Ipo siku Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa Tanzania, ni suala la muda tu

Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu ausi mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani? Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Labda raisi wa mashoga lakini sio tz hii.
 
Juzi nilimsikiliza kupitia space ya Maria Sarungi nikakiri kimoyo moyo Tundu Lissu ni kichwa.
Anajua kujieleza, kupanga hoja, kutoa ufafanuzi kwa mifano halisi mpaka huchoki kumsikiliza. He is next level.
Ukishaona mtu moja yeye pekee ndiye anaamini ndiyo mwenye kauli ya mwisho kwa kila kitu na mwenye vipaji vyote tayari ujue hiyo ego yake ni hatari kwa ustawi wa jamii, nachelea kusema huyu mwenzetu ndivyo alivyo...Ni mzuri kwenye kutia pressure na siyo leasership...Bahati mbaya sana anaowategemea wana akili za kutumia watu kama yeye kufikia malengo yao lakini kamwe hawawezi kumwacha akashika rungu...Ni akili yangu tu ndogo inaniambia hata sasa ameshagundua yeye binafsi ametumiwa na hayo matumaini yanapotea kila iitwapo leo kwake ....Asipokuwa makini kete inaweza kugeuka akageuzwa mhalifu na hao hao anaowatumainia...Ushirika wa wachawi/waovu haudumu!
 
Licha ya akili alizonazo, but he also has spiritual power within !!
 
Kazi ya kuondoa CCM ni lazimai ianzie kwenye katiba, na ndiyo maana ukiwatajia neno katiba ni sawa na kumminya mtu sehemu sizo.
 
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu ausi mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani? Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM

Hana sifa. Acha utoto.
 
Yuko vizuri, angalau cdm wana mtu ambaye namwona hata akishika urais hainishtui.
Ila nahofia huyu jamaa atakuwa hana fair kwenye utawala wake. Namsikiliza anavyowakosoa wenzie mitandaoni bila hata kuwavumilia.

Ajue kuwa maisha haya ni fair play.
Ameanza Mungu kuwa fair,, binadamu hatuna budi kutambua kwanini Mungu yupo fair.
Sheria sawa lakini kuwa fair ni kwasababu hizi sheria wamezitunga binadamu ambao pia wana mapungufu yao.

Watu walio vizuri Ni wengi sana kuliko huyu kilaza. Hana break. Hana busara. Atakuwa Rais wa Nini.
 
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu ausi mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani? Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Umeandika kama vile Lissu ni immortal. Yaani wewe ndiyo hujui hiyo miaka mingi ijayo kama utakuwa mzima au la ila kwa Lissu yeye ni lazima atakuwa mzima na lazima atakuja kuwa Rais!!!!!!!! Mawazo ya kushangaza sana. Wewe na Salary Slip mna mahaba na Lissu kiasi cha kututia mashaka, hasa kwetu sisi wanaume rijali. Unasema anatumikia kafiri apate mradi wake. Unajua aina ya ukafiri anaoutumikia na kitu wanachomfanya kila siku katika kupata huo mradi wake?. Kwa sisi wanaume wa kweli tunamuonea huruma sana Lissu kwa anayofanyiwa na mabeberu. Usiombe uvae viatu vyake. Moto wake anaujua yeye.
 
Jimbo aliloliongoza tundu lisu miaka 10 hajaliletea maendeleo yeyote hakuna hata maji je nchi anaweza kuileteaje maendeleo?
Wewe bure kabisa hujui hata majukumu ya mbunge na majukumu ya mkurugenzi ni nini.
Nani aliye kudanganya kazi ya mbunge ni kuleta maendeleo jimboni kwake?
 
Hangaya ni mbovu lakini ni mara elfu mia ikulu ibaki tupu kuliko lisu kuongoza taifa letu.
😂
😂 😂 😂 😂 , khaa, kwamba ni kweli nanii ni wa hovyo ila nanii ni wa hovyo zaidi.
 
Absolutely, Yes, because WHAT GOES AROUND, COMES AROUND...

Huyu jamaa [Tundu Lissu] ni muumini wa UTAWALA WA SHERIA na UHURU WA WATU kuendesha maisha yao kwa mujibu wa sheria. Ni njia ndefu na ya hatari anapitia kulifikia kusudi la kuletwa duniani. LAZIMA AWE KIONGOZI WA NCHI HII WHETHER WANATAKA ama HAWATAKI....

Historia yake ya uongozi na kupambania haki iko very clear...

Mfano, katika kipindi chake cha miaka 10 ya ubunge wake, ktk jimbo la Singida Mashariki alileta mwamko na mabadiliko sana ktk masuala ya kisheria na haki za watu kiasi ambacho ukifika kule, hata sasa, hata mtoto wa darasa la NNE kule Singida Mashariki huwezi kumwambia kitu kwenye masuala ya haki zake..

Nadhani kila mtu anapenda potential na talent ya mtu huyu ktk masuala ya sheria, siasa, uchumi, diplomasia na uongozi kwa ujumla kuleta mabadiliko ktk nchi hii yote....

Alihujumiwa sana na serikali ya CCM kwa kuhakikisha jimbo lake halipati fedha za miradi ya maendeleo ya kijamii ili tu wananchi wamuone kama kiongozi asiye na manufaa kwao...

Walifanya hivyo awamu ya kwanza 2005 - 2010, haikusaidia kwani wananchi walimchagua tena kwa awamu nyingine ya 2010 - 2015 na kurudia tena awamu ya tatu 2015 - 2020...

CCM wakaona huyu mtu hawezi kutoka kwa mbinu zozote kupitia sanduku la kura. Wakaamua kumaliza mambo kwa njia ya BUNDUKI na RISASI. Nayo ilishindwa kwa kiwango cha kutisha japo waliambulia kumtia ulemavu...

Nakubaliana na wewe mleta mada kuwa, WHAT GOES AROUND COMES AROUND. Tundu Lissu atakuwa kiongozi mkubwa sana nchi...!!
 
Back
Top Bottom