Wamatopeni ni simba au yanga?Hivi kipindi simba ikiwa inaitwa ya Matopeni mlikuwa wapi kuandika haya?
Simba ndo ipo kwenye hatua flani ya mafanikio ndo mnaleta threads hapa,
Hapana na familia yake pia inanufaika.Je ni kweli kupitia Simba mnufaika pekee ni MO?
Club ya simba hainufaiki na chochote? Hebu mtupe inputs na outputs za mapato ya Simba na matumizi yake ndo tuje tujadili,
Tupe hayo mambo ya ndani basi mkuumnataka hadi mambo ya ndani ya Simba yaletwe kwa wanaumma?
Hebu acheni majungu basi leteni facts za kutosha kwa sisi washabiki tuwaelewe.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile ap
Wewe mleta uzi inaonekana unajua sana yanayojiri pale msimbazi,na ndo maana umesema mashabiki wa simba wanahitaji elimu,hebu tufunde Mkuu nasi tujue!Wamatopeni ni simba au yanga?
Hapana na familia yake pia inanufaika.
Tupe hayo mambo ya ndani basi mkuu
Sio viziru mkuu kumuita mwenzio ZERUZERU kumbuka hujafa hujaumbika hata yeye hakupenda azaliwe vile, note that UNAWEZA UKAMZAA NA WEWE UYO ZERUZERU, sijui utajikiaje?Kwahiyo mnakubali ushindi ni jitihada binafsi za Mo pamoja na uongozi mkuu na sio kelele za Zeruzeru..
Zeruzeru kaondoka ngoja tuone kama mashabiki hawataingia uwanjani au Simba itakosa vikombe..
Aitweje Sasa?Albino au mlemavu wa Ngozi?Sio viziru mkuu kumuita mwenzio ZERUZERU kumbuka hujafa hujaumbika hata yeye hakupenda azaliwe vile, note that UNAWEZA UKAMZAA NA WEWE UYO ZERUZERU, sijui utajikiaje?
Kwahiyo nimwitaje?? Kwani Haji sio zeruzeru? Kama sio mwambie akakae juani saa 7 kamili mchana mpaka saa 8 kama atawezaSio viziru mkuu kumuita mwenzio ZERUZERU kumbuka hujafa hujaumbika hata yeye hakupenda azaliwe vile, note that UNAWEZA UKAMZAA NA WEWE UYO ZERUZERU, sijui utajikiaje?
Kaanzishe club yako ndio umpe kama zawadi. Kwa sisi watanzania wapenda haki, tunamtaka atoe zile bil 20 na afuate utaratibu wa wanahisa wengine kuhusu kuongoza club, siyo anajikalia chini anateua watu hovyo hovyo tu, mara Babra, mara dada yake.Nasisitiza tena,mashabiki wa Simba tumeridhia na tunataka Kanji Bhai aichukue Simba ili Utopolo mzidi kupata shida na mateso bila chuki.
Atazimiliki vipi wakati sheria ina mtaka awe na 49% tuMo atamilikizi zaidi ya 51 siku zikianza uzwa