miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,414
- 10,970
Mpaka india yaan ule umaskini ni catholism ujue nimeshtukaa.. anasema uongooo..Burundi, Mozambique, DRC, Congo Brazaville, Afghanstan...hawa hawana waislamu eeh? Anyway, mimi ninavyojua kutafuta excuse ni kujifariji nafsi ila sio dawa ya tatizo.
Na Tanzania je? Kenya? Rwanda? Hii mada unavyoiweka inaonyesha tatizo lile lile linalotusumbua...ufinyu wetu wa fikra. Na kufikiri dawa ni kubadilisha wananchi wote tuwe dini moja ya kiislamu.
Hilo halitakaa kutokea. Maendeleo tuamue tuyatafute kwa nguvu kama raia. Tukianza kuendekeza inferiority complexes zetu, tutakuwa tunajidanganya nafsi.
By the way, hizi dini zipo toka karne na karne na wamepigana vita kama vyote na hakuwahi kutokea mshindi. Unafikiri ni kwanini? Fanya kazi ndio msingi wa maendeleo. Muabudu mwenyezi Mungu ndio chanzo cha hekima na maarifa. Nyingine hizi hadithi ambazo hazina mbele wala nyuma