Baba na Mwana wanaweza kuwa Kaka,iwapo Wazazi wa Baba (Renatus) watamuasili(adopt) mwana(Cletus)..Jambo hili lilitokea katika sherehe maalumu Kwa ajili ya kijana Cletus Ishengoma.
Katika sherehe hiyo Ndugu Cletus Ishengoma alisikika akisema " NIMEFURAHI SANA KWA KUWA SASA , BABA YANGU MZAZI MZEE RENATUS ISHENGOMA , AMEKUWA KAKA YANGU"
Baada ya kusema maneno hayo ukumbi mzima akiwemo Mzee Renatus Ishengoma walipiga makofi Na kushangilia..
Baadae Mzee Renatus Ishengoma pia alipewa nafasi ya kusema chochote ambapo nae pia alisikika akisema " NIMEFURAHI SANA KWA KUWA SASA MWANANGU WA KUMZAA MWENYEWE, CLETUS AMEKUWA KAKA YANGU" Kauli hii ya Mzee Ishengoma pia lishangiliwa Sana na wanaukumbi wote..
IQ test questions.
1. Kwanini Ishengoma alisema Sasa nimefurahi Kwa kuwa baba yangu mzazi amekuwa kaka yangu.
2. Kwanini Mzee Ishengoma alisema " sasa nimefurahi Sana Kwa kuwa Mtoto wangu WA kumzaa mwenyewe , Cletus amekuwa kaka yangu"
3. Na kwanini ukumbi mzima ulishangilia Baada ya kusikia Kauli hizo kutoka Kwa Cletus Na baba yake mzazi?
4. Kwanini Mzee Ishengoma alifurahia kuitwa " kaka" Na Mtoto wake WA kumzaa mwenyewe Tena mbele ya umati WA watu.
U HAVE ONLY THIRTY MINUTES..
AFTER THIRTY NINUTES NITATOA MAJIBU.
JIPIME IQ YAKO
Update: Nasubiria Kwanza majibu ya Kiranga .
Jf mmeni dis apoint Sana mbona code nyepesi Sana HII aisee. Ukiweza Kwa kutumia Tu Jina la Ishengoma unaweza kutegua kitendawili kama unazima koroboi vile
N.b: Kama Na kiranga atashindwa kujibu swali hili basi nitajitoa Jf. And this is not a threat. It is a promise.
# My life moves in the direction of my words
Subiri zero yako. Utaambiwa wahaya huwa hawaasili hahahaaBaba na Mwana wanaweza kuwa Kaka,iwapo Wazazi wa Baba (Renatus) watamuasili(adopt) mwana(Cletus)..
Technically,ili uweze kuasili,lazima haki ya wazazi(parents rights) isitishwe..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Unajua ungekuwa umepiga ile sanitizer ya kiwingu ungepatiaKuwa kijana na baba yake wanafanya mambo makubwa zaidi ya mtoto.
Kuwa baba anaona kijana ana akili kubwa zaidi ya kuwa mtoto
Kuwa baba anamuamini sana kijana.
...... IQ yangu kubwa sema tu saa hii nina njaa
Sherehe ya Ushirika,Good try but hujapatia. However nimependezwa na ulivyo fikiri kama ingekuwa mtihani ningekupa 7 out of 10
ZeroWanashauriana kama vijana,kama mi Baba yangu tushakua kama marafiki, tukipata time tunakunywa pamoja story za hapa na pale.watoto wa ujanani tunashida sana inafika mahala unkuta ulipochakata na dingi keshachakata sa kwanini msiitane Kaka
Ilikuwa kidogo sana upatie. Nakupa 9 ya Kumi.Scenario ya 3:Brother/kaka/ndugu katika imani..
Pengine mwanaye amerudi kuwa mtu wa Imani..
Kuitana kaka katika masuala ya imani/kiroho ni vitu vya kawaida sana
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app