pangalashaba
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 1,275
- 1,509
Atakumbukwa kwa mengi sana;
1. Kuminya demokrasia na kuzuia mikutano ya vyama pinzani.
2. Kufukuza watumishi wa umma wenye vyeti huku akimuacha Bashite anapeta.
3. Kudororesha uchumi wa nchi.
4. Watu kauwawa/kupotea na wengine kupigwa risasi hovyo hovyo.
5. Bomoa bomoa ya nyumba za wanyonge ilhali wengine wakiachwa kwa sababu walimpigia kura.
6. Kushindwa kuongeza mishahara na kupandisha madaraja watumishi wa umma kwa muda usiojulikana.
7. Ya Angela Kairuki, Ummy Mwalimu, Mnyarwanda na mdogo wake first lady.
8. Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.
9. Hotuba zilizojaa chuki, visasi, mikwara na ubabe wa kizamani.
10. Elimu ya PhD isiyoeleweka wala kutambulika.
11. Na mengine mengi ya ajabu ajabu.
1. Kuminya demokrasia na kuzuia mikutano ya vyama pinzani.
2. Kufukuza watumishi wa umma wenye vyeti huku akimuacha Bashite anapeta.
3. Kudororesha uchumi wa nchi.
4. Watu kauwawa/kupotea na wengine kupigwa risasi hovyo hovyo.
5. Bomoa bomoa ya nyumba za wanyonge ilhali wengine wakiachwa kwa sababu walimpigia kura.
6. Kushindwa kuongeza mishahara na kupandisha madaraja watumishi wa umma kwa muda usiojulikana.
7. Ya Angela Kairuki, Ummy Mwalimu, Mnyarwanda na mdogo wake first lady.
8. Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.
9. Hotuba zilizojaa chuki, visasi, mikwara na ubabe wa kizamani.
10. Elimu ya PhD isiyoeleweka wala kutambulika.
11. Na mengine mengi ya ajabu ajabu.