Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Ndugu watanzania;
Ujinga huu sio wa kawaida, lazima kuna jambo kubwa nyuma linalopelekea haya yote kutokea... HAIWEZEKANI Tanzania hii, yenye watu hawa , wanaoimba upole, amani na ukarimu wakiishi kwa namna hii wanayoishi leo!
HAIWEZEKANI kuona wakati watu wanakufa na kupotezana, wakihangaika na kupata adha zisizosimulika, kuna watu waliamka asubuhi kama hakuna kilichotokea! makazini kama kawaida, foleni kama kawaida! simulizi za udaku wa g/mboto kila kona, zilizo za ukweli na uongo, msiba kama hauko kwako basi si wako..-huu ni ubinafsi wa kipekee sana
Ubinafsi huu ndio uliopelekea watu kuwa mafisadi, kwa sababu hawana uzalendo, kujiangalia wao na familia zao, kwa kifupi taifa la Tanzania halipo wala haliishi kwa vitendo bali kwa furaha za muda na unafiki uliokithiri!
Wakati wanamuziki wakiimba na kuomboleza kwa sababu ni waimbaji wanasiasa wengi wamekuwa wakifanya yaliyo ada! kuzika watu baada ya uzembe!
Sijaona wala sifikirii kuwa kuna chama cha upinzani nchi hii chenye kubadili welekeo wa sasa wa maisha, kwenye mpira ukikosea kidogo tu basi adui anatosha kabisa kufunga goli, vyama vya siasa vikiwamo vile vinavyojiita mbadala au vikubwa havina tofauti na CCM kwa matendo, wakati JK anaenda kuona wagonjwa, viongozi wa vyama hivi nao wanaenda kuona wagonjwa! wakati JK anasema anaunda tume, vyama hivi vya siasa vinasema tume iundwe! wakati wananchi wanasema viongozi wajiuzulu, vyama vya siasa vinasema viongozi wajiuzulu!!!
kwa haraka haraka hauoni tofauti ya CCM na opposition, hauoni tofauti ya wananchi na opposition, to cut it short so-called opposition parties they dont have any unique solutions than CCM and Citizen's!
Samahani chama gani cha siasa kilifuatilia kuwa waathirika wa Mbagala hawajalipwa mpaka leo? nani alifuatilia ile tume ilileta au ilitoa jibu gani?
Kwa nini majanga yanavyotokea serikali,chama tawala, wapinzani woote wanaonekana kitu kimoja tu? sijaona tofauti bado yakuwa chadema ni mbadala , sijaona tofauti ya kuwa CDM CUF au NCCR...name it ni wapinzani, woote hawa ni wezi na mafisadi tu!
Ni kitu gani kinazuia hivi vyama kuandamana kwa amani kuiondoa CCM madarakani? ni vitu gani vinazuia hivi vyama kukusanyika mnazi mmoja na vitambaa vyeupe vikiashiria hatuna ugomvi kuishinikiza CCM iondoke madarakani? ujinga huu umefikia wakati ili shibe ziendelee kwa makusudi zimeingizwa hoja za kutoaminiana! ili CCM iendelee! na wao waendelee! na kuwapa wananchi wajinga matumaini yasiyikuwepo yaendelee!
Tumaini la mtanzania leo ni nakala za mwanahalisi,raia mwema, kulikoni, blogs,FB, JF n.k? mpaka watu wanaandaa online petition eti Mwinyi ajiuzulu..what a joke!, HAYA amesema hatoki madarakani so what next??!!Tumaini la mtanzania liko wapi? is this not a seduction? hivi vyama vimeaminisha watanzania kuwa vinaweza, vikasema vinaweza, vikapigiwa kura na hawa watu wa Gongo la Mboto! je malipo yao ni kuona wananyanyaswa namna hii, nani wa kuwasaidia at least justice must be done?
Chama gani cha siasa na lini kilishauri kuwa hizi ghala za silaha zisikae karibu na watu? Vilifika mbali kiasi gani kuhakikisha hili halitokei? zili-force haya mAswala kiasi gani? au upinzani ni kutoyaangalia haya?? nauliza tena tumaini la watanzania kuunda wizara vivuli na kamati za bunge ni nini? wakati tunasema wakina Mwinyi wajiuzulu hawa mawaziri vivuli wa upinzani wao hawatakiwi kujiuzulu?
Ukiacha upinzani ambao umeoza na hamna tumaini, hata kama mtatoa machozi ya damu kumsifia Slaa au Hamad au sijui nani, hakuna tumaini huku! hakuna maisha huku! JE hizi asasi za serikali zinazokula fedha za misaada zinafanya nini? wanaharakati wa haki za binadamu walifuatilia kiasi gani issue ya mbagala? ilifikia wapi na walifanya nini??
Kwa kifupi uzembe wa serikali ni superficial tu, kuna uzembe mkubwa karibu kila institution we are now reaping! mabomu yameonekana je ni mangapi yanayotokea nchi hii YAFANANAYO NA HAYA? ambayo hayaonekani sasa na athari zake zitaonekana vizazi vijavyo?
Narudia tena for the sake of next generations please forget about these opposition parties we better wipe them away, because we dont have one! kuvikataa hivi vyama ni mwanzo wa kuvikaribisha vyama vilivyo 'CRAZY' and 'ADDICTED' to redeem Tanzanian from CCM oppression!
Najua wengi mnaweza kuwa washabiki sijakurupuka! pengine sijui kazi ya wapinzani naona we are lacking something !
Ujinga ndio unatusumbua, ubinafsi unatutawala, roho mbaya inatuwinda, kutowaza vizazi vijavyo we are foolishly blind! NO ONE IS SAFE IN TANZANIA! NO ONE! haki ile ya G/Mboto haikuchagua maskini wala tajiri!
Narudi kwa chadema na wenzio, jiuzuruni kuwa chama cha siasa, mkianza nyie akina Mwinyi watafuata! maana hamjui siasa, hamjui wajibu wenu, kazi kukalia ruzuku! mkisema kwa sababu haiko madarakani basi hawakutakiwa kwenda kuona wagonjwa, hawakutakiwa kusema akina Mwinyi wajiuzulu! kama inaweza kusema haya kwa nguvu waliyonayo then they have every right to followup everything in this country!
Nasema kwa uchungu sana na hasa juu ya CDM ambayo imekuwa ikiwadanganya raia kuwa ni wasafi... tunaujua ukweli kuanzia mtei, tunajua urafiki wa wa karibu sana wa Kikwete na rafiki yake Lowassa kwa akina Mbowe na Kibanda!
Nyie wanachadema na wengine mpaka mtakapofikia hatua ya kuwakaanga viongozi wenu ILI WAFANYE KILE MNACHOKITAKA basi hakuna ukombozi nchi hii, CDM ya sasa imeishachakachuliwa!
Ujinga uleule wa kukubali kila kitu , ndicho kilichopelekea Slaa akubali kushindwa, huu ni ujinga tu wala hakuna maelezo mengine fasaha, ujinga huo huo ndio unapelekea wananchi na vyama vyao kutojali lililotokea Gongo la Mboto na kuendelea na shughuli zao!
Upinzani umeshindwa kuhoji mpaka makampuni ya simu kwa nini walizima mitambo zile nyakati ambapo msaada wao ulihitajika sana!
Ni lini tunaowalipa bungeni, wanakula ruzuku zetu kutokana na kodi zetu watakuwa tayari kufanya au kuisukuma serikali katika kila kitu? hata kama hawapo madarakani, mbona ruzuku hazisemwi kuwa zisubiri wachukue madaraka? idadi yenyewe ya wapinzani ni ndogo still we are thinking opposition will RESCUE us? huu nao sio ujinga??
