900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 5,406
- 5,652
kipara leo uko vizuri big up,huyu mzee dikiteta hana adabu tutamkomesha akisimama tena kuomba kura 2020Nyinyi pateni tabu amepona lakini hataki kurudi anawadhililisha huko aliko,hawajali tena aliwaahidi maendeleo lakini amesahau tangu aingie ulaya hataki kurudi tena kazi ni kuzurura na kuongea sana.
Ni lini atakuja kuwaomba msamaha kwa kuwatelekeza,
Kuna taarifa za chini chini amepanga kuja miezi mitatu kabla uchaguzi dawa yake ni kumyoosha kwa kumkataa hadharani, kama alivyowakataa nyinyi .
Alisimama jukwaani na kuwahidi kuwa atakuwa nanyi bega kwa bega kuwaletea maendeleo!