mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,349
Hapo hela za wahisani kwaajili ya covid zinakua zinanunua mafuta ya viete sio maana zingine mwendazake alishakula 🤣🤣 Tanzania ngumu hiiMatumizi ya TOZO yameshaonekana, kulipa mikopo ya chanjo, uhamasishaji chanjo, usambazaji chanjo, uanzishwaji wa vituo vya chanjo, kulipia matangazo ya chanjo, kulipa watumishi wa chanjo, chanjo , chanjo .........x1000