I repeat CDM CUF.. and all other opposition must resign! should I continue to describe this? hata wewe mwananchi kama hukufanya lolote kwenye hili swala basi jiuzulu uraia wa Tanzania! acheni unafiki aidha tuingie barabarani au tukae kimya kabisa! we have only two options! Wakati Slaa anasema ‘tunaonyesha mshikamano' Hamad anasema anaridhishwa na jitihada za JWTZ na eti anasubiri majibu ya tume.. ili hali ya mbagala haijajulikana mpaka leo! mlifikia mbali kiasi gani kufuatilia issue ya mbagala? hamuoni na nyie ni magoal-keeper tu wa kusubiri catastrophes? mnaishauri serikali? tuelezeni issue ya mbagala mlifuatilia kwa umbali kiasi gani??
CDM and CUF must resign kwa sababu haikuzuia hili swala wala kufuatilia toka maafa ya kwanza ya mbagala nao wamekuwa wasubiriaji tu na imeshindwa kuwapeleka watu barabarani ili CCM ijiuzulu! You have willfully loosed opportunity to lead us into our Tahrir square! you are nothing you are weakers! Au nyie kusaidia wananchi ni mkiwa viongozi tu? Tauache unafiki kuwachekeachekea hawa wapinzani ili wali ndio wanatakiwa kuongoza jahazi nyakati hizi ni siyo ujinga ni zaidi ya ujinga! Mnawapa misifa sijui nani kawaroga, ukiamka CDM hivi Slaa vile sifa tu! Nothing has been done at a all at all at all! Kama tuna value output then we have to evaluate output of this vyama! Otherwise aibu tupu na ushabiki usio na msingi!
Sorry vyama vingine sijaviongelea maana vinawakilishwa na hivi vinavyojiita vikubwa!
Nendeni kwa msajili wa vyama vya siasa mkaombe vyama vyenu vifutwe ili muanze upya, hakuna opposition Tanzania, kuna false hope na ujanja mwingi wa kutaka ruzuku zetu na kujifanya mna uchuuuungu kumbe kutaka maisha yenu yaendelee, you better find another JOB!
Kwa mnaodhani ninavionea vyama ebu tafuteni kwenye literature functions of opposition! You will be surprised their role and strength is big!
Wenu katika harakati za kulikomboa taifa hili from CCM.
Waberoya
Ujinga huu sio wa kawaida, lazima kuna jambo kubwa nyuma linalopelekea haya yote kutokea... HAIWEZEKANI Tanzania hii, yenye watu hawa , wanaoimba upole, amani na ukarimu wakiishi kwa namna hii wanayoishi leo!
HAIWEZEKANI kuona wakati watu wanakufa na kupotezana, wakihangaika na kupata adha zisizosimulika, kuna watu waliamka asubuhi kama hakuna kilichotokea! makazini kama kawaida, foleni kama kawaida! simulizi za udaku wa g/mboto kila kona, zilizo za ukweli na uongo, msiba kama hauko kwako basi si wako..-huu ni ubinafsi wa kipekee sana
Ubinafsi huu ndio uliopelekea watu kuwa mafisadi, kwa sababu hawana uzalendo, kujiangalia wao na familia zao, kwa kifupi taifa la Tanzania halipo wala haliishi kwa vitendo bali kwa furaha za muda na unafiki uliokithiri!
Wakati wanamuziki wakiimba na kuomboleza kwa sababu ni waimbaji wanasiasa wengi wamekuwa wakifanya yaliyo ada! kuzika watu baada ya uzembe!
Sijaona wala sifikirii kuwa kuna chama cha upinzani nchi hii chenye kubadili welekeo wa sasa wa maisha, kwenye mpira ukikosea kidogo tu basi adui anatosha kabisa kufunga goli, vyama vya siasa vikiwamo vile vinavyojiita mbadala au vikubwa havina tofauti na CCM kwa matendo, wakati JK anaenda kuona wagonjwa, viongozi wa vyama hivi nao wanaenda kuona wagonjwa! wakati JK anasema anaunda tume, vyama hivi vya siasa vinasema tume iundwe! wakati wananchi wanasema viongozi wajiuzulu, vyama vya siasa vinasema viongozi wajiuzulu!!!
kwa haraka haraka hauoni tofauti ya CCM na opposition, hauoni tofauti ya wananchi na opposition, to cut it short so-called opposition parties they dont have any unique solutions than CCM and Citizen's!
