Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,644
- 218,092
Kampuni ya IPP Limited inakusudia kujenga kiwanda cha kubangua korosho mkoani Mtwara .
Hii itakuwa ndio kampuni pekee ya wazawa inayomilikiwa na Reginald Mengi , nyingine ni za kigeni , Hayo yamesemwa na RC wa Mtwara ndugu Byakanwa.
Chanzo : Nipashe.
Swali - Hivi vile viwanda vingine vya Mzee Mengi , vile vya Magari na Smartphone vimefikia wapi ?
Hii itakuwa ndio kampuni pekee ya wazawa inayomilikiwa na Reginald Mengi , nyingine ni za kigeni , Hayo yamesemwa na RC wa Mtwara ndugu Byakanwa.
Chanzo : Nipashe.
Swali - Hivi vile viwanda vingine vya Mzee Mengi , vile vya Magari na Smartphone vimefikia wapi ?