The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Hii post mpelekee bichwa akajifariji.Nyinyi pateni tabu amepona lakini hataki kurudi anawadhililisha huko aliko,hawajali tena aliwaahidi maendeleo lakini amesahau tangu aingie ulaya hataki kurudi tena kazi ni kuzurura na kuongea sana.
Ni lini atakuja kuwaomba msamaha kwa kuwatelekeza,
Kuna taarifa za chini chini amepanga kuja miezi mitatu kabla uchaguzi dawa yake ni kumyoosha kwa kumkataa hadharani, kama alivyowakataa nyinyi .
Alisimama jukwaani na kuwahidi kuwa atakuwa nanyi bega kwa bega kuwaletea maendeleo!