Ipi top 5 yako ya vyuo vikuu bora unavyovikubali Tanzania?

1.Elimu mtaani(EM)
2.Kusoma sana unapishana na hela(KSUH).
3.Vyeti vyako kafungie maandazi lete hela na fikra taslimu tutatue matatizo(VVKMLHFTTM)
4.Usijivunie unasoma wapi jivunie unamiliki mali gani(UUWJUMG)
5.Usiishi kwa historia ya chuo wakat wewe uwezo wako hadi ukeshe(UHCWWUWHU).
 
piga kelele zote watakaofaulu vizuri LAZIMA WANAWEZA ANZA NA HIVI 1.UDSM.AU 2.MZUMBE AU3.SUA..MUHAS.. ARDHI..DIT... SITAKUBALIANA NA MTU ETI MTU ANA DIV 1 ALAFU ACHAGUE CHUO NJE YA HIVYO.

Unajisumbua tu, hao tcu hawana cha div 1
 
Back
Top Bottom