Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,190
- 13,734
toka jpm amekufa huyu mzee,mshana,na wengine wameambujizwa ule ujinga wa duggai.halafu yeye akapona.
Tena Member wakongwe kabisa,lakini unashangaa sasa hivi wamekuwa kama hawa Members wa siku hizi utoto mwingi kuliko kujenga hoja.Sasa hivi huoni tena ile nguvu ya hoja.