we are finished! why discuss about people instead of issues of national interest? is jf taking over from global publishers? lets maintain the status of jf for being creative,innovative and open minded.we need reseached information to be shared among us and help our nation move and remain safe from the few grid fellas maarufu kama mafisadi
Ni wazi Mengi amepania kummaliza Masha pasipo sababu, ninaamini hayupo peke yake, kuna watu nyuma yake ambao wametengeneza mtandao kwa ajili ya kufanya kazi hiyo. Kwa mfano, SEMA USIKIKE inasema Masha alisafiri tarehe 1 Oktoba kwa Swiss Air akitoka Dar kwenda Geneva. Binafsi nilikutana na Masha Dubai tarehe hiyo hiyo akitoka China Kwa safari ya Kikazi, hapa ndipo maswali yanakuja hawa wanaandika ukweli au wanataka kutuaminisha wanayotaka wao? Kwa taarifa tu, Gazeti la majira limenunuliwa na Mengi pia.
Naona Ippmedia imeingiza gazeti jipya sokoni likienda kwa jina la SEMA USIKIKE. Gazeti hili toleo la 001 limebeba kichwa cha habari Masha akutana na wababe wa mchezo mchafu geneva -kikao kilifanyika 5 okt 2008 saa 12 hadi 2 usiku chumba0306 hotel mandarin oriental.
Pili naona wamefufua gazeti lao la Taifa letu(binafsi nilikuwa sijaliona long time may b memberz mlishaliona).Toleo la leo na. 00487 lina habari "karamagi adaiwa kudandia wake za vigogo wenzake, avunja ndoa ya mkuu wa wilaya kwa kufanya mapenzi na mkewe, anafanya urafiki na mwenye mke kisha anamgeuzia kibao.Linabainisha kuwa mkuu wa wilaya yupo huko kigoma na ni kijana..
Nikiangalia kumbukumbu zangu naona DC kijana either ni mh. mongela Wa kigoma urban/rural or mh. Bwanamdogo DC wa kasulu.
Hayo mambo mapya ya ippmedia