Samahani chama gani cha siasa kilifuatilia kuwa waathirika wa Mbagala hawajalipwa mpaka leo? nani alifuatilia ile tume ilileta au ilitoa jibu gani?
Kwa nini majanga yanavyotokea serikali,chama tawala, wapinzani woote wanaonekana kitu kimoja tu? sijaona tofauti bado yakuwa chadema ni mbadala , sijaona tofauti ya kuwa CDM CUF au NCCR...name it ni wapinzani, woote hawa ni wezi na mafisadi tu!
Ni kitu gani kinazuia hivi vyama kuandamana kwa amani kuiondoa CCM madarakani? ni vitu gani vinazuia hivi vyama kukusanyika mnazi mmoja na vitambaa vyeupe vikiashiria hatuna ugomvi kuishinikiza CCM iondoke madarakani? ujinga huu umefikia wakati ili shibe ziendelee kwa makusudi zimeingizwa hoja za kutoaminiana! ili CCM iendelee! na wao waendelee! na kuwapa wananchi wajinga matumaini yasiyikuwepo yaendelee!
Tumaini la mtanzania leo ni nakala za mwanahalisi,raia mwema, kulikoni, blogs,FB, JF n.k? mpaka watu wanaandaa online petition eti Mwinyi ajiuzulu..what a joke!, HAYA amesema hatoki madarakani so what next??!!Tumaini la mtanzania liko wapi? is this not a seduction? hivi vyama vimeaminisha watanzania kuwa vinaweza, vikasema vinaweza, vikapigiwa kura na hawa watu wa Gongo la Mboto! je malipo yao ni kuona wananyanyaswa namna hii, nani wa kuwasaidia at least justice must be done?
Chama gani cha siasa na lini kilishauri kuwa hizi ghala za silaha zisikae karibu na watu? Vilifika mbali kiasi gani kuhakikisha hili halitokei? zili-force haya mAswala kiasi gani? au upinzani ni kutoyaangalia haya?? nauliza tena tumaini la watanzania kuunda wizara vivuli na kamati za bunge ni nini? wakati tunasema wakina Mwinyi wajiuzulu hawa mawaziri vivuli wa upinzani wao hawatakiwi kujiuzulu?
Ukiacha upinzani ambao umeoza na hamna tumaini, hata kama mtatoa machozi ya damu kumsifia Slaa au Hamad au sijui nani, hakuna tumaini huku! hakuna maisha huku! JE hizi asasi za serikali zinazokula fedha za misaada zinafanya nini? wanaharakati wa haki za binadamu walifuatilia kiasi gani issue ya mbagala? ilifikia wapi na walifanya nini??
Kwa kifupi uzembe wa serikali ni superficial tu, kuna uzembe mkubwa karibu kila institution we are now reaping! mabomu yameonekana je ni mangapi yanayotokea nchi hii YAFANANAYO NA HAYA? ambayo hayaonekani sasa na athari zake zitaonekana vizazi vijavyo?
Narudia tena for the sake of next generations please forget about these opposition parties we better wipe them away, because we dont have one! kuvikataa hivi vyama ni mwanzo wa kuvikaribisha vyama vilivyo 'CRAZY' and 'ADDICTED' to redeem Tanzanian from CCM oppression!
Najua wengi mnaweza kuwa washabiki sijakurupuka! pengine sijui kazi ya wapinzani naona we are lacking something !
Ujinga ndio unatusumbua, ubinafsi unatutawala, roho mbaya inatuwinda, kutowaza vizazi vijavyo we are foolishly blind! NO ONE IS SAFE IN TANZANIA! NO ONE! haki ile ya G/Mboto haikuchagua maskini wala tajiri!
Narudi kwa chadema na wenzio, jiuzuruni kuwa chama cha siasa, mkianza nyie akina Mwinyi watafuata! maana hamjui siasa, hamjui wajibu wenu, kazi kukalia ruzuku! mkisema kwa sababu haiko madarakani basi hawakutakiwa kwenda kuona wagonjwa, hawakutakiwa kusema akina Mwinyi wajiuzulu! kama inaweza kusema haya kwa nguvu waliyonayo then they have every right to followup everything in this country!
Nasema kwa uchungu sana na hasa juu ya CDM ambayo imekuwa ikiwadanganya raia kuwa ni wasafi... tunaujua ukweli kuanzia mtei, tunajua urafiki wa wa karibu sana wa Kikwete na rafiki yake Lowassa kwa akina Mbowe na Kibanda!
Nyie wanachadema na wengine mpaka mtakapofikia hatua ya kuwakaanga viongozi wenu ILI WAFANYE KILE MNACHOKITAKA basi hakuna ukombozi nchi hii, CDM ya sasa imeishachakachuliwa!
Ujinga uleule wa kukubali kila kitu , ndicho kilichopelekea Slaa akubali kushindwa, huu ni ujinga tu wala hakuna maelezo mengine fasaha, ujinga huo huo ndio unapelekea wananchi na vyama vyao kutojali lililotokea Gongo la Mboto na kuendelea na shughuli zao!
Upinzani umeshindwa kuhoji mpaka makampuni ya simu kwa nini walizima mitambo zile nyakati ambapo msaada wao ulihitajika sana!
Ni lini tunaowalipa bungeni, wanakula ruzuku zetu kutokana na kodi zetu watakuwa tayari kufanya au kuisukuma serikali katika kila kitu? hata kama hawapo madarakani, mbona ruzuku hazisemwi kuwa zisubiri wachukue madaraka? idadi yenyewe ya wapinzani ni ndogo still we are thinking opposition will RESCUE us? huu nao sio ujinga??
I repeat CDM CUF.. and all other opposition must resign! should I continue to describe this? hata wewe mwananchi kama hukufanya lolote kwenye hili swala basi jiuzulu uraia wa Tanzania! acheni unafiki aidha tuingie barabarani au tukae kimya kabisa! we have only two options! Wakati Slaa anasema ‘tunaonyesha mshikamano' Hamad anasema anaridhishwa na jitihada za JWTZ na eti anasubiri majibu ya tume.. ili hali ya mbagala haijajulikana mpaka leo! mlifikia mbali kiasi gani kufuatilia issue ya mbagala? hamuoni na nyie ni magoal-keeper tu wa kusubiri catastrophes? mnaishauri serikali? tuelezeni issue ya mbagala mlifuatilia kwa umbali kiasi gani??
CDM and CUF must resign kwa sababu haikuzuia hili swala wala kufuatilia toka maafa ya kwanza ya mbagala nao wamekuwa wasubiriaji tu na imeshindwa kuwapeleka watu barabarani ili CCM ijiuzulu! You have willfully loosed opportunity to lead us into our Tahrir square! you are nothing you are weakers! Au nyie kusaidia wananchi ni mkiwa viongozi tu? Tauache unafiki kuwachekeachekea hawa wapinzani ili wali ndio wanatakiwa kuongoza jahazi nyakati hizi ni siyo ujinga ni zaidi ya ujinga! Mnawapa misifa sijui nani kawaroga, ukiamka CDM hivi Slaa vile sifa tu! Nothing has been done at a all at all at all! Kama tuna value output then we have to evaluate output of this vyama! Otherwise aibu tupu na ushabiki usio na msingi!
Sorry vyama vingine sijaviongelea maana vinawakilishwa na hivi vinavyojiita vikubwa!
Nendeni kwa msajili wa vyama vya siasa mkaombe vyama vyenu vifutwe ili muanze upya, hakuna opposition Tanzania, kuna false hope na ujanja mwingi wa kutaka ruzuku zetu na kujifanya mna uchuuuungu kumbe kutaka maisha yenu yaendelee, you better find another JOB!
Kwa mnaodhani ninavionea vyama ebu tafuteni kwenye literature functions of opposition! You will be surprised their role and strength is big!
Wenu katika harakati za kulikomboa taifa hili from CCM.
Waberoya