Ipi simu nzuri kati ya Samsung m31 na i Phone 7 plus

project planner

JF-Expert Member
Jul 8, 2019
1,166
1,532
Habari wakuu natumaini mu wazima poleni na mapambano ya Korona niende kwenye mada Kati ya hizi simu mbili Samsung m31 na iPhone 7 ipi ni nzuri zaidi? katika nyanza zote muhimu maana naona Bei zake Kama zinaendana nataka moja Kati ya hii.
 
Nashauri tu kama huna tatizo na majina ya simu chukua xiaomi redmi note 8 ni nzuri ina performance nzuri, good display inakaa na chaji na camera ipo poa. Hii simu ndo naitumia kuna mdau alinishauri humu humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu natumaini mu wazima poleni na mapambano ya Korona niende kwenye mada Kati ya hizi simu mbili Samsung m31 na iPhone 7 ipi ni nzuri zaidi? katika nyanza zote muhimu maana naona Bei zake Kama zinaendana nataka moja Kati ya hii.
Kwa hizo mbili kama bei moja nenda kwenye m31 ina kioo kizuri battery inakaa na charge zaidi kwenye speed inaweza kuwa tofauti ndogo nadhani hiyo iPhone 7 imepeta updated latest ya apple a13. Kama unapenda ma game nenda kwa iPhone ila nadhani hiyo update ya a13 ililalamiliwa kuwa inapunguza uwezo wa kutunza charge kwa iPhone 6 ,7 sidhani kama wali solve. Ila kama unapenda multimedia nenda kwa m31 inakaa zaidi na charge ni latest android 10 kioo kikubwa kizuri camera nzuri nk.

Samsung galaxy note 3 snapdragon
 
Kwa hizo mbili kama bei moja nenda kwenye m31 ina kioo kizuri battery inakaa na charge zaidi kwenye speed inaweza kuwa tofauti ndogo nadhani hiyo iPhone 7 imepeta updated latest ya apple a13. Kama unapenda ma game nenda kwa iPhone ila nadhani hiyo update ya a13 ililalamiliwa kuwa inapunguza uwezo wa kutunza charge kwa iPhone 6 ,7 sidhani kama wali solve. Ila kama unapenda multimedia nenda kwa m31 inakaa zaidi na charge ni latest android 10 kioo kikubwa kizuri camera nzuri nk.

Samsung galaxy note 3 snapdragon
ndio maana nikamshauri achukue hiyo m31,maana tukiweka silaha chini iphone 7 haitii mguu hapo kwa kila kitu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom