ukiokoka sio kwamba hautakuwa na dhambi, maana yake umeingia mkataba na Mungu wa kumfuata kwa njia ya Yesu Kristo, ili nguvu za Mungu zikusaidie kushida dhambi na ukitenda dhambi bado unakuwa na mwombezi kwa Baba Yesu Kristo anayesimama kama wakili wetu. tunampokea wakili/advocate wetu kutuombea kwa Baba ambaye bila huyo hautamwona Mungu. wasiookoka hawana advocate hivyo wapo chini ya laaana na mauti kwasababu hawajampokea mkombozi wa maisha yao katika mioyo yao. hio ndio maana ya kuokoka. tunaposema muiokoke ni kwamba mumkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi, na muamini mioyoni mwenu kwamba Mungu alimfufua katika wafu na kwamba yeye pekee ndiye njia kweli na uzima wa milele. baada ya hapo mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu ambaye ndiye Mungu huyohuyo mwenyewe, ili akikaa ndani yenu muishi maisha ya kiroho ya kuongozwa naye.Hongera kwa kuwa umekwishaokoka hapa duniani na hauna dhambi, hivyo utamwona Mungu!
Akisoma shule au akienda hospitali za kanisa hasemi chohoteMleta mada kanisa ni taasisi, waliojenga Vatican pia wameshatangulia mbele za haki lakini bado Vatican ipo.
Ardhi wanayomiliki huiendeleza kwa miradi ya maendeleo kama kilimo, shule na hospital. Vatican Ina majengo katika miji yote mikubwa ya dunia na pango la majengo ndiyo inaifanya inatumika kujenga hospital na shule kwenye uhitaji.
R.I.PHapa penyewe....
Sababu ni rahisi kuwa kanisa hili ndilo lililowezesha ukoloni kutamalaki duniani. Hivyo, wakoloni waliolitumia waliona ni vizuri kulizawadia ardhi ili liendelee na ukabaila wake wa kimfumo kama kawa. Kanisa nalo ni taasisi ya kikoloni ambayo wengi walishindwa kuistukia kwa hasara yao.Kanisa Katoliki kwa miaka nenda rudi wamekuwa na utamaduni wa kujilimbikizia maeneo makubwa ya ardhi nchi mbalimbali, na ardhi hiyo huwa inasauiliwa Vatican kama milki yao halali.
Kanisa limekuwa likifundisha kwamba tusijiwekee akiba duniani, lakini lenyewe ndio kinara wa kujilimbikizia ardhi.
Mathayo 6:19-20
“Msijiwekee hazina hapa duniani ambako nondo na kutu huharibu, na wezi huingia na kuiba. Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu hawawezi kuiharibu, wala wezi hawaingii wakaiba."
Haya mafundisho naona yanakinzana na kile ambacho kanisa linakifanya. Sasa ningependa kujua nini dhamira ya kanisa kumiliki haya maeneo makubwa? Kijijini ni mfano tu, kanisa linamiliki zaidi ya heka mia mbili, za nini zote hizi kama sio ulafi tu na ubinafsi?
Hebu tujulishane nyuma ya mpango huu kuna nini kilichojificha?
Kwanini ardhi isajiliwe kama ni mali ya Serikali ya Vatican?
TrueMtu mzima unataka mwanaume akutafunie data wakati unaziona?,huamini kua palipo Catholics umasikini unanukia kwa kasi ya ajabu......maaana wao wapo kuchuma mali