Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Kwahaya yanayo endelea nchini ,ipo siku ccm watakuja kujuta na kuomba msamaha hadharani wakitembelea magoti na kutoa machozi ya damu kwa walichowafanyia watanzania, mwenye masikio na asikie,mwenye macho na atazame siku yaaja haina tarehe wala mwaka wala saa, huhitaji kuwa na digrii kuelewa haya.One doesn't have to be a genius to understand this.A country lead by tabulalasa ever government massive failure economilly, socially, politically ever seen in the world