toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,626
Kipindi kile watu humu walikua wakisema kwamba ipo siku ukweli utajulikana
Haya maneno yalitamkwa wakati uonevu na dhulma zilipozidi na manyanyaso yalizidi monoparty ilikua inahodhi kila kitu wengine wakaonekana takataka,wasiofaa, na wapingaji lakini mungu fundi
Mimi nilikua napuuza tu kauli zenu nikaona haiwezekani
Leo hii ukweli wote umeanza kujianika
Kuna msemo unasema kwamba dhulma haidumu ama kweli
Mimi ni miongoni mwa watu waliojikatia tamaa kipindi kile kutokana na hali ilivyokua
Mazingira ya harakati yalikua magumu wale wagumu waliokomaa walilainishwa kwa pesa kuunga mkono juhudi divide and rule ilitumika sana
Wakati mwingine mungu husaidia hata watu waoga wanaogopa kuandamana kumng'oa mtu fulani lakini mungu humng'oa huyo mtu kwa njia zake azijuazo hakika mungu atukuzwe
Kweli mambo ni wazi sasa kweli hii ni awamu ya 6
Nawatakia mwanzo mpya kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Haya maneno yalitamkwa wakati uonevu na dhulma zilipozidi na manyanyaso yalizidi monoparty ilikua inahodhi kila kitu wengine wakaonekana takataka,wasiofaa, na wapingaji lakini mungu fundi
Mimi nilikua napuuza tu kauli zenu nikaona haiwezekani
Leo hii ukweli wote umeanza kujianika
Kuna msemo unasema kwamba dhulma haidumu ama kweli
Mimi ni miongoni mwa watu waliojikatia tamaa kipindi kile kutokana na hali ilivyokua
Mazingira ya harakati yalikua magumu wale wagumu waliokomaa walilainishwa kwa pesa kuunga mkono juhudi divide and rule ilitumika sana
Wakati mwingine mungu husaidia hata watu waoga wanaogopa kuandamana kumng'oa mtu fulani lakini mungu humng'oa huyo mtu kwa njia zake azijuazo hakika mungu atukuzwe
Kweli mambo ni wazi sasa kweli hii ni awamu ya 6
Nawatakia mwanzo mpya kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania.