Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,657
- 22,254
Mbona na nyie mnawabagua wachaga kwa kuita duka la mangi au mchaga!Ukiangalia hii taarifa unajiuliza kutaja asili ya kihindi lengo lake lilikuwa ni nini? si walishasema Mtanzania?
Je, kosa lake linahusiana na Asili yake? Why wataje Asili ya Mhusika? Utagundua. Ni Ubaguzi. Na tukatae kabisa Ubaguzi. Siku nyingine Watandika Mtanzania Mwenye Asili ya Tanga amehukumiwa kwa sababu ya Ushoga.
View attachment 1912658