LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,103
- 27,084
Jambo hili lilitokea katika sherehe maalumu Kwa ajili ya kijana Cletus Ishengoma.
Katika sherehe hiyo Ndugu Cletus Ishengoma alisikika akisema " NIMEFURAHI SANA KWA KUWA SASA , BABA YANGU MZAZI MZEE RENATUS ISHENGOMA , AMEKUWA KAKA YANGU"
Baada ya kusema maneno hayo ukumbi mzima akiwemo Mzee Renatus Ishengoma walipiga makofi Na kushangilia..
Baadae Mzee Renatus Ishengoma pia alipewa nafasi ya kusema chochote ambapo nae pia alisikika akisema " NIMEFURAHI SANA KWA KUWA SASA MWANANGU WA KUMZAA MWENYEWE, CLETUS AMEKUWA KAKA YANGU" Kauli hii ya Mzee Ishengoma pia lishangiliwa Sana na wanaukumbi wote..
IQ test questions.
1. Kwanini Ishengoma alisema Sasa nimefurahi Kwa kuwa baba yangu mzazi amekuwa kaka yangu.
2. Kwanini Mzee Ishengoma alisema " sasa nimefurahi Sana Kwa kuwa Mtoto wangu WA kumzaa mwenyewe , Cletus amekuwa kaka yangu"
3. Na kwanini ukumbi mzima ulishangilia Baada ya kusikia Kauli hizo kutoka Kwa Cletus Na baba yake mzazi?
4. Kwanini Mzee Ishengoma alifurahia kuitwa " kaka" Na Mtoto wake WA kumzaa mwenyewe Tena mbele ya umati WA watu.
U HAVE ONLY THIRTY MINUTES..
AFTER THIRTY NINUTES NITATOA MAJIBU.
JIPIME IQ YAKO
Update: Nasubiria Kwanza majibu ya Kiranga .
Jf mmeni dis apoint Sana mbona code nyepesi Sana HII aisee. Ukiweza Kwa kutumia Tu Jina la Ishengoma unaweza kutegua kitendawili kama unazima koroboi vile
N.b: Kama Na kiranga atashindwa kujibu swali hili basi nitajitoa Jf. And this is not a threat. It is a promise.
# My life moves in the direction of my words
# naona genius wetu Kiranga ameingia mitini. Upo East Coast time difference is 7 hrs hata kama ungekuwa west coast still time difference is 10 hrs or something .
Anyways Wacha nijibu mwenyewe
HILI NDIO JAWABU.
Ni hivi Mzee Renatus Ishengoma ni wakili msomi WA muda mrefu Na Bwana mdogo Cletus ambae ni Mtoto wa damu WA Mzee Ishengoma Na yeye ameapishwa kuwa wakili. Mawakili huwa wanaitana " Learned Brother" or " Learned Sister " whichever come first.
Mzee Ishengoma is happy now his son has become his Learned brother ( a lawyer/Advocate) vile vile Bwana mdogo Cletus anafurahi Na yeye amekuwa wakili kama baba Ake, Wana ukumbi wanapiga makofi kufurahi achievement ya kijana Cletus.
" Legal Professional is the only professional where by ur biological father or son can become your legally brother"
N.b: Niliwawekea Hadi Jina " ISHENGOMA ILI AT LEAST NI WA RAHISISHIE KUWAZA KWA SABABU WAHAYA WENGI HUWA NI MAWAKILI BUT STILL BADO MMESHINDWA KUUMIZA VICHWA. KWA WACHACHE WALIO JARIBU HONGERENI SANA.
Mods naomba mnisaidie kutag walioomba kutagiwa.
Mother Confessor Okwaaa Mamndenyi EINSTEIN112
Katika sherehe hiyo Ndugu Cletus Ishengoma alisikika akisema " NIMEFURAHI SANA KWA KUWA SASA , BABA YANGU MZAZI MZEE RENATUS ISHENGOMA , AMEKUWA KAKA YANGU"
Baada ya kusema maneno hayo ukumbi mzima akiwemo Mzee Renatus Ishengoma walipiga makofi Na kushangilia..
Baadae Mzee Renatus Ishengoma pia alipewa nafasi ya kusema chochote ambapo nae pia alisikika akisema " NIMEFURAHI SANA KWA KUWA SASA MWANANGU WA KUMZAA MWENYEWE, CLETUS AMEKUWA KAKA YANGU" Kauli hii ya Mzee Ishengoma pia lishangiliwa Sana na wanaukumbi wote..
IQ test questions.
1. Kwanini Ishengoma alisema Sasa nimefurahi Kwa kuwa baba yangu mzazi amekuwa kaka yangu.
2. Kwanini Mzee Ishengoma alisema " sasa nimefurahi Sana Kwa kuwa Mtoto wangu WA kumzaa mwenyewe , Cletus amekuwa kaka yangu"
3. Na kwanini ukumbi mzima ulishangilia Baada ya kusikia Kauli hizo kutoka Kwa Cletus Na baba yake mzazi?
4. Kwanini Mzee Ishengoma alifurahia kuitwa " kaka" Na Mtoto wake WA kumzaa mwenyewe Tena mbele ya umati WA watu.
U HAVE ONLY THIRTY MINUTES..
AFTER THIRTY NINUTES NITATOA MAJIBU.
JIPIME IQ YAKO
Update: Nasubiria Kwanza majibu ya Kiranga .
Jf mmeni dis apoint Sana mbona code nyepesi Sana HII aisee. Ukiweza Kwa kutumia Tu Jina la Ishengoma unaweza kutegua kitendawili kama unazima koroboi vile
N.b: Kama Na kiranga atashindwa kujibu swali hili basi nitajitoa Jf. And this is not a threat. It is a promise.
# My life moves in the direction of my words
# naona genius wetu Kiranga ameingia mitini. Upo East Coast time difference is 7 hrs hata kama ungekuwa west coast still time difference is 10 hrs or something .
Anyways Wacha nijibu mwenyewe
HILI NDIO JAWABU.
Ni hivi Mzee Renatus Ishengoma ni wakili msomi WA muda mrefu Na Bwana mdogo Cletus ambae ni Mtoto wa damu WA Mzee Ishengoma Na yeye ameapishwa kuwa wakili. Mawakili huwa wanaitana " Learned Brother" or " Learned Sister " whichever come first.
Mzee Ishengoma is happy now his son has become his Learned brother ( a lawyer/Advocate) vile vile Bwana mdogo Cletus anafurahi Na yeye amekuwa wakili kama baba Ake, Wana ukumbi wanapiga makofi kufurahi achievement ya kijana Cletus.
" Legal Professional is the only professional where by ur biological father or son can become your legally brother"
N.b: Niliwawekea Hadi Jina " ISHENGOMA ILI AT LEAST NI WA RAHISISHIE KUWAZA KWA SABABU WAHAYA WENGI HUWA NI MAWAKILI BUT STILL BADO MMESHINDWA KUUMIZA VICHWA. KWA WACHACHE WALIO JARIBU HONGERENI SANA.
Mods naomba mnisaidie kutag walioomba kutagiwa.
Mother Confessor Okwaaa Mamndenyi EINSTEIN112