Ipo siku wa Tanzania watapanga kwenye ardhi yao kwa mgongo wa uwekezaji

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,900
12,965
Hakuna wa kumfunga paka kengele! Sasa ni mwendo wa kuchukua ardhi na kuwapa wawekezaji, huku wazawa wakilipwa fidia kwenye ardhi ya mababu zao na kuhamishiwa maeneo yasiyo na rutuba. Kwa mwendo huu, ipo siku Watanzania watapanga kwenye ardhi yao wenyewe kwa sababu ardhi yote imepewa wawekezaji.

Umuhimu wa kurudisha Tanganyika unaonekana wazi sasa, maana hali hii haileti picha nzuri. Bandari zinazorasimishwa zipo Tanganyika, si Zanzibar. Ardhi inayorasimishwa ni ya Tanganyika, si ya Zanzibar. Wananchi wanaoondolewa kwenye maeneo yenye rutuba na ardhi yao kugawanywa kwa wawekezaji ni wa Tanganyika, si wa Zanzibar.

Je, hili ni sawa? Kwa nini hata marais waliopita, kama Jakaya Kikwete, hawakurasimisha mali za Zanzibar kwa mtindo huu?
 
Usituletee hoja za kibaguzi mkuu,
Unahatarisha uzalendo WA watanzania Kwa nchi na raisi wao.
 
Congo wamefika walipo Kwa Sababu ya trend za nyuzi Kama hizi za kuwagawa watu
 
Kwani wakili msomi Mwabukusi anasemaje kuhusiana na hujuma kwa raslimali za Tanganyika?
 
Congo wamefika walipo Kwa Sababu ya trend za nyuzi Kama hizi za kuwagawa watu
Situation ya Congo ni tofauti na hii.
Anyways kuhusu Ardhi yupo sahihi kabisa. Mwenye kidogo mjanja akijipenyeza kukitumia chako kikubwa utaumia. Yeye chake chake peke yake anakilinda leo na kesho. Wewe chako ni cha wote. Kikiisha utakosa cha kushika!

Muundo wa muungano usipoangaliwa upya Tanganyika itavuna mabua!
 
Hakuna wa kumfunga paka kengele! Sasa ni mwendo wa kuchukua ardhi na kuwapa wawekezaji, huku wazawa wakilipwa fidia kwenye ardhi ya mababu zao na kuhamishiwa maeneo yasiyo na rutuba. Kwa mwendo huu, ipo siku Watanzania watapanga kwenye ardhi yao wenyewe kwa sababu ardhi yote imepewa wawekezaji.

Umuhimu wa kurudisha Tanganyika unaonekana wazi sasa, maana hali hii haileti picha nzuri. Bandari zinazorasimishwa zipo Tanganyika, si Zanzibar. Ardhi inayorasimishwa ni ya Tanganyika, si ya Zanzibar. Wananchi wanaoondolewa kwenye maeneo yenye rutuba na ardhi yao kugawanywa kwa wawekezaji ni wa Tanganyika, si wa Zanzibar.

Je, hili ni sawa? Kwa nini hata marais waliopita, kama Jakaya Kikwete, hawakurasimisha mali za Zanzibar kwa mtindo huu?
Ipo siku tena, au tayari sisi ni wapangaji kwenye ardhi yetu. Rejea Bandari, Ngorongoro, Wazanzibar wananunua mashamba na mapori, nk
 
Hapana, yote hutegemea nani kasimama kileleni. Kitine huyuhuyu alikuja baadaye kukumbwa na kashfa ya kifisadi.
lakini mkuu idara hiyo Haina wazee wa mwanzoni ambao Wana fikiria kwa ajili ya taifa?

maana taasisi Zina Nika rushwa, usalama wange fanya maamuzi ya kupunguza watu Kwa kuwapa ushahidi kimya kimya mbona nchi Inge kuwa safi tu!
 
lakini mkuu idara hiyo Haina wazee wa mwanzoni ambao Wana fikiria kwa ajili ya taifa?

maana taasisi Zina Nika rushwa, usalama wange fanya maamuzi ya kupunguza watu Kwa kuwapa ushahidi kimya kimya mbona nchi Inge kuwa safi tu!
Wapo, lakini ushauri wao hauzingatiwi. Ndiyo maana nikasema inategemea nani kasimama kileleni.
 
