumia na jibu ni 20. Kama utasema kuna filimbi isiyoonekana shingoni halikadhalika hakuna aliyesema huyo refa yuko peku.😂😂 Mkuu usi complicate mambo kuliko yalivyo.... Mathematical concepts unazotakiwa kujua ili ufanye ilo swali ni SUBSTITUTION na BODMAS baaasi