kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,105
- 15,965
- Thread starter
- #21
Pole kwa kuuguza!Mgonjwa usiyejijua pole
Pole kwa kuuguza!Mgonjwa usiyejijua pole
Ndugu mwana chama kutokana na taratibu za office Leo hautaweza kupata muamala wowote kwani Leo sio siku ya kazi!Nyinyi pateni tabu amepona lakini hataki kurudi anawadhililisha huko aliko,hawajali tena aliwaahidi maendeleo lakini amesahau tangu aingie ulaya hataki kurudi tena kazi ni kuzurura na kuongea sana.
Ni lini atakuja kuwaomba msamaha kwa kuwatelekeza,
Kuna taarifa za chini chini amepanga kuja miezi mitatu kabla uchaguzi dawa yake ni kumyoosha kwa kumkataa hadharani, kama alivyowakataa nyinyi .Alisimama jukwaani na kuwahidi kuwa atakuwa nanyi bega kwa bega kuwaletea maendeleo!
I hope unapewa kiasi kizuri maana hukosi kupost uzi kuhusu Lissu na Chadema. Kama hulipwi nahisi una mihemko au upumbavu fulani.Mtanyoosha maelezo tu!
I hope unapewa kiasi kizuri maana hukosi kupost uzi kuhusu Lissu na Chadema. Kama hulipwi nahisi una mihemko au upumbavu fulani.
Unaweza ukakuta ndo wahusika wenyewe wameamua kuja kumaliza hasira zao hapa!Watu wote wanaoiunga mkono serikali dhidi ya kitendo ilichomfanyia Lisu, ni wapumbavu!!! Tena majuha yasiyojielewa.
Usichelewe.Maoni yako yamepokelewa yanapelekwa sehemu husika!
Kumjulia hari ndio kiswahili gani na weweUmejuaje kama amepona? Je? nilini ulimjulia hari hata kwa SMS tu ili utuambie kuwa amepona? Akili zako zinawakilisha akili za Lumumba wote. Kama kumchangia tu ulishindwa iweje ulalamike kuwa anazurura marekani? Lumumba hovyoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga, wananchi wa jimboni kwake wanafahamu kwamba mlitaka kuwaulia mbunge wao msijipendekeze...wanajua pia kwamba bado anaendelea na matibabu! Halafu ulivyo mjinga unafikiri Lissu akikosa ubunge atapata shida kama zako jinga kabisaNyinyi pateni tabu amepona lakini hataki kurudi anawadhililisha huko aliko,hawajali tena aliwaahidi maendeleo lakini amesahau tangu aingie ulaya hataki kurudi tena kazi ni kuzurura na kuongea sana.
Ni lini atakuja kuwaomba msamaha kwa kuwatelekeza,
Kuna taarifa za chini chini amepanga kuja miezi mitatu kabla uchaguzi dawa yake ni kumyoosha kwa kumkataa hadharani, kama alivyowakataa nyinyi .Alisimama jukwaani na kuwahidi kuwa atakuwa nanyi bega kwa bega kuwaletea maendeleo!
Acha ujinga, wananchi wa jimboni kwake wanafahamu kwamba mlitaka kuwaulia mbunge wao msijipendekeze...wanajua pia kwamba bado anaendelea na matibabu! Halafu ulivyo mjinga unafikiri Lissu akikosa ubunge atapata shida kama zako jinga kabisa
Sahau hiyo habari. Wewe ndiye muda si mrefu hata Lumumba hawatakupa tena hizo buku tatu tatu...mwenzio ana uwezo wa kufanya kazi popote akaishi. Wewe ukifukuzwa Lumumba idara ya buku tatu tatu utaenda wapi? Na mbaya zaidi wewe hata ukiomba huwezi kupewa, na TL hata akiomba akiwa amelala Kariakoo atapewa..Muda si mrefu utamuona kariakoo katandika bendera na bakuli kama timu za maskani!
Na nyie mnaojifanya kukosoa lugha za wenzenu mnatuchosha.
Pamoja mkuuOnly if ungekuwa mwananchi wa jimboni kwake. Nimetoka nae kijij kimoja na ni semebado ana support kubwa.
Plus unavyoandika huku jf wengi hawaupati huu ujumbe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi pateni tabu amepona lakini hataki kurudi anawadhililisha huko aliko,hawajali tena aliwaahidi maendeleo lakini amesahau tangu aingie ulaya hataki kurudi tena kazi ni kuzurura na kuongea sana.
Ni lini atakuja kuwaomba msamaha kwa kuwatelekeza,
Kuna taarifa za chini chini amepanga kuja miezi mitatu kabla uchaguzi dawa yake ni kumyoosha kwa kumkataa hadharani, kama alivyowakataa nyinyi .Alisimama jukwaani na kuwahidi kuwa atakuwa nanyi bega kwa bega kuwaletea maendeleo!
Nenda mkamalizieNyinyi pateni tabu amepona lakini hataki kurudi anawadhililisha huko aliko,hawajali tena aliwaahidi maendeleo lakini amesahau tangu aingie ulaya hataki kurudi tena kazi ni kuzurura na kuongea sana.
Ni lini atakuja kuwaomba msamaha kwa kuwatelekeza,
Kuna taarifa za chini chini amepanga kuja miezi mitatu kabla uchaguzi dawa yake ni kumyoosha kwa kumkataa hadharani, kama alivyowakataa nyinyi .Alisimama jukwaani na kuwahidi kuwa atakuwa nanyi bega kwa bega kuwaletea maendeleo!
Na mtakufa Kwa Roho Mbaya mnahanangaika sana na LissuNyinyi pateni tabu amepona lakini hataki kurudi anawadhililisha huko aliko,hawajali tena aliwaahidi maendeleo lakini amesahau tangu aingie ulaya hataki kurudi tena kazi ni kuzurura na kuongea sana.
Ni lini atakuja kuwaomba msamaha kwa kuwatelekeza,
Kuna taarifa za chini chini amepanga kuja miezi mitatu kabla uchaguzi dawa yake ni kumyoosha kwa kumkataa hadharani, kama alivyowakataa nyinyi .Alisimama jukwaani na kuwahidi kuwa atakuwa nanyi bega kwa bega kuwaletea maendeleo!
Umekwishamchangaia hela ya ada ya watoto?Endelea kuunga mkono juhudi ya Lissu tuachie sisi.