Dawa ya kuondoa chelewa (hangover)

Dawa ni kunywa Tusker haswa za bariiiidi...Kesho yake mwepesiiiii... No Mning'inio no H/O... Ila usizidishe Tusker 10....
 
Babu fanta ya baridi ndio kiboko cha mning'inio hakuna kinachoiweza.
Nimetumia korokoro kibao lakini fanta ni kiboko, sprite au 7 up kwa mbaaaali.......
 
Yoyo na wengine,

Naona nyie wote ni wakuja tu kwenye maswala ya Pombe na athari zake. Si muache tu hiyo kazi ya watu? Kunyweni tu Bia na Kibunango walau zitawafanya muwe mnaongea Kiingereza zaidi na Kisukuma (Masanilo).

Yoyo, Warusi siku hizi wana hela bwana. Nilipata habari hivi juzijuzi maana kuna jamaa yangu Mwanza kaowa Mrusi. Akaniambia kuwa wakati sasa hivi Tanzania tunatamba kwa kuonyesha una gari gani? Warusi wanatamba kwa kuvaa shati lenye nembo inayoonyesha wewe ni Pilot na story ni kuwa ndege yako iko wapi, umesharuka masaa mangapi nk nk. Hivyo wale akina Ibrahimovic achana nao.

Dawa ya Hang-over ni rahisi sana. Ukitaka hata unaweza kufanya majaribio nyumbani. Chukua Pombe kali kama Konyagi na changanya na Acid na utaona palepale hiyo pombe imekuwa diluted na kuwa maji.
Kwa maana hiyo dawa ya Pombe yoyote ili kupunguza makali yake ni LIMAO/NDIMU. Kama huna hivyo vitu basi ni kama walivyosema wengine yaani Apple, maji baridi nk.

Dawa kali kupita zote ni kutokunywa kabisa au kunywa kwa kiasi na siyo kama Wajeruman kwenye October first ambao kabla ya kuanza kunywa hizo Jags za bia, basi wanafunga kabisa suruali chini kwenye viatu ili vitu vyao vibaki ndani ya suruali.
 
Kwa maana hiyo dawa ya Pombe yoyote ili kupunguza makali yake ni LIMAO/NDIMU.

Tupo ukurasa mmoja, ndo maana nikasema nyonya K kule kuna natural aroma na acidic in nature, wakti unampa burudani mwenzako na wewe unaondoa kimtindo hang over
 
Siku hizi kila nikipiga mtungi bia mbili au tatu, naamka na hangover kali sana,na kuacha kunywa sifikirii kwa sasa.Ipo kweli dawa yake tofauti na kuacha?
 
Siku hizi kila nikipiga mtungi bia mbili au tatu, naamka na hangover kali sana,na kuacha kunywa sifikirii kwa sasa.Ipo kweli dawa yake tofauti na kuacha?

Piga tena mbili za bariiidi asubuhi hiyohiyo! lol!
 
Omumura, inaaminika kama umepiga mtungi, kabla ya kulala, kunywa glass angalau mbili za maji ya baridi. Huwa inasaidia At least mimi huwa nafanya hivyo na asubuhi naamka fresh tu regardless nililamba ngapi jana yake...
 
Siku hizi kila nikipiga mtungi bia mbili au tatu, naamka na hangover kali sana,na kuacha kunywa sifikirii kwa sasa.Ipo kweli dawa yake tofauti na kuacha?

Ukiamka asubuhi kabla ya kupiga mswaki piga nusu lita ya maji baridi, baada ya kama nusu saa mambo yanakua poa. kuzimua haisaidii sana hiyo ni sawa na ule msemo wa kiingereza -stay drunk to prevent hangover
sasa utakuwa hivyo mpaka lini?
 
Maji kabla ya kualala ndo dawa, sio lazima yawe ya baridi. Matatizo mengi ya hangover hasa kicha kuuma yanatokana na Dehydration.
 
Maji ya baridi sana yanasaidia kunywa kabla ya kulala na kunywa pindi uamkapo hapo unaendeleza libeneke kama kawa.
 
Ndugu yangu kwanini kuendelea na mateso hayo? Omba Mungu akuondolee hamu ya kunywa hizo pombe zinazokutesa.
 
Unakunywa bia gani kiasi cha bia mbili or tatu kukupa hangover wewe? nakushauri achaa huziwezi!

Or kama unazigida kikwelikweli......asubuhi kuna kitu inaitwa SAFARI WATER...new from TBL.....itandike hiyo chupa moja au simple zaidi....ndizi mbivu moja tu ina maliza kila kitu! then twanga supu ya moto ya utumbo!
 
