mgao kumbe umewapitia wengi hadi pa padriii
Mapadre huwa hawavai hivyo
ninani sasa muhashamu au mbrother
Kuna wachungaji huwa nawaona wanavaa hayo mashati ya blue na hiyo roman color
mkuu kumbe ata padri umjui anavaaje!!shame on umgao kumbe umewapitia wengi hadi pa padriii
aseee basi watanzania wasilalamike...wote wamekula helaaaa
mkuu kumbe ata padri umjui anavaaje!!shame on u
nenda kanisani kaangalie mapadri wanavaaje then uje tena hapa
hacha tamaa kijanaNa mimi naomba mgao
basi mgao hadi kwa wachungaji...siojaona mashehee
hacha tamaa kijana