Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
Labda raisi wa mashoga lakini sio tz hii.Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT
Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia
Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu
Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?
Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee
Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu ausi mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani? Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?
Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM