afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
mm mzee sipigi chabo nasoma naelewa afu natupia mapoint na mapumba (pumba neno hatari sana ukikosea tu kushney!)
hahahahah lol
safi sana raha jipe mwenyewe..:redface:
mm mzee sipigi chabo nasoma naelewa afu natupia mapoint na mapumba (pumba neno hatari sana ukikosea tu kushney!)
Najiskia kutuma salam..
My wyf..unanipa raha sana!Mwambie nashukuru sn,ilikua turudi mwisho wa mwezi lkn kaka yako kaongeza miezi 2 so tunatarajia mwezi wa sita ndio hane mun itaisha!na ce twawamis sn jaman!vp huko mnatunyima nn wifi!
Nishaamka....subiri hadi aamke.
Najiskia kutuma salam..
Ericky,
Amyner situmekuachia,tumebagi party time tu...sasa na huyu tena unamtaka??
sipati picha na ile pua...sa ingine inamsaidia eeh?
Salam zimefika,nilipofika sisikii wala sion lol!mmmh kweli mama umekufa umeoza!...mpe hi kakangu ase!
Inaita tu haipokelewi anakua anampa eric cha asubuhi pati 2.mpigie Amy umuulize!
0707131356
Anajifanya hajui eehInamaana hujui km eric ni shem wangu,tena wa kuaminika mpaka kwa papa rejao mme wangu!ww ndio huaminiki kbs!
We tafadhali, toka lini mtoto wa form two B akaitwa mtu mzima?.. Usinzeeshe bana, am under 18 mwenzio!..hao watu wazima wenzangu...sifai kuitwa fataki mbele yao!..
Eti wanadai kwamba bila ya kuchakachua nyuzi huwa zinadoda!!...reply ya kwanza na ya pili tu,ndo inabeba maana ya post...zilizobaki salamu tupu na porojo...
oooh Ericky nakusalim Amyner
oooh Husny namtafuta husby wangu Jg...
oooh DA anamwambia SL sijui nn!
oooh Kongosho kaja na umbea huko hata haufanani na uzi...
oooh Mtei One naye anatongoza mke wa mtu (Myner)
...watu wanachekaa weeee kwenye nyuzi za watu...
je ipo haja kuwa na jukwaa maalumu la SALAMU tuuu msalimiane hadi na kupeana umbea wenu wote!..?na hao niliotaja hapo juu ni baadhi tu ya watu maarufu wa kuchakachua nyuzi za watu!LMAOOOOOOOO!
Nasubiri uni M'PESA huo mkopo!..Ntakukoesha ila najua 10,000 ya kuanzia utakuwa nayo....
au unaweza ukam-PM invisible kwa maelezo zaidi.
Ntafurahi kama ChitChat itakuwa na Premium Members tu.....
Tutakuwa juuu sana