Hakuna wa kumfunga paka kengele! Sasa ni mwendo wa kuchukua ardhi na kuwapa wawekezaji, huku wazawa wakilipwa fidia kwenye ardhi ya mababu zao na kuhamishiwa maeneo yasiyo na rutuba. Kwa mwendo huu, ipo siku Watanzania watapanga kwenye ardhi yao wenyewe kwa sababu ardhi yote imepewa wawekezaji.

Umuhimu wa kurudisha Tanganyika unaonekana wazi sasa, maana hali hii haileti picha nzuri. Bandari zinazorasimishwa zipo Tanganyika, si Zanzibar. Ardhi inayorasimishwa ni ya Tanganyika, si ya Zanzibar. Wananchi wanaoondolewa kwenye maeneo yenye rutuba na ardhi yao kugawanywa kwa wawekezaji ni wa Tanganyika, si wa Zanzibar.

Je, hili ni sawa? Kwa nini hata marais waliopita, kama Jakaya Kikwete, hawakurasimisha mali za Zanzibar kwa mtindo huu?
🤐
 
The whole system is hijacked by the sharks.
Ila hatuja chelewa bado, wapunguze punguze baadhi ya mambo Kama uchawa ulio pitiliza.

*mauaji na utekaji
*Mikataba ya miradi ihakikiwe na wasomi nguli, tena ifanywe kwa wazi.(Television ya taifa Ina weza broadcast hili).
*Kuweka Sheria ya kuwajibisha wabunge wasio tekeleza majukumu, Kama kuwa ondoa bungeni na kulipa fidia waki sababisha hasara.

*Elimu yetu iangaliwe na kuboreshwa, maana hii Ina fanya kazi Kama tuko bado kwenye Ukoloni.

* Tra ichunguzwe na kuwekwa sawa, mbona tuta kuwa sawa tu.
 
Ila hatuja chelewa bado, wapunguze punguze baadhi ya mambo Kama uchawa ulio pitiliza.

*mauaji na utekaji
*Mikataba ya miradi ihakikiwe na wasomi nguli, tena ifanywe kwa wazi.(Television ya taifa Ina weza broadcast hili).
*Kuweka Sheria ya kuwajibisha wabunge wasio tekeleza majukumu, Kama kuwa ondoa bungeni na kulipa fidia waki sababisha hasara.

*Elimu yetu iangaliwe na kuboreshwa, maana hii Ina fanya kazi Kama tuko bado kwenye Ukoloni.

* Tra ichunguzwe na kuwekwa sawa, mbona tuta kuwa sawa tu.
Huwa nawaza kuwa hayo yote yanawezekana kama tungewapata kina Traore wetu.
 
Huwa nawaza kuwa hayo yote yanawezekana kama tungewapata kina Traore wetu.
Kina traore wapo na tupo wengi, ila hujui yupi na yupi maana waweza ona una pambania maslahi ya taifa kumbe ni interest ya kiongozi fulani.

Leo hii nawaza mtu Kama shivji tunge mtumia Kama taifa, lazima tunge faidika nae.
 
Hakuna wa kumfunga paka kengele! Sasa ni mwendo wa kuchukua ardhi na kuwapa wawekezaji, huku wazawa wakilipwa fidia kwenye ardhi ya mababu zao na kuhamishiwa maeneo yasiyo na rutuba. Kwa mwendo huu, ipo siku Watanzania watapanga kwenye ardhi yao wenyewe kwa sababu ardhi yote imepewa wawekezaji.

Umuhimu wa kurudisha Tanganyika unaonekana wazi sasa, maana hali hii haileti picha nzuri. Bandari zinazorasimishwa zipo Tanganyika, si Zanzibar. Ardhi inayorasimishwa ni ya Tanganyika, si ya Zanzibar. Wananchi wanaoondolewa kwenye maeneo yenye rutuba na ardhi yao kugawanywa kwa wawekezaji ni wa Tanganyika, si wa Zanzibar.

Je, hili ni sawa? Kwa nini hata marais waliopita, kama Jakaya Kikwete, hawakurasimisha mali za Zanzibar kwa mtindo huu?
We unaota? Amka usije ukajikojolea
 
Back
Top Bottom