Unakunywa bia gani kiasi cha bia mbili or tatu kukupa hangover wewe? nakushauri achaa huziwezi!

Or kama unazigida kikwelikweli......asubuhi kuna kitu inaitwa SAFARI WATER...new from TBL.....itandike hiyo chupa moja au simple zaidi....ndizi mbivu moja tu ina maliza kila kitu! then twanga supu ya moto ya utumbo!

Shida yooooote hii ya nini kwani asipokunywa anapungukiwa na nini? Achukuwe ushauri wako uliotangulia
 
Secret to a smooth hangover – honey on toast

If you are planning to overindulge this Christmas/New Year then it would be a good idea to stock up on bread and honey as well as booze.


Scientists claim that the natural sweetener is a great way to help the body deal with the toxic effects of a hangover.


The Royal Society of Chemistry claim that the fructose in the honey – which is also found in golden syrup – is essential to help the body break down alcohol into harmless by-products.

The reason why hangovers are so painful is that alcohol is first broken down into acetaldehyde, a substance which is toxic to the body, claimed Dr John Emsley of the Royal Society.


This is then converted – using fructose – into acetic acid which is then burned during the body's normal metabolic process and broken down into carbon dioxide which is breathed out of the body.


Serving the honey on toast adds potassium and sodium to the meal which is also helps the body cope with the alcohol.


Dr Emsley said: “The happiness comes from alcohol. The hangover comes from acetaldehyde. "This is the toxic chemical into which alcohol is converted by the body and it causes a throbbing headache, nausea, and maybe even vomiting.


"The hangover disappears as the acetaldehyde is slowly converted to less toxic chemicals."
Dr Emsley, author of the Consumer’s Good Chemical Guide, said that the time was the greatest healer of a hangover but there were also ways to minimise it.


He said that drinking a glass of milk first, sticking to clear alcohols such as gin and mixing in the occasional soft drink were helpful as was sinking a pint of water before you go to bed.

He said: "The milk slows down the absorption of alcohol, which means there is less acetaldehyde for the body to deal with at any one time.


"Gin is alcohol twice purified by distillation and the botanical flavours it contains are mere traces. Avoid dark coloured drinks which contain natural chemicals that can adversely affect you.

"Alcohol increases water loss, hence the frequent trips to the loo. This dehydration makes a hangover worse, so moderate your drinking with a soft drink now and again, and drink a large glass of water before you go to sleep."


He said that the traditional "hair of the dog" only worked if you have drank so much alcohol you suffer withdrawal symptoms, which suggests you are becoming addicted



Source: The Telegraph, Friday, 24 December 2010 12:15 GMT
 
Home Remedies for Hangover
  • The best remedy to cure hangover at home would be to increase the intake of vitamin C in the body. Consume fresh citrus fruit juice in large amounts in the morning to cure hangover.
  • Another simple remedy which is effective would be to increase in the intake of water. Higher levels of water counter effects the alcohol levels in the body thus curing hangover.
  • Lime juice is also beneficial in treating hangover. Take a glass of water and add lime to it. Drink this solution.
  • Have several cups of strong coffee. This would reduce or lessen the effect. Tomato juice, peppermint tea or ginger tea also proves worthwhile in treating hangover.
  • Consuming a tablespoon of honey would also be beneficial in treating a person who's on a high with alcohol. Since honey has higher levels of fructose, it would act favorably.
  • Take a bowl of cold/ chilled water. Dip a handkerchief and apply it on the forehead. This would provide instant relief from the headache caused and also lessen the hangover.
  • In 8 ounces of water, add 2 tsp of fresh lime juice and a tsp of sugar. Drink this mixture slowly sip by sip. It would relieve a aperson from the hangover.
  • Taking hot water bath the next morning will also be helpful in treating a person who has had alcohol the previous night. It would drain away all the toxins.
  • Peel the banana and immerse the peels in a cup of water. Cool this water and drink it. This would helpful in treating in hangover.
  • A good cure to relieve a person from hangover would be to make him/her drink chocolate milk before going to bed.
  • Make a cup of black coffee without sugar. Add a few drops of lemon juice to it. Drink this concoction. This is an effective remedy to treat hangovers.
  • Take a cup of hot water and immerse 5 to 6 crushed thyme leaves in it. Simmer it for about 5 minutes and then strain the tea. When warm, drink this tea. It would provide relief from hangover.
  • Having food during and after drinking would help in reducing the effect of hangover
 
Siku zote nimekua nikisumbuliwa na mning'inio siku ya 2 baada ya kutumia kilevi tafadhali anayejua tiba(sio kuacha utumiaji)anijuze..
 
Back
Top Bottom