jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Watanzania wawe macho na waropokaji wote wanaongelea COVID 19 katika media mbalimbali.
Muda huu ni muhimu kuwasikiliza wataalamu wa afya Tanzania na wote waliotajwa kutoa taarifa rasmi.
Hata kama kuna muigizaji ,mwanasiasa au mtu maarufu sana anatoa maoni yake basi ni vyema kujua ana background gani ya kielimu au hata kwenye udhibiti wa magonjwa.
Mtu anaweza kuwa ni mwizi wa mitihani hapo awali au ni division sifuri au ni ngwini aliyekimbia sayansi sasa hivi ana followers wengi na yeye anajidai ni msemaji kwenye eneo la covid 19.
Waandishi mtusaidie kuiunganisha jamii na ma expart wa magonjwa ya milipuko tuacgane na vilaza.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Muda huu ni muhimu kuwasikiliza wataalamu wa afya Tanzania na wote waliotajwa kutoa taarifa rasmi.
Hata kama kuna muigizaji ,mwanasiasa au mtu maarufu sana anatoa maoni yake basi ni vyema kujua ana background gani ya kielimu au hata kwenye udhibiti wa magonjwa.
Mtu anaweza kuwa ni mwizi wa mitihani hapo awali au ni division sifuri au ni ngwini aliyekimbia sayansi sasa hivi ana followers wengi na yeye anajidai ni msemaji kwenye eneo la covid 19.
Waandishi mtusaidie kuiunganisha jamii na ma expart wa magonjwa ya milipuko tuacgane na vilaza.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA