Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,187
- 9,633
Ndugu Zangu Watanzania,
Huo Ni Utabiri wangu kwa jicho la mbali kwa kuangalia Hali ya mambo Inavyoendelea hapa nchini,Kwa namna Rais Samia anavyokubalika,anavyopendwa na watanzania,alivyoiteka mioyo ya watanzania,uchapa kazi wake uliotukuka,Dhamira yake njema katika kulijenga Taifa letu,upendo wake kwa watanzania, usikivu wake kwa watanzania, juhudi zake za kuimarisha maridhiano na kujenga umoja wa kitaifa, Naona Rais Samia Akiungwa mkono na vyama vya upinzani ili apite bila kupingwa .
Hakuna ajenda inayogusa hisia za watanzania ambayo Rais Samia hajaigusa na kuzifanyia kazi,hakuna kero au changamoto ambayo Rais Samia hajaitolea majibu,hakuna sauti ambayo imepuuzwa masikioni mwa Rais wetu mpendwa mama Samia,Hakuna kundi ambalo halijapewa sauti ya kusikika masikioni mwa Rais wetu Jasiri shujaa mzalendo na mcha Mungu.
Hakuna ajenda ambayo wapinzani wanaweza ibeba na kuipeleka kwa watanzania na kupokelewa kwa hisia,kwa kuwa kila ajenda imebebwa na kufanyiwa kazi na Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania, Ni kazi kila mahali amefanya Rais wetu,miradi ya kimkakati imechipua na kutamalaki maeneo mbalimbali,Taifa limetulia na kutamalaki amani,mioyo ya watanzania Ni yenye furaha na Tabasamu.
Hakuna mwenye chuki na Rais Samia,hakuna aliyeumizwa Wala kuonewa na Rais Samia,Hakuna aliye na kinyongo na Rais Samia,wote wanampenda Sana Rais Samia kwa kuwa kila mtanzania anajiona kuthaminiwa na kusikilizwa,kila mtu ana matumaini ya kutimiza Ndoto zake chini ya uongozi wa Rais Samia.
Sasa Nani wa kumpinga mama Samia wetu? Nani wa kushindana Naye? Umpinge ili uje ufanye Nini ambacho Rais wetu hajafanya? Kipi ambacho Rais wetu hajagusa? Sauti ya Nani ambayo haijasikika masikioni mwa Rais wetu? Nani ameonewa na Rais Samia? Nani kadhurumiwa? Kwani hamsikii namna ambavyo Rais wetu akihubiri Haki? Hamsikii na kuona namna ambavyo mh Rais akiwa mwenye huruma kwa kila mtu na kumtendea haki kila mtu?
Tuna taka Nini watanzania? Tunamtaka Nani Zaid ya Rais Samia? Tuna taka kipi kutoka kwa nani ambacho kimemshinda Rais Samia? Kipi ambacho tumekihitaji watanzania na hakijafanyiwa kazi na Rais Samia? Kwanini Tusimuunge mkono Rais samia? Tunamtaka malaika ashushwe ndio aje atuongoze? Kama Ni binadamu Basi niseme kuwa Rais Samia anatosha Kuendelea kutuongoza maana ametuvusha nyakati ngumu na kutufikisha hapa Kama Taifa tukiwa wamoja na wenye mshikamano,Na Ameonyesha uwezo mkubwa wa kiuongozi.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Huo Ni Utabiri wangu kwa jicho la mbali kwa kuangalia Hali ya mambo Inavyoendelea hapa nchini,Kwa namna Rais Samia anavyokubalika,anavyopendwa na watanzania,alivyoiteka mioyo ya watanzania,uchapa kazi wake uliotukuka,Dhamira yake njema katika kulijenga Taifa letu,upendo wake kwa watanzania, usikivu wake kwa watanzania, juhudi zake za kuimarisha maridhiano na kujenga umoja wa kitaifa, Naona Rais Samia Akiungwa mkono na vyama vya upinzani ili apite bila kupingwa .
Hakuna ajenda inayogusa hisia za watanzania ambayo Rais Samia hajaigusa na kuzifanyia kazi,hakuna kero au changamoto ambayo Rais Samia hajaitolea majibu,hakuna sauti ambayo imepuuzwa masikioni mwa Rais wetu mpendwa mama Samia,Hakuna kundi ambalo halijapewa sauti ya kusikika masikioni mwa Rais wetu Jasiri shujaa mzalendo na mcha Mungu.
Hakuna ajenda ambayo wapinzani wanaweza ibeba na kuipeleka kwa watanzania na kupokelewa kwa hisia,kwa kuwa kila ajenda imebebwa na kufanyiwa kazi na Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania, Ni kazi kila mahali amefanya Rais wetu,miradi ya kimkakati imechipua na kutamalaki maeneo mbalimbali,Taifa limetulia na kutamalaki amani,mioyo ya watanzania Ni yenye furaha na Tabasamu.
Hakuna mwenye chuki na Rais Samia,hakuna aliyeumizwa Wala kuonewa na Rais Samia,Hakuna aliye na kinyongo na Rais Samia,wote wanampenda Sana Rais Samia kwa kuwa kila mtanzania anajiona kuthaminiwa na kusikilizwa,kila mtu ana matumaini ya kutimiza Ndoto zake chini ya uongozi wa Rais Samia.
Sasa Nani wa kumpinga mama Samia wetu? Nani wa kushindana Naye? Umpinge ili uje ufanye Nini ambacho Rais wetu hajafanya? Kipi ambacho Rais wetu hajagusa? Sauti ya Nani ambayo haijasikika masikioni mwa Rais wetu? Nani ameonewa na Rais Samia? Nani kadhurumiwa? Kwani hamsikii namna ambavyo Rais wetu akihubiri Haki? Hamsikii na kuona namna ambavyo mh Rais akiwa mwenye huruma kwa kila mtu na kumtendea haki kila mtu?
Tuna taka Nini watanzania? Tunamtaka Nani Zaid ya Rais Samia? Tuna taka kipi kutoka kwa nani ambacho kimemshinda Rais Samia? Kipi ambacho tumekihitaji watanzania na hakijafanyiwa kazi na Rais Samia? Kwanini Tusimuunge mkono Rais samia? Tunamtaka malaika ashushwe ndio aje atuongoze? Kama Ni binadamu Basi niseme kuwa Rais Samia anatosha Kuendelea kutuongoza maana ametuvusha nyakati ngumu na kutufikisha hapa Kama Taifa tukiwa wamoja na wenye mshikamano,Na Ameonyesha uwezo mkubwa wa kiuongozi.
Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627