Ipo siku DSTV inaweza kushindwa kupata haki za EPL?

rusesa

JF-Expert Member
Jun 1, 2013
538
233
Huyu mkoloni mweusi DSTV ipo siku anaweza kushindwa kupata hakimiliki za kurusha michuano ya Epl katika nchi zilizo chini ya jangwa la sahara? maana tumechoka na hivi vifurushi vya bei mbayaaaa huku wengi tukiwa makapuku tu.

Je king'amzi gani kinaweza kuchuana na dstv katika kupata haki za kurusha matangazo ya Epl?

Tumechoka bana na Dstv!
 
Unaota wapewe azam au startimes lakini hiyo ni sawa na kusema uwanyang'anye NASA mamlaka ya kutalii anga ili wapewa Tz.
Lakini mbona huko kwingine kuna ligi za Ujerumani, Ufaransa, Italia, Ubeligiji ambazo hata katika Euro walau zinavuka robo fainali huku ukiendelea kung'ang'ania ligi ya nchi ambayo haifiki hata raundi ya pili!?
 
Unaota wapewe azam au startimes lakini hiyo ni sawa na kusema uwanyang'anye NASA mamlaka ya kutalii anga ili wapewa Tz.
Lakini mbona huko kwingine kuna ligi za Ujerumani, Ufaransa, Italia, Ubeligiji ambazo hata katika Euro walau zinavuka robo fainali huku ukiendelea kung'ang'ania ligi ya nchi ambayo haifiki hata raundi ya pili!?
Ligi ya uingereza ni very popular sanaa. pia michuano hii mitam mnooo. wapewe hata azam au startimes aise, dstv masikin hatuiwezi
 
Kadri technology inavyozidi kukuuwa Ndio itakuwa mpinzani wa dstv sio media nyingine,
Kwa sababu mimi nina miaka sijakaa kutazama hiyo DSTV na nipo hapahapa kwa nyerere na mechi za EPL karibia 80% nazitazama Kila mwaka, natumia livestream tu
 
Mwaka 2007 GTV iliibuka na kuinyanganya tonge DSTV. Nadhani walibaki na % ndogo. . Mwaka 2008 GTV. wakafilisika ndo DSTV wakaibuka kwa nguvu mpya. So DSTV inawezekana kunyimwa rights. Hata Western Africa hawana hiyo monoply. Nadhani huku kwetu wanatembeza mkwanja waendelee kumonopolize rights. I stand to be corrected.
 
Kadri technology inavyozidi kukuuwa Ndio itakuwa mpinzani wa dstv sio media nyingine,
Kwa sababu mimi nina miaka sijakaa kutazama hiyo DSTV na nipo hapahapa kwa nyerere na mechi za EPL karibia 80% nazitazama Kila mwaka, natumia livestream tu
gharama yake sh. ngapi kwa mwezi?
 
Mwaka 2007 GTV iliibuka na kuinyanganya tonge DSTV. Nadhani walibaki na % ndogo. . Mwaka 2008 GTV. wakafilisika ndo DSTV wakaibuka kwa nguvu mpya. So DSTV inawezekana kunyimwa rights. Hata Western Africa hawana hiyo monoply. Nadhani huku kwetu wanatembeza mkwanja waendelee kumonopolize rights. I stand to be corrected.
kama west africa waliweza sisi tuliochini ya jangwa la sahara hatujitambui? au? kwann tusitumie njia walizotumia wenzetu wa west africa kulipokonya hili jambazi dstv??
 
Kadri technology inavyozidi kukuuwa Ndio itakuwa mpinzani wa dstv sio media nyingine,
Kwa sababu mimi nina miaka sijakaa kutazama hiyo DSTV na nipo hapahapa kwa nyerere na mechi za EPL karibia 80% nazitazama Kila mwaka, natumia livestream tu
dola ikipanda na vifurushi vyao vinapanda pia daaaa
 
Kadri technology inavyozidi kukuuwa Ndio itakuwa mpinzani wa dstv sio media nyingine,
Kwa sababu mimi nina miaka sijakaa kutazama hiyo DSTV na nipo hapahapa kwa nyerere na mechi za EPL karibia 80% nazitazama Kila mwaka, natumia livestream tu
dola ikipanda na vifurushi vyao vinapanda pia daaaa
 
Kwani lazima utumie DSTV kwa ajili ya EPL?kuna njia nyingi tu unaweza kuona EPL bila hata kulipia,kikubwa unatakiwa uwe na smart TV tu basi na internet ya kueleweka.
 
Mtoa post usikonde, habari njema ni kuwa KWESE sports inakuja kuchuana na DSTV. Soma zaidi hapa
hii ni habar njema sanaaaaaa asante mkuu. hapo kidogo heshima itarudi. MAANA DORA IKIPANDA NA VIFURUSHI VYA DSTV VINAPANDA KHAAAA
 
Back
Top Bottom