Ipo siku, hili bus litaua watu kwa kweli!

Antony Fereji

Member
Sep 29, 2016
46
63
Habari zenu mabibi na mabwana. Natumai mu wazima wa afya.

Nimeamua kuja mbele yenu nikifofia usalama abiria wanaopanda mara nyingi hili bus linalo fahamika kwa jina la SIJALI.

Kila asubuhi naliona hili bus likiondoka kwa mwendo wa kasi bila kujali sheria za usalama barabarani, huku abiria wanao keti siti za mbele wakishangilia kwa nguvu na kumpa mizuka dereva yakuongeza kasi. Na dereva huyu anafahamika kwa jina la Mpambalyoto, huwa hasikilizi abilia wanyuma wanao lalamika kuwa dereva ana unja sheria.

Nilipojaribu kumsogelea askari wa usalama barabarani nakumuuliza kulikoni, mbona huyu dereva anavunja sheria? Akijibu hata yeye hafahamu ni kwanini, kwani dereva Mpambalyoto amekuwa ni mwalimu wa madereva kuwafundisha wenzake wazingatie sheria za usalama barabarani, lakini alipopewa hilo bus tu, amekuwa wa kwanza kuzivunja.

Ukitazama kwa nje, hilo bus ni kuu kuu hivi, matairi yake yanavipara lakini bwana Mpambalyoto analiondoa kwa kasi ya ajabu hasikii ya mtu. Lakini siku za hivi karibuni naona hata wale abiria wa mbele wameacha kumtia mizuka dereva, wanaona hali ya hatari mbele yao, akili imewajia. Abiria wa nyuma wamejawa hofu ya kukata tamaa na maisha yao.
 
Habari zenu mabibi na mabwana. Natumai mu wazima wa afya.

Nimeamua kuja mbele yenu nikifofia usalama abiria wanaopanda mara nyingi hili bus linalo fahamika kwa jina la SIJALI.

Kila asubuhi naliona hili bus likiondoka kwa mwendo wa kasi bila kujali sheria za usalama barabarani, huku abiria wanao keti siti za mbele wakishangilia kwa nguvu na kumpa mizuka dereva yakuongeza kasi. Na dereva huyu anafahamika kwa jina la Mpambalyoto, huwa hasikilizi abilia wanyuma wanao lalamika kuwa dereva ana unja sheria.

Nilipojaribu kumsogelea askari wa usalama barabarani nakumuuliza kulikoni, mbona huyu dereva anavunja sheria? Akijibu hata yeye hafahamu ni kwanini, kwani dereva Mpambalyoto amekuwa ni mwalimu wa madereva kuwafundisha wenzake wazingatie sheria za usalama barabarani, lakini alipopewa hilo bus tu, amekuwa wa kwanza kuzivunja.

Ukitazama kwa nje, hilo bus ni kuu kuu hivi, matairi yake yanavipara lakini bwana Mpambalyoto analiondoa kwa kasi ya ajabu hasikii ya mtu. Lakini siku za hivi karibuni naona hata wale abiria wa mbele wameacha kumtia mizuka dereva, wanaona hali ya hatari mbele yao, akili imewajia. Abiria wa nyuma wamejawa hofu ya kukata tamaa na maisha yao.
Kwa sasa ndani ya basi kuna harufu ya kitu kama kinaungua.
 
Habari zenu mabibi na mabwana. Natumai mu wazima wa afya.

Nimeamua kuja mbele yenu nikifofia usalama abiria wanaopanda mara nyingi hili bus linalo fahamika kwa jina la SIJALI.

Kila asubuhi naliona hili bus likiondoka kwa mwendo wa kasi bila kujali sheria za usalama barabarani, huku abiria wanao keti siti za mbele wakishangilia kwa nguvu na kumpa mizuka dereva yakuongeza kasi. Na dereva huyu anafahamika kwa jina la Mpambalyoto, huwa hasikilizi abilia wanyuma wanao lalamika kuwa dereva ana unja sheria.

Nilipojaribu kumsogelea askari wa usalama barabarani nakumuuliza kulikoni, mbona huyu dereva anavunja sheria? Akijibu hata yeye hafahamu ni kwanini, kwani dereva Mpambalyoto amekuwa ni mwalimu wa madereva kuwafundisha wenzake wazingatie sheria za usalama barabarani, lakini alipopewa hilo bus tu, amekuwa wa kwanza kuzivunja.

Ukitazama kwa nje, hilo bus ni kuu kuu hivi, matairi yake yanavipara lakini bwana Mpambalyoto analiondoa kwa kasi ya ajabu hasikii ya mtu. Lakini siku za hivi karibuni naona hata wale abiria wa mbele wameacha kumtia mizuka dereva, wanaona hali ya hatari mbele yao, akili imewajia. Abiria wa nyuma wamejawa hofu ya kukata tamaa na maisha yao.
Kama mtu kaota ndoto tu katiwa ndani, sasa na wewe na hii hadithi yako unafikiri unaweza pona? by the way hadithi nzuri sana
 
Dereva asiyeona Mabonde,Zebra, Wala traffic lights barabarani, yeye ni Ku overtake tu ........

"Kuna haja ya kumfanyia uhakiki Dereva Wa basi amegushi leseni ya kuwa dereva yeye ni Utingo"
 
Umenikumbusha the beautiful ones are not yet born. Basi lilikuwa engine ya kila crime na offence
 
Mpambalyoto ni mjuaji sana na anapenda sifa, anasema ukiangalia vizuri gari lake utaona limekaa vizuri barabarani kuliko mabasi mengine
 
Habari zenu mabibi na mabwana. Natumai mu wazima wa afya.

Nimeamua kuja mbele yenu nikifofia usalama abiria wanaopanda mara nyingi hili bus linalo fahamika kwa jina la SIJALI.

Kila asubuhi naliona hili bus likiondoka kwa mwendo wa kasi bila kujali sheria za usalama barabarani, huku abiria wanao keti siti za mbele wakishangilia kwa nguvu na kumpa mizuka dereva yakuongeza kasi. Na dereva huyu anafahamika kwa jina la Mpambalyoto, huwa hasikilizi abilia wanyuma wanao lalamika kuwa dereva ana unja sheria.

Nilipojaribu kumsogelea askari wa usalama barabarani nakumuuliza kulikoni, mbona huyu dereva anavunja sheria? Akijibu hata yeye hafahamu ni kwanini, kwani dereva Mpambalyoto amekuwa ni mwalimu wa madereva kuwafundisha wenzake wazingatie sheria za usalama barabarani, lakini alipopewa hilo bus tu, amekuwa wa kwanza kuzivunja.

Ukitazama kwa nje, hilo bus ni kuu kuu hivi, matairi yake yanavipara lakini bwana Mpambalyoto analiondoa kwa kasi ya ajabu hasikii ya mtu. Lakini siku za hivi karibuni naona hata wale abiria wa mbele wameacha kumtia mizuka dereva, wanaona hali ya hatari mbele yao, akili imewajia. Abiria wa nyuma wamejawa hofu ya kukata tamaa na maisha yao.
Sio kwa fumbo hiliii
 
Amenichekesha mdau nzalendo eti kwa ndani inasikika harufu ya kitu kama kinaungua. Hii INA maana anaendesha gari ilhali haina Maji au oil? So injini itanock muda wowote.
Ila hili basi linafanya safari zake kutoka wapi kwenda wapi?
Nisije nikawa nimecomment kwenye thread yenye element za kichochozi ila kwani Nina mwiko huo.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom