ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,074
- 42,852
Tunaishi kwa nguvu za Mungu hapa duniani. Nchi kubwa zina nguvu kubwa za kivita.
Ugunduzi wa kila siku wa silaha mpya, mvutano wa kisiasa wa hizi nchi kubwa mwisho wake ni nini? Mbona kama hali inatisha?
Nahisi kuna siku kunakuja vita ya tatu ya dunia. Mabomu ya atomiki nyie mnayaonaje?
Ugunduzi wa kila siku wa silaha mpya, mvutano wa kisiasa wa hizi nchi kubwa mwisho wake ni nini? Mbona kama hali inatisha?
Nahisi kuna siku kunakuja vita ya tatu ya dunia. Mabomu ya atomiki nyie mnayaonaje?