Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,023
- 18,563
Wana JF, leo nimeona picha kwenye IPPMedia iliyoambatana na kichwa cha habari kuwa mainjinia wa JWTZ watasaidia katika ujenzi wa SGR.
Lakini jambo lililonishangaza ni hiyo picha iliyowekwa ikionyesha askari wakiwa na silaha wakisemwa kuwa ni askari wa JWTZ (au TPDF). Hapo nimetilia shaka sana, kwa kuwa JWTZ huwa hawavai nusu kombati (camouflage) na pia silaha walizoshika ni assault rifles M16 za Marekani ambazo nadhani Polisi wa Kenya walipewa na USA katika kupambana na magaidi badala ya kutumia G-3 na SMG au AK 47, ambazo kidogo ni hafifu.
Je, inawezekana kwamba IPPMedia wametupiga changa la macho kwa kuweka picha ya askari Polisi wa Kenya na kuwaita JWTZ? Nadhani hii ni picha ya riot squad ya Polisi wa Kenya ambayp IPPMedia wameamua kuwaita TPDF. Nani amewahi kuona JWTZ wakiwa wamevalia kama picha inavyoonyesha? Huu utakuwa uzembe wa hali ya juu kwa mhariri wao.
TPDF all out to offer engineers for SGR construction project
Lakini jambo lililonishangaza ni hiyo picha iliyowekwa ikionyesha askari wakiwa na silaha wakisemwa kuwa ni askari wa JWTZ (au TPDF). Hapo nimetilia shaka sana, kwa kuwa JWTZ huwa hawavai nusu kombati (camouflage) na pia silaha walizoshika ni assault rifles M16 za Marekani ambazo nadhani Polisi wa Kenya walipewa na USA katika kupambana na magaidi badala ya kutumia G-3 na SMG au AK 47, ambazo kidogo ni hafifu.
Je, inawezekana kwamba IPPMedia wametupiga changa la macho kwa kuweka picha ya askari Polisi wa Kenya na kuwaita JWTZ? Nadhani hii ni picha ya riot squad ya Polisi wa Kenya ambayp IPPMedia wameamua kuwaita TPDF. Nani amewahi kuona JWTZ wakiwa wamevalia kama picha inavyoonyesha? Huu utakuwa uzembe wa hali ya juu kwa mhariri wao.
TPDF all out to offer engineers for SGR construction project